Mke Wa Dr. Salaa Josephine Alonga Na JF

Status
Not open for further replies.
josephine hapa bado. Rudi tena na maelezo yenye kueleweka zaidi.

hey behave huna haki ya kusema hayo lugha hizo tumia kwa mkeo nyumbani, huyu mama ni jasiri na ni kamanda anapaswa kuheshimiwa, hebu mwambie salma jk aje hapa na yeye aweke wazi baadhi ya duku duku za wana JF
 
Mpe rais wetu mahaba, mama. Pia mtengenezee na mayai aboreshe sauti yake. Pia usijibu hoja sana maana utasema na yanayowahusu nyie wawili tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom