Umepata wapi mamlaka ya kutoa hukumu hii?Hata kama ni mtazamo wako basi ni potofu,
aliyekuambia CCM mbaya ni nani? sera zao ni nzuri tu,kama hujui Nyerere alikuwa CCM! Nani aliyekuambia CHADEMA mbaya au nzuri? CHADEMA nzuri pia sera zao nzuri!
Hayo ya CCM au CHADEMA kuwa mbaya au nzuri umeyasema wewe, mie sijatamka hayo
I never said anything against that!Vyama vyote vinaharibiwa na wale kupe watu/mafisadi,kama huko in either chama na bado ukafanya kizuri whats wrong with that?
Kina nani walijua? Wewe una uhakika kilichompeleka Dr Slaa CHADEMA ni kupambana na ufisadi? Wakati alipoingia CHADEMA, kulikuwa na habari ya ufisadi gani iliyomkimbizia huko. Suala la ufisadi lililompa umaarufu Dr Slaa limetokea akiwa mbunge tayari, na hii ni sifa tofauti haihusiani na kuhama chama. Una uhakika kama angekuwa mbunge wa CCM asingepinga ufisadi?Vipi kama Slaa alipokuwa CCM walijua siyo fisadi kama wao? na akaona kuliokoa taifa aende CHADEMA?
Malengo binafsi huwa yanatimizwa popote ambapo mhusika anaona kuna nafasi hiyo, ndani ama nje ya CCM, ndani ama nje ya siasa. Dr Slaa hajapungukiwa ubinadamu hadi akose kuwa na malengo binafsi.Is CCM standard au benchmark kuwa kila anayehama ni mbaya au ana malengo ya ubinafis.
Again, who are you to deliver such a verdict, and on what basis? So any opinion that differs from yours is wrong?Yes ni mtazamo wako ila uko wrong! think again, ulishachemsha tangu post ya kwanza , ADMIT IT..
waberoya