kadogosakado Member Jun 8, 2011 35 3 Jun 11, 2011 #1 Inasikitisha mke kukimbia mume baada ya kuona kaishiwa lakini huyohuyo mume kahangika hadi alipo ni halali ushauri,maoni
Inasikitisha mke kukimbia mume baada ya kuona kaishiwa lakini huyohuyo mume kahangika hadi alipo ni halali ushauri,maoni
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,879 155,845 Jun 11, 2011 #2 kimjini mjini poa tu, ndio challenges tulizo nazo wanaume
Kaka Mpendwa JF-Expert Member Jan 10, 2008 772 415 Jun 12, 2011 #4 ma'swagga said: yakawaiida hayo hpa mjin Click to expand... kukimbiwa siku hizi imekuwa kawaida?
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,821 59,422 Jun 12, 2011 #6 Mtu anakimbia na watoto anawaacha huko huko!!Ndo matatizo ya wanaume kuingizwa mkenge wa kuoa vitegemezi...siku ukiishiwa hunaye tena!!
Mtu anakimbia na watoto anawaacha huko huko!!Ndo matatizo ya wanaume kuingizwa mkenge wa kuoa vitegemezi...siku ukiishiwa hunaye tena!!
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,193 Jun 12, 2011 #7 Wanawake wengi siku hizi uvumilivu 0.
chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 204 Jun 12, 2011 #8 Maisha yanakoelekea siko kabisa watu wameshachanganyikiwa! sio kitu ya kawaida hata siku moja,maadili yamekuwa zero. Kaka Mpendwa said: kukimbiwa siku hizi imekuwa kawaida? Click to expand...
Maisha yanakoelekea siko kabisa watu wameshachanganyikiwa! sio kitu ya kawaida hata siku moja,maadili yamekuwa zero. Kaka Mpendwa said: kukimbiwa siku hizi imekuwa kawaida? Click to expand...
DZUDZUKU JF-Expert Member Nov 8, 2012 3,907 2,092 Mar 14, 2014 #9 Anakutia akili ili utafute zaidi sio kukaaa kaa tu.