Mke hawezi kushindana na ubabe wa mwanaume!

Kwa Zamani, wanawake walifunzwa vilivyo kupitia unyago namna ya kuishi na wanaume na kuwavumilia. Na ndiyo sababu ndoa nyingi za zamani zilikuwa zinadumu sana ukilinganishi na hizi za sasa. Ila kwa sasa, kutokana na elimu, exposure waliyopewa wanawake pamoja na mfumo wa haki sawa na zile tamaduni za ki-magharibi, suala la Wanawake kunyamaza kimya na kutii waume zao hata kama kosa ni la mume, hilo halipo na kama lipo basi ni kwa wachache sana.

Mfumo mzima wa sasa kaka mtambuzi, wa mahusiano ya wanandoa ni wewe ukimwaga mboga, mke anamwaga ugali, hapo tunaita ngoma droo!

Natamani kama mila na desturi zetu zingerudi na kufanyiwa maboresho kidogo dada zetu wasinyanyaswe but wapewa mafundisho sahihi ya kutunza na kuheshimu ndoa zao, huku na sisi vidume tukipewa yale mambo ya jandoni basi ndoa zingedumu sana.

Samahani kwa kutoa mchango nje kidogo ya mada, I was just tying to think beyond kidogo ya hii mada ...
Mr horsepower, u are always a great thinker.
 
Pole we maana mpaka sasa tayari mwanao ni mkazamwana wangu na mimba tayari.

TaiJike namuomba MUNGU JUU YA WANANGU! Na siku zote MUNGU husikia maombi. sawa umempa mimba nitamlea mjukuu, lakini kamwe hutamuoa na hata ikitokea ukamuoa, HAKIKA NDOA YENU HAITADUMU, MAANA HAINA KIBALI MACHONI PA MZAZI, NA MZAZI NI MUNGU WA PILI!
 
Una akili sana Mtambuzi! U spoke my mind! huwa na mwambia mke wangu kitu hikihiki! U dont want to worsen mambo kaa kimya usishindane, maana u dont expect me to keep quite, I always want on top! Halafu sifanyi hivyo kwa sababu nataka kudominate hapana huwa inatokea tu wakati mwingine bila hata kujijua! Reflex badae mambo yakishapoa unaanza kujiuliza

Na kunyamaza huo ndio mwanzo wa uchungu na kupata vidonda vya tumbo, presha, kisukari+.. kwa kweli wanawake tuna kazi duniani, God help us!
 
TaiJike namuomba MUNGU JUU YA WANANGU! Na siku zote MUNGU husikia maombi. sawa umempa mimba nitamlea mjukuu, lakini kamwe hutamuoa na hata ikitokea ukamuoa, HAKIKA NDOA YENU HAITADUMU, MAANA HAINA KIBALI MACHONI PA MZAZI, NA MZAZI NI MUNGU WA PILI!
cacico ni MUNGU wa mbingu ipi huyo asiye na upendo wa kazi ya mikono yake?
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wa siku hizi hasa wasiojua Mapenzi! Hata umwambie niwekee maji ya kuoga anaona mdhalilisha

Heri Mi huwa ananiambia ni Majukumu yangu Kukupenda na Kukuhudumia kama Mwanaume. Na ninampenda mana 2naelewana na hakuna Ugomvi hata Tone na kazi namsaidia. Very happy ukiwa na mwanamke anayekujali.
 
Back
Top Bottom