TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
Mtambuzi kwa mwanamke aliyechezwa unyango atakuelewa unachomanisha ni kweli mke anatakiwa awe chini ya mmewe kwa unyenyekevu na si kwa woga, na endapo itatokea kaudhiwa na mmewe basi hutumia busara bila jazba kumweleza, ikiwa mwanaume huyo ni muungwana hukiri kosa lake na maisha yakasonga.
Last edited by a moderator: