LIKE 1000 kwakoMuambie arudishe yale yote aliyokuwa anamfanyia na yanampa hamu ya tendo la ndoa. Kama unapotea zako asubuhi unaenda kazini, unatokea kama msukule home na kuangalia mpira. Ukiingia kitandani ndo unanyoosha mkono! Lazma ikule kwako. Hata nyama unaona ni tamu, tunaiweka chumvi na vitunguu swaumu kabla, hadi saa ya kupika inakuwa chumvi imeingia hadi kwenye mfupa!
Ooohkey, kama ni mabadiliko ya ghafla ni vyema jamaa naye akabadilika ghafla, liwalo na liwec ivo ndugu,yeye ameona ni mabadiliko ya ghafla na c kwamba walikuwa wanatiana kila cku bali anapotaka hupewa na yawezekana kwa wiki mara mbili au tatu ila kwa sasa akiomba huambiwa kachoka na yaweza kupta wik hapewi na hata acpoomba tofaut na zaman.
habari wanajf! nina rafik yangu ambaye ameoa miaka 2 iliyopta na walikaa vyema ktk ndoa yao mwanzon mwa hiyo ndoa yao,tatzo ni kwamba kwasasa jamaa ananiambia hana furaha ktk iyo ndoa yao kwan tendo hulipata kwa nadra sana,yan mpaka mwanamke atake mwenyewe ndo atapewa inaweza kupta hata wiki kungonoka tofaut na mwanzo ambapo jamaa akitaka tu hupewa yan huko awali,swali ni je huyo mwanamke anaweza kuwa ana mtu pemben au ni tatizo?msaada wadau
Wanawake wanahitaji maandalizi kabla,sio kumshtukiza tu wakati usikute siku nzima mlikua hamna maelewano mazuri. Jaribu kumuandaa kwa siku nzima,muoneshe unamjali japo kwa kumpigia simu au kumtumia vi-msg vitamu ili awe na hamu na ww
Kwani rafiki yako sio member wa JF?
Mshauri aje ajiunge ili awe anapost yeye mwenyewe.
Ni wewe halafu unamsingizia rafiki yako,,,kwani ukijitaja kuna ubaya gani il-hali ID yako haikutambulishi.
Unata utiane kila siku kwani ni chakula usime usipokula wiki unakufa? Pumzikeni jamani
mdau punguza ukali wa maneno ile makitu ukiendekeza mbayaaa,,huyu shemejio atakuwa na kidumu au busy analea wakae wavunje ukimya kitaeleweka tu