Au ununue helmet shemeji uwe unatembea umevaa hapo ndanidronedrake akisema kataa ndoa mnamuona chizi ona Sasa mtu kala Rungu asee niwe makini na huyu wangu asijekuwa nanilia Timing .
Kinachowatesa watu wa Iringa ni pombe na ulevi uliopitiliza.Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke mmoja Mkoani Iringa amempiga na rungu mumewe hadi kupelekea kifo baada ya kuwepo kwa ugomvi kati yao.
Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limethibitisha kumshikilia mwanamke aitwaye Aurelia Kalolo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 kwa kosa la kumpiga kichwani kwa kutumia rungu mumewe, Williad Ngamema ambaye ni Balozi wa Kitongoji cha Iwengi Kijiji cha Ukumbi, Kata ya Ukumbi na kumsababishia kifo.
View attachment 2749055
View attachment 2749056
Baadhi ya ndugu jamaa pamoja na majirani ambapo wamesema kulikuwa na ugomvi wa mara kwa mara kati ya wawili hao na siku ya tukio walikuwa na ugomvi tangu asubuhi ambapo jirani mmoja alipita nyumbani na kukuta wanagombana huku mke akiwa ameshika rungu hivyo akawasuluhisha na mwananke akaondoka na kwenda klabu inayouza pombe aliporudi nyumbani usiku ugomvi uliendelea na akampiga mumewe kwa rungu hadi kufariki.”
Mtendaji wa kijiji hiko cha Ukumbi Mariam Kaduma amesema alipatiwa taarifa saa tisa usiku na alipofika nyumbani kwa wanafamilia hao alikuta mume amefariki hivyo akamshikilia mwanamke huyo na kupiga simu polisi ambao walifika na kumkamata na upelelezi unaendelea.
Mbunge wa Jimbo la Kilolo, Justine Lazaro Nyamoga amefika pia msibani na kutoa pole kwa ndugu, jamaa na familia ambapo amesema balozi huyo ndiye alikiwa anategemewa na familia.
Chanzo: JAMBO TV
Ndio tushaanza na marungu mkae mguu upande helmet kichwaniDah! Wanawake mtatuua
Ko mkuu unamaanisha tukitaka kuua tupige rungu moja la uhakika 🤔Sema kama amemkung'uta rungu Moja huyo gerezan hata mwaka hakai atatolewa ,coz itasomeka ameua bila kukusudia.
Ila kama amemtia zaidi ya rungu mbili means huyo jera maisha
Ndo Sheria inataka hivo siyo Mimi Mzee😂Ko mkuu unamaanisha tukitaka kuua tupige rungu moja la uhakika 🤔
Ulanzi si pombe nzuri.Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke mmoja Mkoani Iringa amempiga na rungu mumewe hadi kupelekea kifo baada ya kuwepo kwa ugomvi kati yao.
Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limethibitisha kumshikilia mwanamke aitwaye Aurelia Kalolo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 kwa kosa la kumpiga kichwani kwa kutumia rungu mumewe, Williad Ngamema ambaye ni Balozi wa Kitongoji cha Iwengi Kijiji cha Ukumbi, Kata ya Ukumbi na kumsababishia kifo.
View attachment 2749055
View attachment 2749056
Baadhi ya ndugu jamaa pamoja na majirani ambapo wamesema kulikuwa na ugomvi wa mara kwa mara kati ya wawili hao na siku ya tukio walikuwa na ugomvi tangu asubuhi ambapo jirani mmoja alipita nyumbani na kukuta wanagombana huku mke akiwa ameshika rungu hivyo akawasuluhisha na mwananke akaondoka na kwenda klabu inayouza pombe aliporudi nyumbani usiku ugomvi uliendelea na akampiga mumewe kwa rungu hadi kufariki.”
Mtendaji wa kijiji hiko cha Ukumbi Mariam Kaduma amesema alipatiwa taarifa saa tisa usiku na alipofika nyumbani kwa wanafamilia hao alikuta mume amefariki hivyo akamshikilia mwanamke huyo na kupiga simu polisi ambao walifika na kumkamata na upelelezi unaendelea.
Mbunge wa Jimbo la Kilolo, Justine Lazaro Nyamoga amefika pia msibani na kutoa pole kwa ndugu, jamaa na familia ambapo amesema balozi huyo ndiye alikiwa anategemewa na familia.
Chanzo: JAMBO TV
Na badoDah! Wanawake mtatuua
Kibao kimegeuka rafiki.Wakinamama wamekuwa wakatili sana Marne hi,hi inanikumbusha kitendo cha jamaa angu kuchomwa kisu na mkewe kifuani akiwa amelalaa,na mwanamke kutokomea almanusra tumpoteze