Mke anahitajika

gwego1

Senior Member
Jul 28, 2023
147
522
Wakuu Salaam.

Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM.

Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana.

Natanguliza shukrani za dhati.

Wako Mtiifu,

Gwego.
 
Wakuu Salaam.
Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM.

Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana.

Natanguliza shukrani za dhati.
Wako Mtiifu,
Gwego.
😀😀😀😂😂😂 Tuko mwaka 2023 afu karne nyingine,nani atakubal kushika jembe wakat matrekta yapo.Afu unataka mke au mkulima?
 
Wakuu Salaam.

Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM.

Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana.

Natanguliza shukrani za dhati.

Wako Mtiifu,

Gwego.
khe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom