Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,489
- 8,628
Munghonie bhandu bha kyala? Mwiputie?
Haya bondeni tena huko, kijana aliyefahamika kwa jina la Ntembeko Myalo anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kujaribu kumuua mke wake kwa kumchoma na visu.
Kijana huyo alikua ni wanafunzi wa chuo cha western cape na mkewe akisoma Cape Peninsula University of Technology (CPUT).
Wakati alipokuwa akitaka kutekeleza tukio hilo mwanafunzi mmoja alijitokeza kumuokoa binti huyo mpaka wengine walipofika na kuanza kumtembezea kichapo kikali huyo kijana aliyetaka kumuua mkewe.
ANGALIZO:
1. PICHA ZA LEO HAZITISHI
Haya bondeni tena huko, kijana aliyefahamika kwa jina la Ntembeko Myalo anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kujaribu kumuua mke wake kwa kumchoma na visu.
Kijana huyo alikua ni wanafunzi wa chuo cha western cape na mkewe akisoma Cape Peninsula University of Technology (CPUT).
Wakati alipokuwa akitaka kutekeleza tukio hilo mwanafunzi mmoja alijitokeza kumuokoa binti huyo mpaka wengine walipofika na kuanza kumtembezea kichapo kikali huyo kijana aliyetaka kumuua mkewe.
ANGALIZO:
1. PICHA ZA LEO HAZITISHI