King'asti mimwenyewe sikuamini mpaka pale niliposhuhudia kwenye hospitali tofauti tofauti majibu yao ya hiv
Riwa,
Unajua shida yetu waswahili tumesihakuwa kama watu wa Europe/US lakini hatujna facilities.
Mtu Fundi unakuata anakwenda kuongea na mgonjwa bila hata elimu tunakuja hapa tunakkusanya vi info na kummwaga mgonjwa.
Hapo kwenye red mbona naona kiuswahili ni ngumu labda akawaone hao wanaotoa nasaha-wako wapi?