Mke afya OK, mume low sperm count - ushauri please

dotnet

JF-Expert Member
Mar 5, 2013
393
153
Naomba ushauri kama kuna mwenye experience au amewahi kusikia options ambazo ni productive. Mimi na mke wangu tuna miaka 4 sasa ya ndoa ya kikristo bila mtoto. Tumefanya vipimo vyote vya afya ya uzazi imeonekana mimi nina low sperm count na mke wangu hana tatizo lolote. Tendo la ndoa tunafanya kama kawaida bila shida yoyote na ndoa haina migogoro yoyote pamoja na hali hiyo lakini tunapenda sana kupata mtoto. ushauri tafadhali kama kuna njia yoyote ya asili (natural) isiyoenda kinyume na imani ya Kikristo.
 
Wewe nenda ukapate ushauri wa urologist aliye-specialize kwenye male infertility.

Zipo njia za ku-extract sperm na kuzitumbukiza ndani mwa mkeo na mimba ikatungika.
Asante Nyani Ngabu, hata TZ specialist kama huyo anapatikana wapi, unaweza kuwa na idea?
 
kuna kitu inaitwa Artificial insemination.....bali ni very expensive, na sidhani kama Tz wanafanya.......kaka cha kukushauri, jaribu kutumia dawa za asili..but usiende kwa waganga wa kienyeji wala waganga wanaojitangaza wala kunywa madawa yao.....badilisha misosi, kula ile yenye protein za kutosha....pia jaribu kutofanya mapenzi na mkeo kwa muda wa siku kumi na nne...huku ukifanya yafuatayo:
1. kula chakula chenye wingi wa protein
2. kunywa supu ya korodani za mbuzi, pamoja na kumeza korodani za mbuzi...mara moja kwa siku kwa huo muda wa siku 14
3. kila baada ya siku tatu, ndani ya hizo siku 14 huku ukiendelea na hiyo dozi ya korodani za mbuzi, chukua korodani za jogoo wa kienyeji aliyekomaa, hakikisha wakati unayatoa hayajagusana na damu, meza na maziwa....ukipata kitu kinaitwa HABBAT SODA...unaweza kupaka mayai hayo, na ukanywa na maziwa.....
hizo korodani na mayai unayaweza pata machinjioni,au ukaagiza watu wakakutafutia, unaweka order kwa wauzaji nyama choma za mbuzi, na kuku wa kienyeji......em jaribu hiyo, kama utapenda, afterall, hautopoteza kitu, koz its very less expensive...then baada ya hizo siku 14, kutana na mkeo...ila itabidi hiyo siku mtakayokutana, iwe ni siku ambayo mkeo anaweza kushka mimba......ukifanikiwa, nitumie msg plz...........pole, watoto ni majaliwa........endelea kumuomba na Mungu wako pia.......Mungu wa wawakristo ni muaminifu......atakujibu tu, huwa hawai wala hachelewi..atakujib kwa wakati wake
 
::
Fuata yafuatayo
::
Angalia chakula anachokula,,chakula cha asili kama ngano,uwele,mtama,ufuta,mafuta ya alizeti maji mengi ya kunywa,n.k yanaweza kuimarisha nguvu ya sperm
::
Nenda kwa daktari mwenye taaluma husika atakusaidia.Na topic hii ukihamishia JF DOCTOR unaweza kupata msaada.
=
 
::
Fuata yafuatayo
::
Angalia chakula anachokula,,chakula cha asili kama ngano,uwele,mtama,ufuta,mafuta ya alizeti maji mengi ya kunywa,n.k yanaweza kuimarisha nguvu ya sperm
::
Nenda kwa daktari mwenye taaluma husika atakusaidia.Na topic hii ukihamishia JF DOCTOR unaweza kupata msaada.
=

zaid ya hayo kama watumia ugali basi jaribu wa dona ulochanganywa mtama na ulez kias.ni tiba pia
 
IVF inapatikana tanzania....ila success rate yake sijui.....pia ni probability ila inacost haswa kama $8,500 ingawa nasikia IVF nairobi ndo cheap

cc Riwa
 
Last edited by a moderator:
Kunywa supu ya pweza kutwa mara sita ndani weka karanga mbichi tangawizi na asali kunywa Maziwa lita mbili kwa siku Maziwa mabichi yasiyochemshwa kula mayonaise kwny mlo wako epuka kula vyakula vyenye mafuta hades chipsi yai kula maparachichi manne kwa siku. Kula korosho kunywa vitamin c na vitamin e kutwa Mara Tatu kula mkate wenye siagi abstain kwa siku saba kuelekea ovulation hakikisha ni kuanzia siku ya 13 kunywa maji mengi NA maOezi
 
Kunywa supu ya pweza kutwa mara sita ndani weka karanga mbichi tangawizi na asali kunywa Maziwa lita mbili kwa siku Maziwa mabichi yasiyochemshwa kula mayonaise kwny mlo wako epuka kula vyakula vyenye mafuta hades chipsi yai kula maparachichi manne kwa siku. Kula korosho kunywa vitamin c na vitamin e kutwa Mara Tatu kula mkate wenye siagi abstain kwa siku saba kuelekea ovulation hakikisha ni kuanzia siku ya 13 kunywa maji mengi NA maOezi

Mmmmh, jeshi la mtu mmoja hapo !!!!!!!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
kuna kitu inaitwa Artificial insemination.....bali ni very expensive, na sidhani kama Tz wanafanya.......kaka cha kukushauri, jaribu kutumia dawa za asili..but usiende kwa waganga wa kienyeji wala waganga wanaojitangaza wala kunywa madawa yao.....badilisha misosi, kula ile yenye protein za kutosha....pia jaribu kutofanya mapenzi na mkeo kwa muda wa siku kumi na nne...huku ukifanya yafuatayo:
1. kula chakula chenye wingi wa protein
2. kunywa supu ya korodani za mbuzi, pamoja na kumeza korodani za mbuzi...mara moja kwa siku kwa huo muda wa siku 14
3. kila baada ya siku tatu, ndani ya hizo siku 14 huku ukiendelea na hiyo dozi ya korodani za mbuzi, chukua korodani za jogoo wa kienyeji aliyekomaa, hakikisha wakati unayatoa hayajagusana na damu, meza na maziwa....ukipata kitu kinaitwa HABBAT SODA...unaweza kupaka mayai hayo, na ukanywa na maziwa.....
hizo korodani na mayai unayaweza pata machinjioni,au ukaagiza watu wakakutafutia, unaweka order kwa wauzaji nyama choma za mbuzi, na kuku wa kienyeji......em jaribu hiyo, kama utapenda, afterall, hautopoteza kitu, koz its very less expensive...then baada ya hizo siku 14, kutana na mkeo...ila itabidi hiyo siku mtakayokutana, iwe ni siku ambayo mkeo anaweza kushka mimba......ukifanikiwa, nitumie msg plz...........pole, watoto ni majaliwa........endelea kumuomba na Mungu wako pia.......Mungu wa wawakristo ni muaminifu......atakujibu tu, huwa hawai wala hachelewi..atakujib kwa wakati wake
We, nani ale korodani za mbuzi? eti kula Korodani mbichi za jogoo na mtindi,kha, wacha nibaki na low sperm count zangu!
 
Kunywa supu ya pweza kutwa mara sita ndani weka karanga mbichi tangawizi na asali kunywa Maziwa lita mbili kwa siku Maziwa mabichi yasiyochemshwa kula mayonaise kwny mlo wako epuka kula vyakula vyenye mafuta hades chipsi yai kula maparachichi manne kwa siku. Kula korosho kunywa vitamin c na vitamin e kutwa Mara Tatu kula mkate wenye siagi abstain kwa siku saba kuelekea ovulation hakikisha ni kuanzia siku ya 13 kunywa maji mengi NA maOezi
Kha mbona umemchanganya. Sasa dawa hapo ni ipi???
 
Ukienda hospitali wakakushauri jinsi ya kumeza vidonge vinavyoitwa CLOMIPHENE,sperm count itaongezeka.alternatively, pale maeneo ya mwenge, D'salaam kuna clinic wanafanya artificial insermination,yaani wanachukua mbegu zako na kuzipeleka moja kwa moja kwenye yai la mama kipindi ambacho yai linapevuka(ovulation).Sijui kama itapingana na imani yako,kwa kuwa kinachofanyika ni kukusaidia kuzifikisha mbegu zako kwenye yai la mama, kwa kuwa ukifanya tendo la ndoa huzifikishi kutokana na ujazo mdogo.
Naomba ushauri kama kuna mwenye experience au amewahi kusikia options ambazo ni productive. Mimi na mke wangu tuna miaka 4 sasa ya ndoa ya kikristo bila mtoto. Tumefanya vipimo vyote vya afya ya uzazi imeonekana mimi nina low sperm count na mke wangu hana tatizo lolote. Tendo la ndoa tunafanya kama kawaida bila shida yoyote na ndoa haina migogoro yoyote pamoja na hali hiyo lakini tunapenda sana kupata mtoto. ushauri tafadhali kama kuna njia yoyote ya asili (natural) isiyoenda kinyume na imani ya Kikristo.
 
Huyu haitaji IVF.mkewe ni mzima wa afya.IVF inafanyika kama mama hawezi kutunza mimba.IVF maana yake ni kwamba yai la mama linarutubishwa na mbegu za kiume nje ya mwili wa binadamu(chupa).hapa tanzania haifanyiki, waliopo ni agent wa hospitali za nje.ukiwalipa wanachukua commission yao halafu wana google na kukushauri hospitali ya kwenda.
IVF inapatikana tanzania....ila success rate yake sijui.....pia ni probability ila inacost haswa kama $8,500 ingawa nasikia IVF nairobi ndo cheap

cc Riwa
 
Treatment ya infertility inafanywa na gynecologists na sio urologists.Gynecologists ndiyo wanaosomea mambo ya infertility.Urologist anapata kazi inapotokea kwamba sababu ni obstructive uropathy, but with low sperm count hiyo tiba yake inafanywa na gynecologist.Professor mgaya is one of them.Tatizo la infertility limekuwa likiongezeka sana Tanzania, na hasa kwa vijana, nakupongeza kwa kuwa jasiri kujitokeza.Wanaume wanaoenda kliniki kwa shida hii ni wachache sana.
Mgaya yule gyno? Huyu nadhani anatakiwa aone wa wanamme.

Ila hata Mgaya anaweza mpa mwangaza zaidi.
 
Urologists wanatibu male infertility. Gynecologists mainly deal with female reproductive systems and diseases. Male infertility is the one at issue here.
Initial Male Infertility Evaluation
A visit to a urologist should start the evaluation for male infertility. The urologist will likely begin with a basic interview and exam that includes:

Source
 
Both partners should be evaluated preferably at the same time. Women often seek infertility evaluation before their partner and usually choose their obstetrician /gynecologist. A male needs his own doctor to render appropriate counseling, advice and therapy. For men, this usually means a urologist with an interest in male reproduction.

From The Urology Team in Austin, Texas.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom