Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,103
- 2,352
Ni Ansbert Ngurumo akichambua hatua kwa hatua kilicho nyuma ya mkataba wa uuzwaji/ukodishaji/ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika ukiziacha za Zanzibar huku suala la bandari likiwa ni la muungano.
Kwa kuunganisha na hilo, katika mjadala huo bungeni tarehe 9 na 10/6/2023 aliyetia fora kuliko wote ni waziri wa habari ndugu Nape Nnauye.
Yeye kwa dakika takribani 12 alizopewa kuchangia kuhusu mkataba huo, jamaa alikuwa nje kabisa ya hoja ya msingi.
Jamaa Nape Nnauye hakusema lolote kuhusu mkataba hata katika kifungu kimoja tu na badala yake dakika zote hizo alizitumia kumjadili na kumshambulia M/kiti CHADEMA(T) ndugu Freeman Mbowe.
Hakika ilikuwa ni kituko na upotezaji wa muda na rasrimali za taifa uIofanywa na waziri huyu!
Sababu ni eti tu, Freeman Mbowe alimtahadharisha Rais Samia kuwa makini na hisia za watu kudhani kuwa amefanya maamuzi hayo ya kukubali kuwauzia Waarabu bandari za Tanganyika akiacha za Zanzibar kama hujuma dhidi ya Tanganyika, huku akitambua kuwa yeye na Waziri wake Makame Mbarawa waliotia Saini zao katika mkataba huo ni Wazinzibari.
Fuatilia mwenyewe uchambuzi huo katika video hii kuanzia mwanzo hadi mwisho 👇
Kwa kuunganisha na hilo, katika mjadala huo bungeni tarehe 9 na 10/6/2023 aliyetia fora kuliko wote ni waziri wa habari ndugu Nape Nnauye.
Yeye kwa dakika takribani 12 alizopewa kuchangia kuhusu mkataba huo, jamaa alikuwa nje kabisa ya hoja ya msingi.
Jamaa Nape Nnauye hakusema lolote kuhusu mkataba hata katika kifungu kimoja tu na badala yake dakika zote hizo alizitumia kumjadili na kumshambulia M/kiti CHADEMA(T) ndugu Freeman Mbowe.
Hakika ilikuwa ni kituko na upotezaji wa muda na rasrimali za taifa uIofanywa na waziri huyu!
Sababu ni eti tu, Freeman Mbowe alimtahadharisha Rais Samia kuwa makini na hisia za watu kudhani kuwa amefanya maamuzi hayo ya kukubali kuwauzia Waarabu bandari za Tanganyika akiacha za Zanzibar kama hujuma dhidi ya Tanganyika, huku akitambua kuwa yeye na Waziri wake Makame Mbarawa waliotia Saini zao katika mkataba huo ni Wazinzibari.
Fuatilia mwenyewe uchambuzi huo katika video hii kuanzia mwanzo hadi mwisho 👇