kekuwetu
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 327
- 98
jamani naomba kuuliza hivi kama mtu ameajiriwa na akasaini mkabata lakini hakupewa copy ya mkataba na mwajiri (mwajiri amebaki nayo) je anaweza kumdai mwajiri mkataba wake hata kama amefanya kazi kwa muda mrefu? je mwajiri akikataa ana haki ya kumshitaki?