Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

People Who Claim to Have the Highest Sexual Partners in History

11 Hugh Hefner: ~1,000
10 Simon Cowell, Dennis Rodman, and Jack Nicholson: ~2,000 each
9 Julio Iglesias: ~3,000
8 Ron Jeremy: ~4,000
7 Gene Simmons: ~4,800
6 Charlie Sheen: ~5,000
5 Warren Beatty: ~12,775
4 John Holmes: ~14,000
3 Wilt Chamberlain, ~20,000
2 Fidel Castro, ~35,000
1 The Fokkens Twins, ~177,500 EACH! (only women in list)
Charlie Sheen! was he not in two half brothers? He came out saying he has "Butt flu" and an old girlfriend sued him. Other women were not confident enough to come out and sue him😀
 
Note: Nimejaribu kutumia kiswahili sehemu kubwa ili watu wapate ujumbe niliokusudia. Kuanzia hapa na sehemu zifatazo, kiswahili kitatawala. Au mnasemaje wadau 👂🦻

Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

💓She cried as she slapped my lap.

Flashback

Ludvig:" Remove the bandage, please. "

Akauchukua, unga alipewa na yule mpambe, akaninyunyizia kwenye kidonda. Nilipata maumivu sana, kisha Livia akanifunga, damu ziliacha kutoka.

{Ludvig hakutaka ile risasi iingie mwilini kwangu, aliipalaza juu ya nyama, haikugusa mfupa, ikatua ukutani}

Ilikuwa saa tano usiku yule Hugo akaniongoza kurudi kwenye gari, akanipeleka mpaka semehu kuna usafiri wa uma akaniacha hapo, akanionya nisiende hospital, jeraha litapona haraka, hawakuchukua chochote nilichokuwa nacho, walisafisha account pekee.

** ** ** **

Flashforward

Nilikaa kituoni, ikasimama taxi, nikapanda, nikampa maelekezo.

Nilifika hotelini, nikajimwaga kitandani, nikawaza kilichotokea ni kweli au ni ndoto tu. Nikaenda kuoga, chakula kikaletwa ila sikula, nikaambiwa mkeo amepiga simu hapa baada ya kukukosa hewani, kasema umtafute.

{ Simu niliyokuwa nawasiliana na Livia sikuwa nayo, na sikumbuki niliiacha wapi, labda kwenye ile apartment.}

Nikampigia simu mfini wangu, nikamweleza mkasa wote, ila sikumwambia kisa ni mwanamke. Violet aliumia sana, usiku ule ule alinitumia kiasi kikubwa cha pesa kwenye account yangu, akaahidi kuja kesho yake. Niliona sio vizuri kutomtafuta Rosemary.

Nikachukua simu ambayo huitumia nikiwa Tanzania, nikampigia, hakuwa amelala tangu nilipompigia mwanzo, Nilimweleza mkasa wote ila nikaficha chanzo halisi, mke wangu alilia sana mpaka nikakata simu nimuache Kwanza. Ila wote sikuwambia kama nimepigwa risasi, niliwaeleza kuhusu pesa.

Rosemary aliniahidi kesho yake asubuhi ataenda bank anitumie pesa, ila nilimkataza, nikamwambia Violet ameshanitumia, nikihitaji zaidi nitamjulisha. Baada ya hayo maongezi nilikunywa pain killer, nikalala.

** ** **
Kesho yake niliamka na maumivu makali sana, nikatoa taarifa ofisini kuwa nimepata matatizo nimeumia, sitaweza kwenda siku hiyo. Wakanielekeza cha kufanya, nikatumiwa kwa email yenye sick sheet file ili niende hospital.

Sikuweza kwenda kwa vile wangelifanyia uchunguzi jeraha langu, ingebainika kuwa ni risasi, ningekabidhiwa kwa polisi, ili nipate form ya matibabu. Sikutaka hilo lijulikane kwa ajili ya usalama wangu.

Mida ya mchana, Violet alifika hapo hotelini kwangu, alivyoniona akaanza kulia, mkono umevimba, nina maumivu makali. Akanitaka twende hospitali ila nikakataa maana kufanya hivyo ni kuhatarisha maisha yangu na Livia, nilishaonywa.

Purple aliumia sana baada ya kugundua nimepigwa risasi, akahamaki kwa nini nilimficha na kuhatarisha maisha yangu.

Purple: " Edson, kwanini hukuniambia umepigwa risasi? Huon kama umehatarisha uhai wako?"

Edson: " Usipaniki mke wangu, ni jereha la kawaida tu, nitakuwa salama."

Purple: " Hivi wewe mwanaume unanichukuliaje?, unaijua thamani yako moyoni mwangu? Unajua kama wanao wa nakuhitaji? "

Edson :" sasa maneno yote ya nini mke wangu, najua nimekuogopesha lakini niko salama, usijali. "

Purple:" Tunaenda hospital kisha tunaenda polisi, naomba iwe hivyo. "

Edson:" Tafuta namna nyingine, hospital siendi na polisi pia siendi. Ni kwa ajili ya uhai wangu pls elewa. "

Baada ya kuona nimegoma, Violet aliongea na rafiki zake kadhaa, hatimae akaniambia twende nikapate matibabu, kwa mtu anae mwamini.

Tulichukua taxi kwenda mtaa wa
nyumbani kwa dada moja ambae ni daktari, walisoma chuo kimoja na Violet, na walikuwa marafiki.

Alinifanyia usafi wa kidonda, akatoa risasi, akanifunga dawa na kunichoma sindao ya kusaidia kukausha kile kidonda, nilimuomba kwa kuwa siwezi kwenda hospitali, anisaidie kujaza ile sick sheet, alisema kesho yake angeenda nayo kazini kwake, itaijaza na kugonga mhuri na atanipa mapumziko ya siku 14.

Aliniacha nipumzike ila kila mmoja ana hamu ya kujua kilichonipata, baada ya masaa mawili maumivu yalikata, usingizi uliisha nikakaa kitandani, muda wote Violet hakuondoka hapo kitandani.

Violet: "Pole sana mume wangu, unajisikia kwa sasa."

Edson: "Naendelea vizuri, asante sana."

Yule dada akaingia, alimletea rafiki yake juice, hakuwa amekula toka ameondoka Rovaniemi.

Dada: "Pole, Unaendeleaje."

Edson: "Asante sana Dr, nina nafuu sasa."

Dr: "Usijali hiyo sindano itakusaidia kuondoa maumivu kwa muda mrefu."

Edson: "Asante sana Dr."

Dr: "Naitwa Astrid, Dr. Astrid"

Edson: "Nashukuru Dr. Astrid, Mungu akubariki sana kwa msaada huu."

Dr. Astrid usijali, ngoja nimpe nafasi mkeo ana hamu ya kuongea na wewe, Purple ukinihitaji niko jikoni.

Violet: "Sawa Astrid, tunashukuru."

Aliondoka tukapa wasaa wa kuongea, niliwaza niendelee kudanganya au niseme ukweli, vipi akijakugundua badae? nitaeleweka?.

Nikaamua kueleza ukweli, Violet alilia sana na kunilaumu kwa kutokuwa mwaminifu, amejitahidi kuwa karibu na mimi ili kuniweka mbali na vishawishi, lakini nimeshindwa kumthamini.

Violet: "Unakosa nini kwangu Edson, hawa wanawake watakufikisha wapi? Ulinisaliti Ethiopia japo ulikataa niliamua kukusamehe, hapa pia umenisaliti, unashida gani? Sikulizishi?."

Edson: "Hapana Purple, usiwaze hivyo, Ethiopia nilikwambia na narudia, yule dada sikuwa na mahusiano nae, huyu wa hapa kweli nimeanzisha uhusiano nae lakini hatujawahi kulala pamoja, ndio kwanza tuna wiki tongu tumeanza kufahamiana, na yametokea haya. Samahani sana. "

Violet:" Hivi unajua unayoyafanya sasa hivi, yanapaswa kufanywa na Edson jr sio wewe? Unataka wanao wajifunze nini kwako?"

Alilia huku ananipiga piga vimakofi mapajani,

Edson: "Honey, I am so sorry for whatever I have done. You are the best girl in the world and I know that I accept you as the most beautiful and sweet girl in the world. I feel blessed and grateful because you are in my life. But after all, I have committed a terrible mistake by cheating on you, I am so sorry for this, honey. I want let you know that I will never repeat such mistakes again . "

Violet:" I never knew what real love would be like until I met you. You taught me how to love, how to show how I feel, how to care, and how to be responsible. Now I feel like I have everything I need in life. I love you, and words won’t ever be enough to thank you for all you have done for me. Is my wish this go on forever but you keep hurting me, cheating on me Edson, why? ."

Violet alikuwa na uchungu sana moyoni, kwa mara ya kwanza niliumia kwa huzuni yake, nilikosa raha.

Edson:" Violet, you mean the world to me , I can’t stop tearing thinking about you. You are the best girl in my life. I am so blessed that you are with me. Please forgive me for whatever I have done. I can promise you that I will never make such terrible mistakes, I am sorry for everything my lovely wife . "

Violet:" I am so disappointed by your deception. I gave you everything and you took me for granted. Anyone could have made this mistake, but not you. I made a wrong decision with you."

Edson:" Honey, I am so sorry for whatever I have done to you. Look, I am accepting all my mistakes and wrongdoing. I hope I will never repeat such things. Please forgive me for this, I am feeling extremely bad for whatever I have done, please forgive me."

Violet:" I’m wondering how you’re going to tell your family that we’re done. I hope for once you’ll be honest about your betrayal. Tell them you gave up on this relationship first."

Edson:" Purple my love, I'm not letting you go, never on earth. You're my wife, we stay together as family, I promise I will change otherwise you wish for my death ."

Violet:" Unataka nikufanyie nini ili ujue thamani yako moyoni mwangu? Ninakufanyia kila kitu, nakupendezesha mume wangu, yote haya ni kukuonyesha jinsi ninavyo kuthamini, lakini hauliziki Edson."

Edson: "When I look back, I can see lots of good memories with you, but I did wrong by cheating on you. I can understand my mistake and I want to assure you that I will never make such a terrible mistake again. Please accept my apology and forgive me for this time, I am so sorry honey. "

Violet:" Bahati yako pekee ni kwamba sina uwezo wa kukuacha Edson, wewe ni mwanaume wa ki pekee sana moyoni mwangu, wewe ni baba wa wanangu, nikikukosa sitakuwa na sababu ya kuishi, unanipa mawazo sana"

Edson: "I’m so sorry! I’m sorry for all those sleepless nights you endured because of me. I’m sorry, I hurt you and broke your trust. The biggest mistake I ever made was risking us, and what we have together over one stupid, meaningless night. You are the most valuable part of my life and I can’t let go of you, the memories we share and the future we imagined. I hope you can forgive me. If you give me one second chance to prove how much I love you, I won’t let you down."

Violet:" kama kweli unanihitaji niendelee kuwa maishani kwako, tufunge ndoa ya serikali, ili niwe na uhakika wa wewe kuwatunza wanangu ikitokea sipo. "

{Violet aliniomba hili tangu zamani, nikawa namkwepa, ila leo limekuja kama sehemu ya sharti la kusamehewa. }

Edson:" Sawa mke wangu, fanya maandalizi, nikipona tutafanya. Ila nikuhakikishie, hawa sio wanao pekee ni wetu sote, ninawajibu wa kuwatunza hata bila ndoa, ni damu yangu."

Violet: "Asante sana mume wangu, asante kwa kunipenda na kunithamini, asante kwa kuniahidi ndoa."

{ Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Violet alikubali kunisamehe, alikua ananipenda sana kupita kiasi, mpaka nikawa naogopa na kujiuliza kilichomchanganya vile ni nini, mbona Rosemary hajawa kama yeye.}

Siku hiyo hatukurudi hotelini, tulilala kwa Astrid, lakini no tango, baba anaumwa. Usiku akawa kila mara ananiangalia, ananifunika, ananibusu paji la uso, mara anilalie, kwa kweli Violet alinifanya nijione nisie na shukrani, mapenzi yote haya bado na cheat. Alikusudi kwa dhati kuniumiza moyo wangu kwa kunipenda na kunijali, niliumia kiukweli.

Kesho yake nilimuomba amjulishe Rosemary kuwa niko salama, asihofu.

** ** **
Baada ya zike siku 14 kuisha, nikarudi kazini, Livia hayupo, nikauliza kumhusu, nikaambiwa amesitisha mkataba wake.

Nilikaa mwezi mzima bila kujua lolote kuhusu Livia, hatimae siku moja nakuta email yake

** ** **
Rafiki yangu Edson.

Pole kwa yote yaliyokupata, sikuwa na namna ya kukuepusha nayo, ila mimi ndie mwenye makosa.

Najua utakuwa unanichukia, hasa kwa kuhisi nilikudanganya, hapana sijakudanganya.

Ludvig sio mume wangu, kuna mengi unapaswa kuyajua, tafadhali naomba unipe nafasi ya kukuona, utaujua ukweli.

Usimwamini Ludvig, atakupa pesa nyingi kama alivyo kwambia, ila utakuwa umekikaribisha kifo chako mwenyewe. Naomba nikuone haraka iwezekanavyo.

Wako rafiki, Livia.

** ** **
Nilimjibu ile email, lakini kwa uangalifu usije kuwa mtego. Nilipopata uhakika ni Livia, akaniambia kwa wakati huo Ludvig ameenda Bolivia kwenye biashara zake, akirudi ndio natakiwa nianze kazi aliyosema.

Sikumkubalia haraka, ila aliposisitiza nikamwambia tuonane Helsinki, asichukue hotel, nitampa mimi location.

Ijumaa baada ya kazi nilienda Helsinki, nikatafuta hotel ya kawaida, nikamuomba tukutane station ya train, alipofika baada ya kuhakikisha kuna usalama, nikachukua taxi kwenda hotel niliyopanga.

Livia alinieleza mambo mengi sana, sikutegemea kabisa. Ludvig hakuwa amemuoa, japo alimpangia kwenye ile apartment tuliyopelekwa.

Walianzisha urafiki huku Ludvig akimpa pesa nyingi kila mara, baada ya miezi 9 ya uhusiano, akamwambia azma yake ya kutaka amtumie kwenye biashara zake,

Livia: "Mwanzo nilikubali, sikuwa najua ni biashara gani, na hakuwa tayari kuniambia mpaka nikikubali. Nilimkubalia kwa vile nilimpenda sana, alikuwa ananijali sana. Baada ya kukubali, ndio akaniambia ni biashara ya madawa ya kulevya, nilishtuka sana na sikuamini kama anafanya hiyo biashara. "

" Nilimwambia siko tayari kufanya hiyo biashara, ila kwa kuhofia usalama wangu nikamwahidi nitaendelea kuwa mpenzi wake, ila sitashiri biashara yake. Alikubali ila akanimbia siku nikitoa siri yake au kuachana nae ataniua. Niliahidi sitafanya hivyo. "

Nilipokuona, ukanivutia sana, nikahisi ndio wakati wa kujiondoa kwa Ludvig. Nikaanza harakati za kukuvutia, sikusubiri mpaka unione, nilihitaji kuachana na Ludvig haraka. Uliponiambia umeoa, nilikuwa nimeshakupenda sana, nikashindwa kukuacha.

Nikajipa moyo nitaanza na wewe ila nikifanikiwa kutoka nitaanza maisha mapya. . Penzi lako likaniteka, nikajikuta nakupenda kuliko nilivyotegemea, nikahofia kukupoteza endapo nitakujulisha shida yangu.

Siku nimeachana na wewe, nilikuta Ludvig amerudi, bila kunijulisha kama ilivyokuwa kawaida yake, sikutegemea kumkuta pale nyumbani, akataka kujua nilikotoka, hatimae akaziona meseji zetu. Alimtuma yule Hugo akufatilie, akajua mpaka hotel unayokaa ingwa mimi ulinificha.

Ludvig anajuana na wafanyakazi wengi wa hotel za malmo, wengi ni watu wake. Ndio maana nilikataa ile hotel uliyochagua siku ile, kuna mwanamke anatembea nae, ni mfanyakazi wa pele na mara nyingi Ludvig anakuwepo pale.

Livia alinieleza mambo mengi sana, tulitumia masaa manne hivi, nikajua kwa nini Ludvig aliniambia nikiwa mwaminifu kwake atanipa maisha mazuri, kumbe ni zungu la unga, anataka niwe punda wake.

Livia: "Edson najua ni kosa langu mpka wewe kukutwa na haya yote, nakuomba nisaidie niepukane na Ludvig, na pia wewe uwepukane nae."

Edson: "Usijilaumu, tatizo limeshatokea, tunatakiwa tutafute namna ya kulimaliza sio kulaumiana. Unataka nikusaidieje?"

Livia: "Nataka niondoke kwa Ludvig, nataka niwe mbali na malmo."

Edson: "Unajua sio rahisi kumuepuka mtu unaejua siri zake, amani yake ni pale unapokuwa mikononi mwake."

Livia: "Tafadhali Edson, nisaidie, huwezi shindwa, nakuomba kwa vile sina msaada wala tumaini lingine."

Edson: "Sawa, nipe wazo lako."

Livia: "Kumbuka uliniahidi jambo pindi nikikupa ua langu, Naomba utizime ahadi yako, nahitaji kuwa mbali na Malmo, mbali na Ludvig."

Edson: "Sawa, nitatimiza, lakini halitakuwa jibu la kudumu, inatakiwa upate njia ya kudumu."

Livia: "Nikiwa salama mbali na Ludvig, nitafikiria cha kufanya, nahitaji tu kupumzisha akili."

Edson: "Unataka kwenda lini?."

Livia: "Hata kesho, sitamani kurudi malmo, sitamani kukutana na Ludvig, hii ni nafasi pekee ninayo. "

Edson: "Hapana, ukiondoka ghafla bila kujipanga, utaniingiza matatizoni, atahisi nahusika."

Livia: "Sasa nifanyeje."

Nilimshauri Livia arudi kwa Ludvig, amsubiri mpaka arudi, huku tunajipanga, siku akiondoka tena, nae aondoke siku hiyo hiyo.

Nilimshauri asiache ushahidi wa kweli nyuma, badala yake amwachie ujumbe kuwa atamtunzia siri zake, ila hataweza kuwa nae, bora akaanze maisha mapya.

Kukoleza mchanganyo, afanye booking ya hotel za Marekani, atafute tiketi ya Marekani, ahakikishe huo ushahidi anauacha pale ndani.

Baada ya maongezi hayo, akasema amenimisi sana, anaomba nimsadie. Tulipiga show kama kawaida, alilia sana kuwa atanikosa kabisa, baada ya magoli kadhaa, tulilala na kesho yake kila mmoja aliondoka kivyake kurudi Malmo.

* **
Baada ya wiki moja ya toka tumeonana na Livia kule Helsinki, Ludvig alinitafuta, tukaonana, nikakubali ofa yake kwa malengo mawili, moja ili Livia akitoroka, Ludvig asiwe na mashaka na mimi, pili kuwa na uhakika wa usalama wangu nikiwa natafuta namna ya kumkwepa.

Alifurahi sana, akaniambia kazi yangu ni kupeleka mzigo wake Canada na sehemu zingine atakazoniambia, nitalipwa nusu nikichukua mzigo na nusu nikifikisha mzigo. Gharama za usafiri na hotel ni juu yake yeye, nikakubali yote.

{ Kumbe Ludvig alikuwa wakala tu, kuna mabosi zake walikuwa wanamtumia na yeye anapaswa kutengeneza team yake ili asiingie field moja kwa moja.}

Baada ya maongezi mengi ikiwa pamoja na masharti ya hiyo kazi, tuliagana kwa makubaliano ya kuanza kazi baada ya wiki mbili.

[The details about me and Ludving, which have been suppressed from this part, will find their way into the series of this story, I did it under the terms of the contractual agreement. I will say when I arrive at the end.]

* **
Niliongea na Rosemary, nikamdanganya kuwa kuna dada alinisaidia ilipotekwa, ni mfanyakazi mwenzangu, wale watekaji wanamtafuta, naomba anisaidie kumficha, maana aliokoa uhai wangu.

Rosemary huwa anajifanya mjinga, hapendi ujuaji lakini ana machale sana. Ila hapo hakuwa na sababu ya kunikatalia, kwa vile huyo mwanamke akiwa Tanzania mimi nitaendelea kubaki sweden, hakuona hatari yoyote. Ila nilimsisitiza sana, asimwambie Violet kwa kuwa ni mgonvi sana, asimwamini sana.

Baada ya kuwa na uhakika, niliwasiliana na Livia, nikataka tuonane Helsinki akiwa tayari na hatarudu tena kwa Ludvig. Akumbuke kuacha ushahidi wa uongo.

* **
Baada ya wiki, Livia aliondoka na nguo zake kiasi, akaenda Denmark, kisha akaenda Helsinki. Lengo ni asiache nafasi ya kufatiliwa. Alikata tiketi ya Denmark na kufanya booking ya hotel, aka print hizo taarifa akaziweka kwenye mkoba wake, akajitahidi kuuficha, lakini alijua lazima Ludvig apekue kila sehemu. Alipofika Denmark alichua ndege nyingine mpaka Helsinki, ushahidi alioacha ulionyesha atalala Denmark.

* * *
Baada ya kuonana na Livia kule Helsinki, tulikubaliana kuwa asisubutu kumweleza Rosemary kuhusu uhusiano wetu, mimi na yeye tumefahamia baada ya kunioko. Alikubali na kuniahidi hatafanya jambo lolote la kumfanya mke wangu ahisi chochote.

Tulipiga show ya mwisho kabisa katika uhusiano ule, kesho yake nikaondoaka, yeye akikuwa anaondoka siku ya tatu yake, nilishampa maelekezo ya namna ya kukutana na mwenyeji wake.

Livia alifika Tanzania, akapokelewa na Rosemary, japo alijitahidi kumdadisi lakini Livia hakudanganyika, baada ya muda Rosemary akaamini hakuna baya kati yangu na Livia.

Alipangiwa safari ya ngorongoro na serengeti, akatumia siku 14 huko, kisha akarudi kwa Rosemary.

Rosemary alikaa nae kwa miezi miwili, ndipo Livia akaamua kuondoka kwenda Hispania kuanza maisha mapya. Tuliendelea kuwasiliana ila uhusiano ulifika mwisho, alianza maisha mapya.

Huyu dada mpaka leo hajanisahau, yuko na watoto watatu sasa, amekuwa kama wakala wangu mzuri sana wa utalii, ananiletea sana wageni. Analipa fadhira, kawa family friends akija Tanzania hakai hotels anajua ana ndugu.

Ameolewa kwa sasa, mara nyingi wanakuja kutembea Tanzania, hajawahi vunja ahadi ya kuniheshimu, amezificha kabisa hisia zake kwangu.

Nilijiunga na chuo ili nipate maarifa, sikutaka kuwaza starehe, nikaona bora nipate elimu mbali mbali. Pia niwe mbali na wanawake, niwe busy.

{Tangu nikiwa Germany, nimekuwa nikisoma vitu tofauti na career yangu, ninasoma kile ninachohitaji mimi na kupenda kukijua sio ili nikuze Career yangu. }

* **
Next
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.
Livia.jpg
 
People Who Claim to Have the Highest Sexual Partners in History

11 Hugh Hefner: ~1,000
10 Simon Cowell, Dennis Rodman, and Jack Nicholson: ~2,000 each
9 Julio Iglesias: ~3,000
8 Ron Jeremy: ~4,000
7 Gene Simmons: ~4,800
6 Charlie Sheen: ~5,000
5 Warren Beatty: ~12,775
4 John Holmes: ~14,000
3 Wilt Chamberlain, ~20,000
2 Fidel Castro, ~35,000
1 The Fokkens Twins, ~177,500 EACH! (only women in list)
Mweee!
 
🤣🤣 dawa ya deni ni kulipa. Mda mwingine ukiwa na mikopo hata hela zinakata kabisa. Kumbe nikijiunga na chama cha kausha damu nitapata mbususu zankutosha nije nisimuliw kisa changu hapa😀
Ila za nini wakati hazina utelezi🤣
Hazina utelezi kweli zitakuongooea mikelele haujaingiza jitu linajiliza mikelele ya uwongo kumbe unaibiwa na hivi wanaumr wengi hawana ujuzi wa kujua mwanamke kafika kileleni basi linajiona kidume 😂mjanja haibiwi dadek maana vaginal muscles lazima zi crench mwanamke Aki orgasm yaani automatically mbususu inafinyia kwa ndani kwani naandika nini???!@leadermoe
 
Hazina utelezi kweli zitakuongooea mikelele haujaingiza jitu linajiliza mikelele ya uwongo kumbe unaibiwa na hivi wanaumr wengi hawana ujuzi wa kujua mwanamke kafika kileleni basi linajiona kidume 😂mjanja haibiwi dadek maana vaginal muscles lazima zi crench mwanamke Aki orgasm yaani automatically mbususu inafinyia kwa ndani kwani naandika nini???!@leadermoe
Jamani mie mgeni wa hayo mnayozungumza Gily mtu wako kajibu huku🏃🏃🏃
 
Note: Nimejaribu kutumia kiswahili sehemu kubwa ili watu wapate ujumbe niliokusudia. Kuanzia hapa na sehemu zifatazo, kiswahili kitatawala. Au mnasemaje wadau 🦻

Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

She cried as she slapped my lap.

Flashback

Ludvig:" Remove the bandage, please. "

Akauchukua, unga alipewa na yule mpambe, akaninyunyizia kwenye kidonda. Nilipata maumivu sana, kisha Livia akanifunga, damu ziliacha kutoka.

{Ludvig hakutaka ile risasi iingie mwilini kwangu, aliipalaza juu ya nyama, haikugusa mfupa, ikatua ukutani}

Ilikuwa saa tano usiku yule Hugo akaniongoza kurudi kwenye gari, akanipeleka mpaka semehu kuna usafiri wa uma akaniacha hapo, akanionya nisiende hospital, jeraha litapona haraka, hawakuchukua chochote nilichokuwa nacho, walisafisha account pekee.

** ** ** **

Flashforward

Nilikaa kituoni, ikasimama taxi, nikapanda, nikampa maelekezo.

Nilifika hotelini, nikajimwaga kitandani, nikawaza kilichotokea ni kweli au ni ndoto tu. Nikaenda kuoga, chakula kikaletwa ila sikula, nikaambiwa mkeo amepiga simu hapa baada ya kukukosa hewani, kasema umtafute.

{ Simu niliyokuwa nawasiliana na Livia sikuwa nayo, na sikumbuki niliiacha wapi, labda kwenye ile apartment.}

Nikampigia simu mfini wangu, nikamweleza mkasa wote, ila sikumwambia kisa ni mwanamke. Violet aliumia sana, usiku ule ule alinitumia kiasi kikubwa cha pesa kwenye account yangu, akaahidi kuja kesho yake. Niliona sio vizuri kutomtafuta Rosemary.

Nikachukua simu ambayo huitumia nikiwa Tanzania, nikampigia, hakuwa amelala tangu nilipompigia mwanzo, Nilimweleza mkasa wote ila nikaficha chanzo halisi, mke wangu alilia sana mpaka nikakata simu nimuache Kwanza. Ila wote sikuwambia kama nimepigwa risasi, niliwaeleza kuhusu pesa.

Rosemary aliniahidi kesho yake asubuhi ataenda bank anitumie pesa, ila nilimkataza, nikamwambia Violet ameshanitumia, nikihitaji zaidi nitamjulisha. Baada ya hayo maongezi nilikunywa pain killer, nikalala.

** ** **
Kesho yake niliamka na maumivu makali sana, nikatoa taarifa ofisini kuwa nimepata matatizo nimeumia, sitaweza kwenda siku hiyo. Wakanielekeza cha kufanya, nikatumiwa kwa email yenye sick sheet file ili niende hospital.

Sikuweza kwenda kwa vile wangelifanyia uchunguzi jeraha langu, ingebainika kuwa ni risasi, ningekabidhiwa kwa polisi, ili nipate form ya matibabu. Sikutaka hilo lijulikane kwa ajili ya usalama wangu.

Mida ya mchana, Violet alifika hapo hotelini kwangu, alivyoniona akaanza kulia, mkono umevimba, nina maumivu makali. Akanitaka twende hospitali ila nikakataa maana kufanya hivyo ni kuhatarisha maisha yangu na Livia, nilishaonywa.

Purple aliumia sana baada ya kugundua nimepigwa risasi, akahamaki kwa nini nilimficha na kuhatarisha maisha yangu.

Purple: " Edson, kwanini hukuniambia umepigwa risasi? Huon kama umehatarisha uhai wako?"

Edson: " Usipaniki mke wangu, ni jereha la kawaida tu, nitakuwa salama."

Purple: " Hivi wewe mwanaume unanichukuliaje?, unaijua thamani yako moyoni mwangu? Unajua kama wanao wa nakuhitaji? "

Edson :" sasa maneno yote ya nini mke wangu, najua nimekuogopesha lakini niko salama, usijali. "

Purple:" Tunaenda hospital kisha tunaenda polisi, naomba iwe hivyo. "

Edson:" Tafuta namna nyingine, hospital siendi na polisi pia siendi. Ni kwa ajili ya uhai wangu pls elewa. "

Baada ya kuona nimegoma, Violet aliongea na rafiki zake kadhaa, hatimae akaniambia twende nikapate matibabu, kwa mtu anae mwamini.

Tulichukua taxi kwenda mtaa wa
nyumbani kwa dada moja ambae ni daktari, walisoma chuo kimoja na Violet, na walikuwa marafiki.

Alinifanyia usafi wa kidonda, akatoa risasi, akanifunga dawa na kunichoma sindao ya kusaidia kukausha kile kidonda, nilimuomba kwa kuwa siwezi kwenda hospitali, anisaidie kujaza ile sick sheet, alisema kesho yake angeenda nayo kazini kwake, itaijaza na kugonga mhuri na atanipa mapumziko ya siku 14.

Aliniacha nipumzike ila kila mmoja ana hamu ya kujua kilichonipata, baada ya masaa mawili maumivu yalikata, usingizi uliisha nikakaa kitandani, muda wote Violet hakuondoka hapo kitandani.

Violet: "Pole sana mume wangu, unajisikia kwa sasa."

Edson: "Naendelea vizuri, asante sana."

Yule dada akaingia, alimletea rafiki yake juice, hakuwa amekula toka ameondoka Rovaniemi.

Dada: "Pole, Unaendeleaje."

Edson: "Asante sana Dr, nina nafuu sasa."

Dr: "Usijali hiyo sindano itakusaidia kuondoa maumivu kwa muda mrefu."

Edson: "Asante sana Dr."

Dr: "Naitwa Astrid, Dr. Astrid"

Edson: "Nashukuru Dr. Astrid, Mungu akubariki sana kwa msaada huu."

Dr. Astrid usijali, ngoja nimpe nafasi mkeo ana hamu ya kuongea na wewe, Purple ukinihitaji niko jikoni.

Violet: "Sawa Astrid, tunashukuru."

Aliondoka tukapa wasaa wa kuongea, niliwaza niendelee kudanganya au niseme ukweli, vipi akijakugundua badae? nitaeleweka?.

Nikaamua kueleza ukweli, Violet alilia sana na kunilaumu kwa kutokuwa mwaminifu, amejitahidi kuwa karibu na mimi ili kuniweka mbali na vishawishi, lakini nimeshindwa kumthamini.

Violet: "Unakosa nini kwangu Edson, hawa wanawake watakufikisha wapi? Ulinisaliti Ethiopia japo ulikataa niliamua kukusamehe, hapa pia umenisaliti, unashida gani? Sikulizishi?."

Edson: "Hapana Purple, usiwaze hivyo, Ethiopia nilikwambia na narudia, yule dada sikuwa na mahusiano nae, huyu wa hapa kweli nimeanzisha uhusiano nae lakini hatujawahi kulala pamoja, ndio kwanza tuna wiki tongu tumeanza kufahamiana, na yametokea haya. Samahani sana. "

Violet:" Hivi unajua unayoyafanya sasa hivi, yanapaswa kufanywa na Edson jr sio wewe? Unataka wanao wajifunze nini kwako?"

Alilia huku ananipiga piga vimakofi mapajani,

Edson: "Honey, I am so sorry for whatever I have done. You are the best girl in the world and I know that I accept you as the most beautiful and sweet girl in the world. I feel blessed and grateful because you are in my life. But after all, I have committed a terrible mistake by cheating on you, I am so sorry for this, honey. I want let you know that I will never repeat such mistakes again . "

Violet:" I never knew what real love would be like until I met you. You taught me how to love, how to show how I feel, how to care, and how to be responsible. Now I feel like I have everything I need in life. I love you, and words won’t ever be enough to thank you for all you have done for me. Is my wish this go on forever but you keep hurting me, cheating on me Edson, why? ."

Violet alikuwa na uchungu sana moyoni, kwa mara ya kwanza niliumia kwa huzuni yake, nilikosa raha.

Edson:" Violet, you mean the world to me , I can’t stop tearing thinking about you. You are the best girl in my life. I am so blessed that you are with me. Please forgive me for whatever I have done. I can promise you that I will never make such terrible mistakes, I am sorry for everything my lovely wife . "

Violet:" I am so disappointed by your deception. I gave you everything and you took me for granted. Anyone could have made this mistake, but not you. I made a wrong decision with you."

Edson:" Honey, I am so sorry for whatever I have done to you. Look, I am accepting all my mistakes and wrongdoing. I hope I will never repeat such things. Please forgive me for this, I am feeling extremely bad for whatever I have done, please forgive me."

Violet:" I’m wondering how you’re going to tell your family that we’re done. I hope for once you’ll be honest about your betrayal. Tell them you gave up on this relationship first."

Edson:" Purple my love, I'm not letting you go, never on earth. You're my wife, we stay together as family, I promise I will change otherwise you wish for my death ."

Violet:" Unataka nikufanyie nini ili ujue thamani yako moyoni mwangu? Ninakufanyia kila kitu, nakupendezesha mume wangu, yote haya ni kukuonyesha jinsi ninavyo kuthamini, lakini hauliziki Edson."

Edson: "When I look back, I can see lots of good memories with you, but I did wrong by cheating on you. I can understand my mistake and I want to assure you that I will never make such a terrible mistake again. Please accept my apology and forgive me for this time, I am so sorry honey. "

Violet:" Bahati yako pekee ni kwamba sina uwezo wa kukuacha Edson, wewe ni mwanaume wa ki pekee sana moyoni mwangu, wewe ni baba wa wanangu, nikikukosa sitakuwa na sababu ya kuishi, unanipa mawazo sana"

Edson: "I’m so sorry! I’m sorry for all those sleepless nights you endured because of me. I’m sorry, I hurt you and broke your trust. The biggest mistake I ever made was risking us, and what we have together over one stupid, meaningless night. You are the most valuable part of my life and I can’t let go of you, the memories we share and the future we imagined. I hope you can forgive me. If you give me one second chance to prove how much I love you, I won’t let you down."

Violet:" kama kweli unanihitaji niendelee kuwa maishani kwako, tufunge ndoa ya serikali, ili niwe na uhakika wa wewe kuwatunza wanangu ikitokea sipo. "

{Violet aliniomba hili tangu zamani, nikawa namkwepa, ila leo limekuja kama sehemu ya sharti la kusamehewa. }

Edson:" Sawa mke wangu, fanya maandalizi, nikipona tutafanya. Ila nikuhakikishie, hawa sio wanao pekee ni wetu sote, ninawajibu wa kuwatunza hata bila ndoa, ni damu yangu."

Violet: "Asante sana mume wangu, asante kwa kunipenda na kunithamini, asante kwa kuniahidi ndoa."

{ Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Violet alikubali kunisamehe, alikua ananipenda sana kupita kiasi, mpaka nikawa naogopa na kujiuliza kilichomchanganya vile ni nini, mbona Rosemary hajawa kama yeye.}

Siku hiyo hatukurudi hotelini, tulilala kwa Astrid, lakini no tango, baba anaumwa. Usiku akawa kila mara ananiangalia, ananifunika, ananibusu paji la uso, mara anilalie, kwa kweli Violet alinifanya nijione nisie na shukrani, mapenzi yote haya bado na cheat. Alikusudi kwa dhati kuniumiza moyo wangu kwa kunipenda na kunijali, niliumia kiukweli.

Kesho yake nilimuomba amjulishe Rosemary kuwa niko salama, asihofu.

** ** **
Baada ya zike siku 14 kuisha, nikarudi kazini, Livia hayupo, nikauliza kumhusu, nikaambiwa amesitisha mkataba wake.

Nilikaa mwezi mzima bila kujua lolote kuhusu Livia, hatimae siku moja nakuta email yake

** ** **
Rafiki yangu Edson.

Pole kwa yote yaliyokupata, sikuwa na namna ya kukuepusha nayo, ila mimi ndie mwenye makosa.

Najua utakuwa unanichukia, hasa kwa kuhisi nilikudanganya, hapana sijakudanganya.

Ludvig sio mume wangu, kuna mengi unapaswa kuyajua, tafadhali naomba unipe nafasi ya kukuona, utaujua ukweli.

Usimwamini Ludvig, atakupa pesa nyingi kama alivyo kwambia, ila utakuwa umekikaribisha kifo chako mwenyewe. Naomba nikuone haraka iwezekanavyo.

Wako rafiki, Livia.

** ** **
Nilimjibu ile email, lakini kwa uangalifu usije kuwa mtego. Nilipopata uhakika ni Livia, akaniambia kwa wakati huo Ludvig ameenda Bolivia kwenye biashara zake, akirudi ndio natakiwa nianze kazi aliyosema.

Sikumkubalia haraka, ila aliposisitiza nikamwambia tuonane Helsinki, asichukue hotel, nitampa mimi location.

Ijumaa baada ya kazi nilienda Helsinki, nikatafuta hotel ya kawaida, nikamuomba tukutane station ya train, alipofika baada ya kuhakikisha kuna usalama, nikachukua taxi kwenda hotel niliyopanga.

Livia alinieleza mambo mengi sana, sikutegemea kabisa. Ludvig hakuwa amemuoa, japo alimpangia kwenye ile apartment tuliyopelekwa.

Walianzisha urafiki huku Ludvig akimpa pesa nyingi kila mara, baada ya miezi 9 ya uhusiano, akamwambia azma yake ya kutaka amtumie kwenye biashara zake,

Livia: "Mwanzo nilikubali, sikuwa najua ni biashara gani, na hakuwa tayari kuniambia mpaka nikikubali. Nilimkubalia kwa vile nilimpenda sana, alikuwa ananijali sana. Baada ya kukubali, ndio akaniambia ni biashara ya madawa ya kulevya, nilishtuka sana na sikuamini kama anafanya hiyo biashara. "

" Nilimwambia siko tayari kufanya hiyo biashara, ila kwa kuhofia usalama wangu nikamwahidi nitaendelea kuwa mpenzi wake, ila sitashiri biashara yake. Alikubali ila akanimbia siku nikitoa siri yake au kuachana nae ataniua. Niliahidi sitafanya hivyo. "

Nilipokuona, ukanivutia sana, nikahisi ndio wakati wa kujiondoa kwa Ludvig. Nikaanza harakati za kukuvutia, sikusubiri mpaka unione, nilihitaji kuachana na Ludvig haraka. Uliponiambia umeoa, nilikuwa nimeshakupenda sana, nikashindwa kukuacha.

Nikajipa moyo nitaanza na wewe ila nikifanikiwa kutoka nitaanza maisha mapya. . Penzi lako likaniteka, nikajikuta nakupenda kuliko nilivyotegemea, nikahofia kukupoteza endapo nitakujulisha shida yangu.

Siku nimeachana na wewe, nilikuta Ludvig amerudi, bila kunijulisha kama ilivyokuwa kawaida yake, sikutegemea kumkuta pale nyumbani, akataka kujua nilikotoka, hatimae akaziona meseji zetu. Alimtuma yule Hugo akufatilie, akajua mpaka hotel unayokaa ingwa mimi ulinificha.

Ludvig anajuana na wafanyakazi wengi wa hotel za malmo, wengi ni watu wake. Ndio maana nilikataa ile hotel uliyochagua siku ile, kuna mwanamke anatembea nae, ni mfanyakazi wa pele na mara nyingi Ludvig anakuwepo pale.

Livia alinieleza mambo mengi sana, tulitumia masaa manne hivi, nikajua kwa nini Ludvig aliniambia nikiwa mwaminifu kwake atanipa maisha mazuri, kumbe ni zungu la unga, anataka niwe punda wake.

Livia: "Edson najua ni kosa langu mpka wewe kukutwa na haya yote, nakuomba nisaidie niepukane na Ludvig, na pia wewe uwepukane nae."

Edson: "Usijilaumu, tatizo limeshatokea, tunatakiwa tutafute namna ya kulimaliza sio kulaumiana. Unataka nikusaidieje?"

Livia: "Nataka niondoke kwa Ludvig, nataka niwe mbali na malmo."

Edson: "Unajua sio rahisi kumuepuka mtu unaejua siri zake, amani yake ni pale unapokuwa mikononi mwake."

Livia: "Tafadhali Edson, nisaidie, huwezi shindwa, nakuomba kwa vile sina msaada wala tumaini lingine."

Edson: "Sawa, nipe wazo lako."

Livia: "Kumbuka uliniahidi jambo pindi nikikupa ua langu, Naomba utizime ahadi yako, nahitaji kuwa mbali na Malmo, mbali na Ludvig."

Edson: "Sawa, nitatimiza, lakini halitakuwa jibu la kudumu, inatakiwa upate njia ya kudumu."

Livia: "Nikiwa salama mbali na Ludvig, nitafikiria cha kufanya, nahitaji tu kupumzisha akili."

Edson: "Unataka kwenda lini?."

Livia: "Hata kesho, sitamani kurudi malmo, sitamani kukutana na Ludvig, hii ni nafasi pekee ninayo. "

Edson: "Hapana, ukiondoka ghafla bila kujipanga, utaniingiza matatizoni, atahisi nahusika."

Livia: "Sasa nifanyeje."

Nilimshauri Livia arudi kwa Ludvig, amsubiri mpaka arudi, huku tunajipanga, siku akiondoka tena, nae aondoke siku hiyo hiyo.

Nilimshauri asiache ushahidi wa kweli nyuma, badala yake amwachie ujumbe kuwa atamtunzia siri zake, ila hataweza kuwa nae, bora akaanze maisha mapya.

Kukoleza mchanganyo, afanye booking ya hotel za Marekani, atafute tiketi ya Marekani, ahakikishe huo ushahidi anauacha pale ndani.

Baada ya maongezi hayo, akasema amenimisi sana, anaomba nimsadie. Tulipiga show kama kawaida, alilia sana kuwa atanikosa kabisa, baada ya magoli kadhaa, tulilala na kesho yake kila mmoja aliondoka kivyake kurudi Malmo.

* **
Baada ya wiki moja ya toka tumeonana na Livia kule Helsinki, Ludvig alinitafuta, tukaonana, nikakubali ofa yake kwa malengo mawili, moja ili Livia akitoroka, Ludvig asiwe na mashaka na mimi, pili kuwa na uhakika wa usalama wangu nikiwa natafuta namna ya kumkwepa.

Alifurahi sana, akaniambia kazi yangu ni kupeleka mzigo wake Canada na sehemu zingine atakazoniambia, nitalipwa nusu nikichukua mzigo na nusu nikifikisha mzigo. Gharama za usafiri na hotel ni juu yake yeye, nikakubali yote.

{ Kumbe Ludvig alikuwa wakala tu, kuna mabosi zake walikuwa wanamtumia na yeye anapaswa kutengeneza team yake ili asiingie field moja kwa moja.}

Baada ya maongezi mengi ikiwa pamoja na masharti ya hiyo kazi, tuliagana kwa makubaliano ya kuanza kazi baada ya wiki mbili.

[The details about me and Ludving, which have been suppressed from this part, will find their way into the series of this story, I did it under the terms of the contractual agreement. I will say when I arrive at the end.]

* **
Niliongea na Rosemary, nikamdanganya kuwa kuna dada alinisaidia ilipotekwa, ni mfanyakazi mwenzangu, wale watekaji wanamtafuta, naomba anisaidie kumficha, maana aliokoa uhai wangu.

Rosemary huwa anajifanya mjinga, hapendi ujuaji lakini ana machale sana. Ila hapo hakuwa na sababu ya kunikatalia, kwa vile huyo mwanamke akiwa Tanzania mimi nitaendelea kubaki sweden, hakuona hatari yoyote. Ila nilimsisitiza sana, asimwambie Violet kwa kuwa ni mgonvi sana, asimwamini sana.

Baada ya kuwa na uhakika, niliwasiliana na Livia, nikataka tuonane Helsinki akiwa tayari na hatarudu tena kwa Ludvig. Akumbuke kuacha ushahidi wa uongo.

* **
Baada ya wiki, Livia aliondoka na nguo zake kiasi, akaenda Denmark, kisha akaenda Helsinki. Lengo ni asiache nafasi ya kufatiliwa. Alikata tiketi ya Denmark na kufanya booking ya hotel, aka print hizo taarifa akaziweka kwenye mkoba wake, akajitahidi kuuficha, lakini alijua lazima Ludvig apekue kila sehemu. Alipofika Denmark alichua ndege nyingine mpaka Helsinki, ushahidi alioacha ulionyesha atalala Denmark.

* * *
Baada ya kuonana na Livia kule Helsinki, tulikubaliana kuwa asisubutu kumweleza Rosemary kuhusu uhusiano wetu, mimi na yeye tumefahamia baada ya kunioko. Alikubali na kuniahidi hatafanya jambo lolote la kumfanya mke wangu ahisi chochote.

Tulipiga show ya mwisho kabisa katika uhusiano ule, kesho yake nikaondoaka, yeye akikuwa anaondoka siku ya tatu yake, nilishampa maelekezo ya namna ya kukutana na mwenyeji wake.

Livia alifika Tanzania, akapokelewa na Rosemary, japo alijitahidi kumdadisi lakini Livia hakudanganyika, baada ya muda Rosemary akaamini hakuna baya kati yangu na Livia.

Alipangiwa safari ya ngorongoro na serengeti, akatumia siku 14 huko, kisha akarudi kwa Rosemary.

Rosemary alikaa nae kwa miezi miwili, ndipo Livia akaamua kuondoka kwenda Hispania kuanza maisha mapya. Tuliendelea kuwasiliana ila uhusiano ulifika mwisho, alianza maisha mapya.

Huyu dada mpaka leo hajanisahau, yuko na watoto watatu sasa, amekuwa kama wakala wangu mzuri sana wa utalii, ananiletea sana wageni. Analipa fadhira, kawa family friends akija Tanzania hakai hotels anajua ana ndugu.

Ameolewa kwa sasa, mara nyingi wanakuja kutembea Tanzania, hajawahi vunja ahadi ya kuniheshimu, amezificha kabisa hisia zake kwangu.

Nilijiunga na chuo ili nipate maarifa, sikutaka kuwaza starehe, nikaona bora nipate elimu mbali mbali. Pia niwe mbali na wanawake, niwe busy.

{Tangu nikiwa Germany, nimekuwa nikisoma vitu tofauti na career yangu, ninasoma kile ninachohitaji mimi na kupenda kukijua sio ili nikuze Career yangu. }

* **
Next
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.
View attachment 2598575
Binamu Hapo mwisho unataka kusema uliokoka au
 
Mzee baba umenishinda tabia yaani ukapigwa risasi na bado ukatafuna mzigo 😄😄😁
Note: Nimejaribu kutumia kiswahili sehemu kubwa ili watu wapate ujumbe niliokusudia. Kuanzia hapa na sehemu zifatazo, kiswahili kitatawala. Au mnasemaje wadau 👂🦻

Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

💓She cried as she slapped my lap.

Flashback

Ludvig:" Remove the bandage, please. "

Akauchukua, unga alipewa na yule mpambe, akaninyunyizia kwenye kidonda. Nilipata maumivu sana, kisha Livia akanifunga, damu ziliacha kutoka.

{Ludvig hakutaka ile risasi iingie mwilini kwangu, aliipalaza juu ya nyama, haikugusa mfupa, ikatua ukutani}

Ilikuwa saa tano usiku yule Hugo akaniongoza kurudi kwenye gari, akanipeleka mpaka semehu kuna usafiri wa uma akaniacha hapo, akanionya nisiende hospital, jeraha litapona haraka, hawakuchukua chochote nilichokuwa nacho, walisafisha account pekee.

** ** ** **

Flashforward

Nilikaa kituoni, ikasimama taxi, nikapanda, nikampa maelekezo.

Nilifika hotelini, nikajimwaga kitandani, nikawaza kilichotokea ni kweli au ni ndoto tu. Nikaenda kuoga, chakula kikaletwa ila sikula, nikaambiwa mkeo amepiga simu hapa baada ya kukukosa hewani, kasema umtafute.

{ Simu niliyokuwa nawasiliana na Livia sikuwa nayo, na sikumbuki niliiacha wapi, labda kwenye ile apartment.}

Nikampigia simu mfini wangu, nikamweleza mkasa wote, ila sikumwambia kisa ni mwanamke. Violet aliumia sana, usiku ule ule alinitumia kiasi kikubwa cha pesa kwenye account yangu, akaahidi kuja kesho yake. Niliona sio vizuri kutomtafuta Rosemary.

Nikachukua simu ambayo huitumia nikiwa Tanzania, nikampigia, hakuwa amelala tangu nilipompigia mwanzo, Nilimweleza mkasa wote ila nikaficha chanzo halisi, mke wangu alilia sana mpaka nikakata simu nimuache Kwanza. Ila wote sikuwambia kama nimepigwa risasi, niliwaeleza kuhusu pesa.

Rosemary aliniahidi kesho yake asubuhi ataenda bank anitumie pesa, ila nilimkataza, nikamwambia Violet ameshanitumia, nikihitaji zaidi nitamjulisha. Baada ya hayo maongezi nilikunywa pain killer, nikalala.

** ** **
Kesho yake niliamka na maumivu makali sana, nikatoa taarifa ofisini kuwa nimepata matatizo nimeumia, sitaweza kwenda siku hiyo. Wakanielekeza cha kufanya, nikatumiwa kwa email yenye sick sheet file ili niende hospital.

Sikuweza kwenda kwa vile wangelifanyia uchunguzi jeraha langu, ingebainika kuwa ni risasi, ningekabidhiwa kwa polisi, ili nipate form ya matibabu. Sikutaka hilo lijulikane kwa ajili ya usalama wangu.

Mida ya mchana, Violet alifika hapo hotelini kwangu, alivyoniona akaanza kulia, mkono umevimba, nina maumivu makali. Akanitaka twende hospitali ila nikakataa maana kufanya hivyo ni kuhatarisha maisha yangu na Livia, nilishaonywa.

Purple aliumia sana baada ya kugundua nimepigwa risasi, akahamaki kwa nini nilimficha na kuhatarisha maisha yangu.

Purple: " Edson, kwanini hukuniambia umepigwa risasi? Huon kama umehatarisha uhai wako?"

Edson: " Usipaniki mke wangu, ni jereha la kawaida tu, nitakuwa salama."

Purple: " Hivi wewe mwanaume unanichukuliaje?, unaijua thamani yako moyoni mwangu? Unajua kama wanao wa nakuhitaji? "

Edson :" sasa maneno yote ya nini mke wangu, najua nimekuogopesha lakini niko salama, usijali. "

Purple:" Tunaenda hospital kisha tunaenda polisi, naomba iwe hivyo. "

Edson:" Tafuta namna nyingine, hospital siendi na polisi pia siendi. Ni kwa ajili ya uhai wangu pls elewa. "

Baada ya kuona nimegoma, Violet aliongea na rafiki zake kadhaa, hatimae akaniambia twende nikapate matibabu, kwa mtu anae mwamini.

Tulichukua taxi kwenda mtaa wa
nyumbani kwa dada moja ambae ni daktari, walisoma chuo kimoja na Violet, na walikuwa marafiki.

Alinifanyia usafi wa kidonda, akatoa risasi, akanifunga dawa na kunichoma sindao ya kusaidia kukausha kile kidonda, nilimuomba kwa kuwa siwezi kwenda hospitali, anisaidie kujaza ile sick sheet, alisema kesho yake angeenda nayo kazini kwake, itaijaza na kugonga mhuri na atanipa mapumziko ya siku 14.

Aliniacha nipumzike ila kila mmoja ana hamu ya kujua kilichonipata, baada ya masaa mawili maumivu yalikata, usingizi uliisha nikakaa kitandani, muda wote Violet hakuondoka hapo kitandani.

Violet: "Pole sana mume wangu, unajisikia kwa sasa."

Edson: "Naendelea vizuri, asante sana."

Yule dada akaingia, alimletea rafiki yake juice, hakuwa amekula toka ameondoka Rovaniemi.

Dada: "Pole, Unaendeleaje."

Edson: "Asante sana Dr, nina nafuu sasa."

Dr: "Usijali hiyo sindano itakusaidia kuondoa maumivu kwa muda mrefu."

Edson: "Asante sana Dr."

Dr: "Naitwa Astrid, Dr. Astrid"

Edson: "Nashukuru Dr. Astrid, Mungu akubariki sana kwa msaada huu."

Dr. Astrid usijali, ngoja nimpe nafasi mkeo ana hamu ya kuongea na wewe, Purple ukinihitaji niko jikoni.

Violet: "Sawa Astrid, tunashukuru."

Aliondoka tukapa wasaa wa kuongea, niliwaza niendelee kudanganya au niseme ukweli, vipi akijakugundua badae? nitaeleweka?.

Nikaamua kueleza ukweli, Violet alilia sana na kunilaumu kwa kutokuwa mwaminifu, amejitahidi kuwa karibu na mimi ili kuniweka mbali na vishawishi, lakini nimeshindwa kumthamini.

Violet: "Unakosa nini kwangu Edson, hawa wanawake watakufikisha wapi? Ulinisaliti Ethiopia japo ulikataa niliamua kukusamehe, hapa pia umenisaliti, unashida gani? Sikulizishi?."

Edson: "Hapana Purple, usiwaze hivyo, Ethiopia nilikwambia na narudia, yule dada sikuwa na mahusiano nae, huyu wa hapa kweli nimeanzisha uhusiano nae lakini hatujawahi kulala pamoja, ndio kwanza tuna wiki tongu tumeanza kufahamiana, na yametokea haya. Samahani sana. "

Violet:" Hivi unajua unayoyafanya sasa hivi, yanapaswa kufanywa na Edson jr sio wewe? Unataka wanao wajifunze nini kwako?"

Alilia huku ananipiga piga vimakofi mapajani,

Edson: "Honey, I am so sorry for whatever I have done. You are the best girl in the world and I know that I accept you as the most beautiful and sweet girl in the world. I feel blessed and grateful because you are in my life. But after all, I have committed a terrible mistake by cheating on you, I am so sorry for this, honey. I want let you know that I will never repeat such mistakes again . "

Violet:" I never knew what real love would be like until I met you. You taught me how to love, how to show how I feel, how to care, and how to be responsible. Now I feel like I have everything I need in life. I love you, and words won’t ever be enough to thank you for all you have done for me. Is my wish this go on forever but you keep hurting me, cheating on me Edson, why? ."

Violet alikuwa na uchungu sana moyoni, kwa mara ya kwanza niliumia kwa huzuni yake, nilikosa raha.

Edson:" Violet, you mean the world to me , I can’t stop tearing thinking about you. You are the best girl in my life. I am so blessed that you are with me. Please forgive me for whatever I have done. I can promise you that I will never make such terrible mistakes, I am sorry for everything my lovely wife . "

Violet:" I am so disappointed by your deception. I gave you everything and you took me for granted. Anyone could have made this mistake, but not you. I made a wrong decision with you."

Edson:" Honey, I am so sorry for whatever I have done to you. Look, I am accepting all my mistakes and wrongdoing. I hope I will never repeat such things. Please forgive me for this, I am feeling extremely bad for whatever I have done, please forgive me."

Violet:" I’m wondering how you’re going to tell your family that we’re done. I hope for once you’ll be honest about your betrayal. Tell them you gave up on this relationship first."

Edson:" Purple my love, I'm not letting you go, never on earth. You're my wife, we stay together as family, I promise I will change otherwise you wish for my death ."

Violet:" Unataka nikufanyie nini ili ujue thamani yako moyoni mwangu? Ninakufanyia kila kitu, nakupendezesha mume wangu, yote haya ni kukuonyesha jinsi ninavyo kuthamini, lakini hauliziki Edson."

Edson: "When I look back, I can see lots of good memories with you, but I did wrong by cheating on you. I can understand my mistake and I want to assure you that I will never make such a terrible mistake again. Please accept my apology and forgive me for this time, I am so sorry honey. "

Violet:" Bahati yako pekee ni kwamba sina uwezo wa kukuacha Edson, wewe ni mwanaume wa ki pekee sana moyoni mwangu, wewe ni baba wa wanangu, nikikukosa sitakuwa na sababu ya kuishi, unanipa mawazo sana"

Edson: "I’m so sorry! I’m sorry for all those sleepless nights you endured because of me. I’m sorry, I hurt you and broke your trust. The biggest mistake I ever made was risking us, and what we have together over one stupid, meaningless night. You are the most valuable part of my life and I can’t let go of you, the memories we share and the future we imagined. I hope you can forgive me. If you give me one second chance to prove how much I love you, I won’t let you down."

Violet:" kama kweli unanihitaji niendelee kuwa maishani kwako, tufunge ndoa ya serikali, ili niwe na uhakika wa wewe kuwatunza wanangu ikitokea sipo. "

{Violet aliniomba hili tangu zamani, nikawa namkwepa, ila leo limekuja kama sehemu ya sharti la kusamehewa. }

Edson:" Sawa mke wangu, fanya maandalizi, nikipona tutafanya. Ila nikuhakikishie, hawa sio wanao pekee ni wetu sote, ninawajibu wa kuwatunza hata bila ndoa, ni damu yangu."

Violet: "Asante sana mume wangu, asante kwa kunipenda na kunithamini, asante kwa kuniahidi ndoa."

{ Hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Violet alikubali kunisamehe, alikua ananipenda sana kupita kiasi, mpaka nikawa naogopa na kujiuliza kilichomchanganya vile ni nini, mbona Rosemary hajawa kama yeye.}

Siku hiyo hatukurudi hotelini, tulilala kwa Astrid, lakini no tango, baba anaumwa. Usiku akawa kila mara ananiangalia, ananifunika, ananibusu paji la uso, mara anilalie, kwa kweli Violet alinifanya nijione nisie na shukrani, mapenzi yote haya bado na cheat. Alikusudi kwa dhati kuniumiza moyo wangu kwa kunipenda na kunijali, niliumia kiukweli.

Kesho yake nilimuomba amjulishe Rosemary kuwa niko salama, asihofu.

** ** **
Baada ya zike siku 14 kuisha, nikarudi kazini, Livia hayupo, nikauliza kumhusu, nikaambiwa amesitisha mkataba wake.

Nilikaa mwezi mzima bila kujua lolote kuhusu Livia, hatimae siku moja nakuta email yake

** ** **
Rafiki yangu Edson.

Pole kwa yote yaliyokupata, sikuwa na namna ya kukuepusha nayo, ila mimi ndie mwenye makosa.

Najua utakuwa unanichukia, hasa kwa kuhisi nilikudanganya, hapana sijakudanganya.

Ludvig sio mume wangu, kuna mengi unapaswa kuyajua, tafadhali naomba unipe nafasi ya kukuona, utaujua ukweli.

Usimwamini Ludvig, atakupa pesa nyingi kama alivyo kwambia, ila utakuwa umekikaribisha kifo chako mwenyewe. Naomba nikuone haraka iwezekanavyo.

Wako rafiki, Livia.

** ** **
Nilimjibu ile email, lakini kwa uangalifu usije kuwa mtego. Nilipopata uhakika ni Livia, akaniambia kwa wakati huo Ludvig ameenda Bolivia kwenye biashara zake, akirudi ndio natakiwa nianze kazi aliyosema.

Sikumkubalia haraka, ila aliposisitiza nikamwambia tuonane Helsinki, asichukue hotel, nitampa mimi location.

Ijumaa baada ya kazi nilienda Helsinki, nikatafuta hotel ya kawaida, nikamuomba tukutane station ya train, alipofika baada ya kuhakikisha kuna usalama, nikachukua taxi kwenda hotel niliyopanga.

Livia alinieleza mambo mengi sana, sikutegemea kabisa. Ludvig hakuwa amemuoa, japo alimpangia kwenye ile apartment tuliyopelekwa.

Walianzisha urafiki huku Ludvig akimpa pesa nyingi kila mara, baada ya miezi 9 ya uhusiano, akamwambia azma yake ya kutaka amtumie kwenye biashara zake,

Livia: "Mwanzo nilikubali, sikuwa najua ni biashara gani, na hakuwa tayari kuniambia mpaka nikikubali. Nilimkubalia kwa vile nilimpenda sana, alikuwa ananijali sana. Baada ya kukubali, ndio akaniambia ni biashara ya madawa ya kulevya, nilishtuka sana na sikuamini kama anafanya hiyo biashara. "

" Nilimwambia siko tayari kufanya hiyo biashara, ila kwa kuhofia usalama wangu nikamwahidi nitaendelea kuwa mpenzi wake, ila sitashiri biashara yake. Alikubali ila akanimbia siku nikitoa siri yake au kuachana nae ataniua. Niliahidi sitafanya hivyo. "

Nilipokuona, ukanivutia sana, nikahisi ndio wakati wa kujiondoa kwa Ludvig. Nikaanza harakati za kukuvutia, sikusubiri mpaka unione, nilihitaji kuachana na Ludvig haraka. Uliponiambia umeoa, nilikuwa nimeshakupenda sana, nikashindwa kukuacha.

Nikajipa moyo nitaanza na wewe ila nikifanikiwa kutoka nitaanza maisha mapya. . Penzi lako likaniteka, nikajikuta nakupenda kuliko nilivyotegemea, nikahofia kukupoteza endapo nitakujulisha shida yangu.

Siku nimeachana na wewe, nilikuta Ludvig amerudi, bila kunijulisha kama ilivyokuwa kawaida yake, sikutegemea kumkuta pale nyumbani, akataka kujua nilikotoka, hatimae akaziona meseji zetu. Alimtuma yule Hugo akufatilie, akajua mpaka hotel unayokaa ingwa mimi ulinificha.

Ludvig anajuana na wafanyakazi wengi wa hotel za malmo, wengi ni watu wake. Ndio maana nilikataa ile hotel uliyochagua siku ile, kuna mwanamke anatembea nae, ni mfanyakazi wa pele na mara nyingi Ludvig anakuwepo pale.

Livia alinieleza mambo mengi sana, tulitumia masaa manne hivi, nikajua kwa nini Ludvig aliniambia nikiwa mwaminifu kwake atanipa maisha mazuri, kumbe ni zungu la unga, anataka niwe punda wake.

Livia: "Edson najua ni kosa langu mpka wewe kukutwa na haya yote, nakuomba nisaidie niepukane na Ludvig, na pia wewe uwepukane nae."

Edson: "Usijilaumu, tatizo limeshatokea, tunatakiwa tutafute namna ya kulimaliza sio kulaumiana. Unataka nikusaidieje?"

Livia: "Nataka niondoke kwa Ludvig, nataka niwe mbali na malmo."

Edson: "Unajua sio rahisi kumuepuka mtu unaejua siri zake, amani yake ni pale unapokuwa mikononi mwake."

Livia: "Tafadhali Edson, nisaidie, huwezi shindwa, nakuomba kwa vile sina msaada wala tumaini lingine."

Edson: "Sawa, nipe wazo lako."

Livia: "Kumbuka uliniahidi jambo pindi nikikupa ua langu, Naomba utizime ahadi yako, nahitaji kuwa mbali na Malmo, mbali na Ludvig."

Edson: "Sawa, nitatimiza, lakini halitakuwa jibu la kudumu, inatakiwa upate njia ya kudumu."

Livia: "Nikiwa salama mbali na Ludvig, nitafikiria cha kufanya, nahitaji tu kupumzisha akili."

Edson: "Unataka kwenda lini?."

Livia: "Hata kesho, sitamani kurudi malmo, sitamani kukutana na Ludvig, hii ni nafasi pekee ninayo. "

Edson: "Hapana, ukiondoka ghafla bila kujipanga, utaniingiza matatizoni, atahisi nahusika."

Livia: "Sasa nifanyeje."

Nilimshauri Livia arudi kwa Ludvig, amsubiri mpaka arudi, huku tunajipanga, siku akiondoka tena, nae aondoke siku hiyo hiyo.

Nilimshauri asiache ushahidi wa kweli nyuma, badala yake amwachie ujumbe kuwa atamtunzia siri zake, ila hataweza kuwa nae, bora akaanze maisha mapya.

Kukoleza mchanganyo, afanye booking ya hotel za Marekani, atafute tiketi ya Marekani, ahakikishe huo ushahidi anauacha pale ndani.

Baada ya maongezi hayo, akasema amenimisi sana, anaomba nimsadie. Tulipiga show kama kawaida, alilia sana kuwa atanikosa kabisa, baada ya magoli kadhaa, tulilala na kesho yake kila mmoja aliondoka kivyake kurudi Malmo.

* **
Baada ya wiki moja ya toka tumeonana na Livia kule Helsinki, Ludvig alinitafuta, tukaonana, nikakubali ofa yake kwa malengo mawili, moja ili Livia akitoroka, Ludvig asiwe na mashaka na mimi, pili kuwa na uhakika wa usalama wangu nikiwa natafuta namna ya kumkwepa.

Alifurahi sana, akaniambia kazi yangu ni kupeleka mzigo wake Canada na sehemu zingine atakazoniambia, nitalipwa nusu nikichukua mzigo na nusu nikifikisha mzigo. Gharama za usafiri na hotel ni juu yake yeye, nikakubali yote.

{ Kumbe Ludvig alikuwa wakala tu, kuna mabosi zake walikuwa wanamtumia na yeye anapaswa kutengeneza team yake ili asiingie field moja kwa moja.}

Baada ya maongezi mengi ikiwa pamoja na masharti ya hiyo kazi, tuliagana kwa makubaliano ya kuanza kazi baada ya wiki mbili.

[The details about me and Ludving, which have been suppressed from this part, will find their way into the series of this story, I did it under the terms of the contractual agreement. I will say when I arrive at the end.]

* **
Niliongea na Rosemary, nikamdanganya kuwa kuna dada alinisaidia ilipotekwa, ni mfanyakazi mwenzangu, wale watekaji wanamtafuta, naomba anisaidie kumficha, maana aliokoa uhai wangu.

Rosemary huwa anajifanya mjinga, hapendi ujuaji lakini ana machale sana. Ila hapo hakuwa na sababu ya kunikatalia, kwa vile huyo mwanamke akiwa Tanzania mimi nitaendelea kubaki sweden, hakuona hatari yoyote. Ila nilimsisitiza sana, asimwambie Violet kwa kuwa ni mgonvi sana, asimwamini sana.

Baada ya kuwa na uhakika, niliwasiliana na Livia, nikataka tuonane Helsinki akiwa tayari na hatarudu tena kwa Ludvig. Akumbuke kuacha ushahidi wa uongo.

* **
Baada ya wiki, Livia aliondoka na nguo zake kiasi, akaenda Denmark, kisha akaenda Helsinki. Lengo ni asiache nafasi ya kufatiliwa. Alikata tiketi ya Denmark na kufanya booking ya hotel, aka print hizo taarifa akaziweka kwenye mkoba wake, akajitahidi kuuficha, lakini alijua lazima Ludvig apekue kila sehemu. Alipofika Denmark alichua ndege nyingine mpaka Helsinki, ushahidi alioacha ulionyesha atalala Denmark.

* * *
Baada ya kuonana na Livia kule Helsinki, tulikubaliana kuwa asisubutu kumweleza Rosemary kuhusu uhusiano wetu, mimi na yeye tumefahamia baada ya kunioko. Alikubali na kuniahidi hatafanya jambo lolote la kumfanya mke wangu ahisi chochote.

Tulipiga show ya mwisho kabisa katika uhusiano ule, kesho yake nikaondoaka, yeye akikuwa anaondoka siku ya tatu yake, nilishampa maelekezo ya namna ya kukutana na mwenyeji wake.

Livia alifika Tanzania, akapokelewa na Rosemary, japo alijitahidi kumdadisi lakini Livia hakudanganyika, baada ya muda Rosemary akaamini hakuna baya kati yangu na Livia.

Alipangiwa safari ya ngorongoro na serengeti, akatumia siku 14 huko, kisha akarudi kwa Rosemary.

Rosemary alikaa nae kwa miezi miwili, ndipo Livia akaamua kuondoka kwenda Hispania kuanza maisha mapya. Tuliendelea kuwasiliana ila uhusiano ulifika mwisho, alianza maisha mapya.

Huyu dada mpaka leo hajanisahau, yuko na watoto watatu sasa, amekuwa kama wakala wangu mzuri sana wa utalii, ananiletea sana wageni. Analipa fadhira, kawa family friends akija Tanzania hakai hotels anajua ana ndugu.

Ameolewa kwa sasa, mara nyingi wanakuja kutembea Tanzania, hajawahi vunja ahadi ya kuniheshimu, amezificha kabisa hisia zake kwangu.

Nilijiunga na chuo ili nipate maarifa, sikutaka kuwaza starehe, nikaona bora nipate elimu mbali mbali. Pia niwe mbali na wanawake, niwe busy.

{Tangu nikiwa Germany, nimekuwa nikisoma vitu tofauti na career yangu, ninasoma kile ninachohitaji mimi na kupenda kukijua sio ili nikuze Career yangu. }

* **
Next
Part Fourteen D : Decisions are up to you, give money or die.{ Four years in Sweden}

🧎Restore me, Jesus. Live in me.
View attachment 2598575
 
Jamani mie mgeni wa hayo mnayozungumza Gily mtu wako kajibu huku🏃🏃🏃
Nourhan ukiwa unapiga deki jisahau upige chafya ukisikia mwangwi ujue hapo sio😬😬😬
Jokes aside? wanawake mmekuwa na mapicha picha sana Yan unakuta mtu anapiga kelel halafu analia vibaya. Kuna demu nilimnyony ziwa akalia kama mbuzi meeeeee. Mwingine nilipima oil akapiga mruziii pyyuuuuu labda atakuw alivyonza. Ngoja nipate ushauri kwa moneytalk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom