Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 5,361
- 9,235
Leo nimekumbuka mkasa huu nikawa nacheka sana. Ingawa imepita miaka karibia mitano hivi lakini ntajitahidi kusimulia tukio jinsi lilivokua pale KGB ilikupokumbana na ujasusi wa CIA. Moto uliwaka.
NB; Majina ntakayotumia humu sio halisi ili kuficha ID yangu.
Usiku mmoja nikiwa katika harakati za kwenda kumvizia manzi wangu upande wa pili kuna watu walikua bize kufatilia kwa karibu kila hatua nayopita mbaya zaidi sikiwa na habari hivo walifanikiwa kwa asilimia 99.9 katika mbio zao za ujasusi.
Nakumbuka ilikua kama saa tano na dakika kadhaa nikiwa kwenye shamba la mahindi niliisogelea nyumba aliyokua akiishi yule manzi niliona vyema mwanga ukitoka sebuleni mwao kuashiria kua walikua wakiangalia TV kwani kwa mbali nilisikia sauti ya vicheko ilikua ikifatana na matukio kadhaa yaliyokua yakiendelea kwenye movie yaliyokua wakiitazama.
Nilipiga simu na hazikupita hata sekunde tano ile simu ilipokelewa nilimpa taarifa aliyeipokea kua tayari nimeshafika alijibu jibu moja tu nakuja kisha akakata simu. Mwili ulinisisimka sana maana tamaa ya ngono ilikuwa imewaka juu ya mwili wangu na hata jogoo alianza kuwika kwenye suruali kuashiria kua kumekucha!
Wakati nikizidi kufurahi na kuwaza namna ntakavokula tunda japo sio kimasikhara, ghafla nikasikia mitikisiko ya majani ya mahindi kuashiria kua kuna kiumbe hai kilikua kinapita, mapigo yangu ya moyo yakaanza kwenda kasi na kuanza kutabiri majibu ya mjongeo ule.
Kwanza nilihisi labda ni mbwa lakini nikapuuzia maana angekua mbwa lazima angembweka lakini pia kilichonidhibitishia kua sio mbwa ni baada ya kumulika na tochi nilishia kusikia vishindo vya mtu akikimbia kwa kasi, Loh! Roho yangu ilishituka sana nikahisi huenda labda alikua mwizi wakati najiandaa kuchunguza zaidi kuhusu tukio lile ghafla simu yangu ikaita kumbe alikua Pendo,
Ndio huyo manzi niliekua nimekuja kumuwinda alikua kavaa kanga na sweta haloo kutokana na hamu niliyokua nayo juu ya huyu mrembo ukizingatia alikua ni binti mbichi kabisa chuchu saa sita na ule weupe wake na wowowo lakutetema dah! Nikasahau tukio na mtu aliekimbia kwenye mahindi ikabidi nideal na Pendo. Hao tukawahi kwenda ghetto kwangu. Hilo ndo kosa nililolifanya na nilikuja kujutia baadae bora ningemkimbiza adui yangu but it was too late.
Pale kijijini kwetu hakuna ambae alikua hanijui (sio kijijini kiivo but ni senta flani hivi ambayo imechanganyia sana japo siwezi kupaita mjini). Jina langu lilikua maarufu sana hata mtoto mdogo alieanza kuja pale senta kununua biskuti lazima tu alikua ananijua, cha ajabu wengi hawakua wakilijua jina langu halisi ila waliniita Ema CD.
Hii ilitokana na kazi yangu ya kuburn miziki. Aisee hii kazi ilinipa sana umaarufu kupitiliza. Mademu wakali pale senta walinizengea sana hasa ukizingatia nilikua yanki mwenye chapaa za kuwawezesha kula chipsi na kutatua shida ndogondogo wengi walijilengesha sana wengine tu wakitaka kuwa nami ili kuwatambia wenzao (wanawake wana mambo sana) basi ilikua vurugu mechi.
Hata huyo Pendo alikua ni rafiki wa demu wangu flani hivi na yeye mwenyewe ndo alionesha ishara kua anataka kuliwa so hata nilipomtokea sikupata upinzani kama wa Russia kwa Ukraine. Lakini sikujua kua ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu laiti ningejua.
Basi baada ya kumchukua Pendo tukazama hadi ghetto full kunyanduana ingawa mtoto alikua ni teenager lakini alikua na balaa sana sio siri niliinjoi mapenzi to the fullest. Ilipotimu mida ya saa 11 alfajiri nilimrudisha kwao kisha mi nikarudi ghetto kulala. Basi life likaendelea kama kawa, nakumbuka siku hiyo mchana alikuja kunitembelea kazini rafiki yangu kipenzi tumuuite Eddy. Baada ya salamu za hapa na pale tulianza kupiga stori nyingi tu jamaa akawa anaisifia sana laptop niliyokua nafanyia kazi kua ni mashine hatari sana na akaapa akivuna mahindi yake lazima na yeye anunue PC Kali kama ile.
Jamaa yangu huyu walikua mkulima hatari sana maana nakumbuka kipindi hicho alikua amelima kama heka 4 hivi za mahindi na yalikua yametoka sana. Tukawa tunacheka tena akagusia kwamba yeye wala hatanunua dukani coz kuna rafiki yake yupo mjini ni fundi kompyuta ndo ataenda kununua pale, akanikumbusha si ninamkumbuka yule jamaa aliyekushushia window? Nikasema yaa nakumbuka sana akasema sasa yule jamaa anauzaga PC na kompyuta zile desktop kali kwa bei cheap sana.
Baada ya hizo stori tukaanza stori za mademu. Na Mimi kujimwambafy nikamwambia kua usiku ulipita nilikesha na Pendo yule demu pisi mtoto wa daktari, nikazidi kutamba kua nimekula sana tunda jamaa akawa anacheka akasema hata hivo yeye ni Legend maana ndo alimtoa Pendo bikra.! Nikataka kubisha jamaa akanidhibitishia kua alimtumia dada yake Pendo coz alikua ni demu wa bro yake lakini alilazimika kumuhonga elfu hamsini. Dah nikakosa pozi, yaani dada yake Pendo alimkuwadi mdogo wake aliwe kisa pesa.! Kweli pesa ni sabuni ya roho, ila mwamba akasema nisiogope coz walishatemana basi tukaendelea na stori za pwagu na pwaguzi siku ikakata.
Sasa basi siku moja baada ya kumaliza kazi nilipaki vifaa vyangu na kusepa home. Ilikua ni kawaida yangu kuchukua PC, flash external na vifaa vingine na kusepa navyo ghetto. Nilipofika na kuvipanga nikarudi senta kucheki mechi nakumbuka ilikua mechi ya uefa kati ya Barcelona na PSG. Mechi iliisha kwa chama langu Barcelona kugongwa goli nne bila nikarudi home nimechoka balaa nikafungua mlango na kulala huku donge la hasira likiwa limenikaba sana. Usingizi nao haukua mbali ukanichua na kulala fofofo!
Sasa kibembe kikaja asubuhi kulipokucha wakati najiandaa kwenda kwenye mishe kucheki mezani sioni PC nikaamka kuangaza pote hamna kitu mwanzo nilizani ni masikhara baadae nikagundua kua ni kweli hakukua na PC nilihisi tumbo la kuhara likinishika. Nikajiuliza au niliisahau kule ofisini lakini nikajipinga maana ni Mimi mwenyewe nilikua nayo na kuipaki fresh mezani kabisa dah! Sasa itakua imeenda wapi? nani kaichukua? Na nikikumbuka hakuna aliyekua ameingia chumbani kwangu zaidi ya mimi mwenyewe aisee! Au kuna jini? Nilipagawa!
Nikakumbuka wakati natoka kuangalia mpira labda mlango ulikua umevunjwa lakini nilipouchunguza ulikua sawa kabisa na wala kufuli ilikua haina hata mchubuko Ohoo! Nikapaniki sana. Sasa ikibidi niite majirani na kuwashilikisha msala kila mtu akawa anaongea lake wengine wakasema labda niliisahau ofisi basi ikabidi niende ofisini. Nimefika nikakagua kila kona wapi.! Chozi likanilenga wazee, nikikumbuka nilivosota kuinunua ile PC nikaishiwa nguvu! Ikabidi nifunge ofisi sikutaka tena kurudi ghetto nikanyooka moja kwa moja kwenda home kwetu kabisa kwa wazazi hapo na mawazo kama million mia.
Itaendelea...
Muendelezo bonyeza kiungo hapo chini
Sehemu ya pili
NB; Majina ntakayotumia humu sio halisi ili kuficha ID yangu.
Usiku mmoja nikiwa katika harakati za kwenda kumvizia manzi wangu upande wa pili kuna watu walikua bize kufatilia kwa karibu kila hatua nayopita mbaya zaidi sikiwa na habari hivo walifanikiwa kwa asilimia 99.9 katika mbio zao za ujasusi.
Nakumbuka ilikua kama saa tano na dakika kadhaa nikiwa kwenye shamba la mahindi niliisogelea nyumba aliyokua akiishi yule manzi niliona vyema mwanga ukitoka sebuleni mwao kuashiria kua walikua wakiangalia TV kwani kwa mbali nilisikia sauti ya vicheko ilikua ikifatana na matukio kadhaa yaliyokua yakiendelea kwenye movie yaliyokua wakiitazama.
Nilipiga simu na hazikupita hata sekunde tano ile simu ilipokelewa nilimpa taarifa aliyeipokea kua tayari nimeshafika alijibu jibu moja tu nakuja kisha akakata simu. Mwili ulinisisimka sana maana tamaa ya ngono ilikuwa imewaka juu ya mwili wangu na hata jogoo alianza kuwika kwenye suruali kuashiria kua kumekucha!
Wakati nikizidi kufurahi na kuwaza namna ntakavokula tunda japo sio kimasikhara, ghafla nikasikia mitikisiko ya majani ya mahindi kuashiria kua kuna kiumbe hai kilikua kinapita, mapigo yangu ya moyo yakaanza kwenda kasi na kuanza kutabiri majibu ya mjongeo ule.
Kwanza nilihisi labda ni mbwa lakini nikapuuzia maana angekua mbwa lazima angembweka lakini pia kilichonidhibitishia kua sio mbwa ni baada ya kumulika na tochi nilishia kusikia vishindo vya mtu akikimbia kwa kasi, Loh! Roho yangu ilishituka sana nikahisi huenda labda alikua mwizi wakati najiandaa kuchunguza zaidi kuhusu tukio lile ghafla simu yangu ikaita kumbe alikua Pendo,
Ndio huyo manzi niliekua nimekuja kumuwinda alikua kavaa kanga na sweta haloo kutokana na hamu niliyokua nayo juu ya huyu mrembo ukizingatia alikua ni binti mbichi kabisa chuchu saa sita na ule weupe wake na wowowo lakutetema dah! Nikasahau tukio na mtu aliekimbia kwenye mahindi ikabidi nideal na Pendo. Hao tukawahi kwenda ghetto kwangu. Hilo ndo kosa nililolifanya na nilikuja kujutia baadae bora ningemkimbiza adui yangu but it was too late.
Pale kijijini kwetu hakuna ambae alikua hanijui (sio kijijini kiivo but ni senta flani hivi ambayo imechanganyia sana japo siwezi kupaita mjini). Jina langu lilikua maarufu sana hata mtoto mdogo alieanza kuja pale senta kununua biskuti lazima tu alikua ananijua, cha ajabu wengi hawakua wakilijua jina langu halisi ila waliniita Ema CD.
Hii ilitokana na kazi yangu ya kuburn miziki. Aisee hii kazi ilinipa sana umaarufu kupitiliza. Mademu wakali pale senta walinizengea sana hasa ukizingatia nilikua yanki mwenye chapaa za kuwawezesha kula chipsi na kutatua shida ndogondogo wengi walijilengesha sana wengine tu wakitaka kuwa nami ili kuwatambia wenzao (wanawake wana mambo sana) basi ilikua vurugu mechi.
Hata huyo Pendo alikua ni rafiki wa demu wangu flani hivi na yeye mwenyewe ndo alionesha ishara kua anataka kuliwa so hata nilipomtokea sikupata upinzani kama wa Russia kwa Ukraine. Lakini sikujua kua ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu laiti ningejua.
Basi baada ya kumchukua Pendo tukazama hadi ghetto full kunyanduana ingawa mtoto alikua ni teenager lakini alikua na balaa sana sio siri niliinjoi mapenzi to the fullest. Ilipotimu mida ya saa 11 alfajiri nilimrudisha kwao kisha mi nikarudi ghetto kulala. Basi life likaendelea kama kawa, nakumbuka siku hiyo mchana alikuja kunitembelea kazini rafiki yangu kipenzi tumuuite Eddy. Baada ya salamu za hapa na pale tulianza kupiga stori nyingi tu jamaa akawa anaisifia sana laptop niliyokua nafanyia kazi kua ni mashine hatari sana na akaapa akivuna mahindi yake lazima na yeye anunue PC Kali kama ile.
Jamaa yangu huyu walikua mkulima hatari sana maana nakumbuka kipindi hicho alikua amelima kama heka 4 hivi za mahindi na yalikua yametoka sana. Tukawa tunacheka tena akagusia kwamba yeye wala hatanunua dukani coz kuna rafiki yake yupo mjini ni fundi kompyuta ndo ataenda kununua pale, akanikumbusha si ninamkumbuka yule jamaa aliyekushushia window? Nikasema yaa nakumbuka sana akasema sasa yule jamaa anauzaga PC na kompyuta zile desktop kali kwa bei cheap sana.
Baada ya hizo stori tukaanza stori za mademu. Na Mimi kujimwambafy nikamwambia kua usiku ulipita nilikesha na Pendo yule demu pisi mtoto wa daktari, nikazidi kutamba kua nimekula sana tunda jamaa akawa anacheka akasema hata hivo yeye ni Legend maana ndo alimtoa Pendo bikra.! Nikataka kubisha jamaa akanidhibitishia kua alimtumia dada yake Pendo coz alikua ni demu wa bro yake lakini alilazimika kumuhonga elfu hamsini. Dah nikakosa pozi, yaani dada yake Pendo alimkuwadi mdogo wake aliwe kisa pesa.! Kweli pesa ni sabuni ya roho, ila mwamba akasema nisiogope coz walishatemana basi tukaendelea na stori za pwagu na pwaguzi siku ikakata.
Sasa basi siku moja baada ya kumaliza kazi nilipaki vifaa vyangu na kusepa home. Ilikua ni kawaida yangu kuchukua PC, flash external na vifaa vingine na kusepa navyo ghetto. Nilipofika na kuvipanga nikarudi senta kucheki mechi nakumbuka ilikua mechi ya uefa kati ya Barcelona na PSG. Mechi iliisha kwa chama langu Barcelona kugongwa goli nne bila nikarudi home nimechoka balaa nikafungua mlango na kulala huku donge la hasira likiwa limenikaba sana. Usingizi nao haukua mbali ukanichua na kulala fofofo!
Sasa kibembe kikaja asubuhi kulipokucha wakati najiandaa kwenda kwenye mishe kucheki mezani sioni PC nikaamka kuangaza pote hamna kitu mwanzo nilizani ni masikhara baadae nikagundua kua ni kweli hakukua na PC nilihisi tumbo la kuhara likinishika. Nikajiuliza au niliisahau kule ofisini lakini nikajipinga maana ni Mimi mwenyewe nilikua nayo na kuipaki fresh mezani kabisa dah! Sasa itakua imeenda wapi? nani kaichukua? Na nikikumbuka hakuna aliyekua ameingia chumbani kwangu zaidi ya mimi mwenyewe aisee! Au kuna jini? Nilipagawa!
Nikakumbuka wakati natoka kuangalia mpira labda mlango ulikua umevunjwa lakini nilipouchunguza ulikua sawa kabisa na wala kufuli ilikua haina hata mchubuko Ohoo! Nikapaniki sana. Sasa ikibidi niite majirani na kuwashilikisha msala kila mtu akawa anaongea lake wengine wakasema labda niliisahau ofisi basi ikabidi niende ofisini. Nimefika nikakagua kila kona wapi.! Chozi likanilenga wazee, nikikumbuka nilivosota kuinunua ile PC nikaishiwa nguvu! Ikabidi nifunge ofisi sikutaka tena kurudi ghetto nikanyooka moja kwa moja kwenda home kwetu kabisa kwa wazazi hapo na mawazo kama million mia.
Itaendelea...
Muendelezo bonyeza kiungo hapo chini
Sehemu ya pili