cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
[h=6]Umelala na mumeo ndani usiku kama saa saba mlango unagogwa kwenda kufungua unamkuta mama mkwe anakuambia anamuhitaji mwanae mwanae anaenda kuongea na mama yake anakuja kukuanga.
Mume:mke wangu naenda kwa mama chumbani kwakwe kupaka dawa
Mke:dawa??
Mume;ndio dawa mama anaenda kunipaka
Mke;sehemu gani kwani dawa unapakwa na kwanini mama ndio akupaka
Mume;mama ndio kaenda kwa mgaga kanikuta ninamataizo kaambiwa anipake dawa mwili mzima
.
Mke:mwili mzima??khaa sasa kwabnini nisikupake mie mkeo abaye ninahaki zote za kukuhudumia mume wangu jamani
Mume;ndio hivyoo mkeo wangu..
Huyo anatoka mda wa saa nane usiku anaenda chumbani kwa mama yake kavaa kibukta anakaa huko mpaka saa kumi kasoro anarudi ndani jamani..
Je ingekuwa ww ungefanyaje hapo?????
[/h]
Mume:mke wangu naenda kwa mama chumbani kwakwe kupaka dawa
Mke:dawa??
Mume;ndio dawa mama anaenda kunipaka
Mke;sehemu gani kwani dawa unapakwa na kwanini mama ndio akupaka
Mume;mama ndio kaenda kwa mgaga kanikuta ninamataizo kaambiwa anipake dawa mwili mzima
.
Mke:mwili mzima??khaa sasa kwabnini nisikupake mie mkeo abaye ninahaki zote za kukuhudumia mume wangu jamani
Mume;ndio hivyoo mkeo wangu..
Huyo anatoka mda wa saa nane usiku anaenda chumbani kwa mama yake kavaa kibukta anakaa huko mpaka saa kumi kasoro anarudi ndani jamani..
Je ingekuwa ww ungefanyaje hapo?????
[/h]