Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,536
- 8,624
mnajua kuna wanafiki waliokuwa wanafanya kazi na nyerere lakini wezi wakuu kama CLEOPA DAVID MSUYA ..utajiri wake ni mkubwa sana ..jadi benki kuu ikachomwa..ufisadi haukuanza aleo..lakini masikini mwalimu alikuwa akimuamini msuya....
mtu mwingine aliyekuwa akiaminiwa na mwalimu ni mramba ...alimpenda kwa kuwa alikuwa kati ya vijana walioenda nje kusoma kuja kuanzisha SIDO na NDC....na kiukweli mramba kama ni wizi kaanza enzi hizi ..zamani hakuwa na ujanja....mwalimu alimshauri mkapa ampe uwaziri baada ya kusota sana mbeya as mkuu wa mkoa baada ya kuangushwa ubunge....
mtu mwingine aliyekuwa akiaminiwa na mwalimu ni mramba ...alimpenda kwa kuwa alikuwa kati ya vijana walioenda nje kusoma kuja kuanzisha SIDO na NDC....na kiukweli mramba kama ni wizi kaanza enzi hizi ..zamani hakuwa na ujanja....mwalimu alimshauri mkapa ampe uwaziri baada ya kusota sana mbeya as mkuu wa mkoa baada ya kuangushwa ubunge....