Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Mina shauri hao wanakijiji wajichangishe watafute wakili wampeleke mkapa mahakamani!
Mahakama ipi hiyo? Kungekuwa na mahakama na sheria zinazotekelezwa Tanzania ungekuta Mkapa yuko Jela au nje kwa dhamana akisubiri hukumu kwa kesi zake za kuiuza nchi kwa wawekezaji uchwara, yeye mwenyewe na familia na marafiki wakiwa miongoni mwa wachwara hao.
Sitamsahau mkapa kwa kujidai kubinafsisha mashirika ya umma yote, hata yale ambayo yalihitaji tu kubadilisha uongozi (managament contract). Alifanya hivyo kwa kuwa mengi ya mashirika alifaidika nayo kwa ile 10% au kupewa vitega uchumi. Hivi ni nani anakumbuka lile panga or something of that nature cha dhahabu alikadidhiwa na kampuni moja ya madini?? Je aliliacha Ikulu kama mali ya serikali/archive au ni lake?? Aliye na zile picha za hongo/rushwa ile adondoshe hapa maana ilikuwa open na media ilirusha. sitakusahau kwa ufisadi wako wa kinafiki wewe mkaa kanisani kiti cha mbele wakati hata ndoa na familia imara huna.