MKAPA awa MAKAMBA UDSM...

hakuna news hapa wakuu huyu mleta thread amekurupuka, ni sawa na gazeti la uhuru la leo"Pinda amzima Mbowe" Wakati media zingine zote zimekuja na angle sahihi ya hoja ya Mbowe. Mleta thread jitafakari
 
Katika Mhadhara unaoendelea UDSM juu ya mchango wa sanaa katika mustakabali wa nchi zinazoendelea,Rais Mstaafu Benjamin W. Mkapa amejikuta nje ya mada.Mhadhara huo ulioandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere-Sanaa cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Mkapa aliacha mada na kuanza kuzungumzia siasa kama afanyavyo Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Yusuph Makamba.Makamba huzungumzia siasa popote na kwa yeyote,kwenye jambo lolote.

Mkapa alijikita zaidi kwenye kuzungumzia siasa kwa kurusha vijembe kwa upinzani badala ya kubaki kwenye mada.Mkapa,kwanini lakini?!

leta nukuu tujue pa kuanzia
 
Katika Mhadhara unaoendelea UDSM juu ya mchango wa sanaa katika mustakabali wa nchi zinazoendelea,Rais Mstaafu Benjamin W. Mkapa amejikuta nje ya mada.Mhadhara huo ulioandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere-Sanaa cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Mkapa aliacha mada na kuanza kuzungumzia siasa kama afanyavyo Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Yusuph Makamba.Makamba huzungumzia siasa popote na kwa yeyote,kwenye jambo lolote.

Mkapa alijikita zaidi kwenye kuzungumzia siasa kwa kurusha vijembe kwa upinzani badala ya kubaki kwenye mada.Mkapa,kwanini lakini?!

Anadai eti walibinafisha mashirika zaidi ya 300 na uzuri wake mengi yalibinafisishwa kwa watanzania yeye akiwa mmoja wapo.anaida yeye anasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu kufanya vibaya kwa mshirika yaliyobinafisishwa na amewataka wanaohusika watoe taarifa kwa wananchi.
 
Watz tulivyo mabweghe, tuliambiwa na kikwete mchafu tumuache mkapa mchafu apumzike. Ni vipi kipofu akamuongoza kipofu mwenzie?
"mkapa mvivu wa kufikiri"
 
Anadai eti walibinafisha mashirika zaidi ya 300 na uzuri wake mengi yalibinafisishwa kwa watanzania yeye akiwa mmoja wapo.anaida yeye anasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu kufanya vibaya kwa mshirika yaliyobinafisishwa na amewataka wanaohusika watoe taarifa kwa wananchi.

Yaani huyu mzee bado anasifu ubinafisishaji!!! kazi tunayo watanzania!
 
Mkapa ameuzungumzia hadi uchaguzi wa Arumeru Mashariki.Kuna wakati alisema:'wenzetu(akimaanisha wapinzani) wanakwepa kuhudhuria mihadhara kama hii.Wao wako busy na mikutano ya hadhara mikoani kujenga chama chao'

Wenye busara zao walisema, "nyani haoni? ..........." Mbona hakuzungumzia wao (nikimaanisha CCM) kutohudhuria midahalo mwaka juzi wakati wa uchaguzi mkuu?

Hivi huo mhadhara aliohudhuria leo na ile midahalo ambayo hawakuhudhuria ni kipi kilichokuwa muhimu zaidi kwa wananchi? Ama kweli hata maandiko fulani yanasema "enyi wanafiki, mbona mwachuja mbu na kumeza ngamia?".
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ngoja tuchukue nchi kwanza ndo tumnyofoe pensheni yetu tuone kama ataendelea kuongea pumba!
Nimemdharau sana huyu mla Panya bila kupenda!
 
Katika Mhadhara unaoendelea UDSM juu ya mchango wa sanaa katika mustakabali wa nchi zinazoendelea,Rais Mstaafu Benjamin W. Mkapa amejikuta nje ya mada.Mhadhara huo ulioandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere-Sanaa cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Mkapa aliacha mada na kuanza kuzungumzia siasa kama afanyavyo Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Yusuph Makamba.Makamba huzungumzia siasa popote na kwa yeyote,kwenye jambo lolote.

Mkapa alijikita zaidi kwenye kuzungumzia siasa kwa kurusha vijembe kwa upinzani badala ya kubaki kwenye mada.Mkapa,kwanini lakini?!

Guilty conscious hiyo! Sub conscious yake inamsuta kuwa betrayer. Amepoka raia njia kuu za uchumi (Mashirika ya umma) na kujimilikisha yeye na makuadi wenzake wa uchumi. Mkapa historia itamhukumu!
 
kubwa la mafisadi halina issue....

nimeliona jana linajaribu kuleta ukali utafikiri yeye bado Rais..wasomi wakakaa kimya wakaliacha liendelee kutoa utumbo wake wa kutetea upuuzi lililoufanya likiwa ikulu.
 
Kwa Mkapa upinzani ni uadui haswa. Hiyo ni tofauti kubwa kati ya Mkapa na JK, Mwinyi & Nyerere. Inaonyesha hata huu mfumo wa vyama vingi haupendi kabisa
 
Watz tulivyo mabweghe, tuliambiwa na kikwete mchafu tumuache mkapa mchafu apumzike. Ni vipi kipofu akamuongoza kipofu mwenzie?
"mkapa mvivu wa kufikiri"

Mimi nafikiri watanzania ndio wavivu wakufikiri. Wanasiasa wana2brain-wash kirahisi mno. Mimi nawachukia wanasiasa na najua ndio maadui wa jamii ye2. Inayumbishwa nao kilacku.
 
Back
Top Bottom