MKAPA awa MAKAMBA UDSM...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Katika Mhadhara unaoendelea UDSM juu ya mchango wa sanaa katika mustakabali wa nchi zinazoendelea,Rais Mstaafu Benjamin W. Mkapa amejikuta nje ya mada.Mhadhara huo ulioandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere-Sanaa cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Mkapa aliacha mada na kuanza kuzungumzia siasa kama afanyavyo Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Yusuph Makamba.Makamba huzungumzia siasa popote na kwa yeyote,kwenye jambo lolote.

Mkapa alijikita zaidi kwenye kuzungumzia siasa kwa kurusha vijembe kwa upinzani badala ya kubaki kwenye mada.Mkapa,kwanini lakini?!
 
Taarifa uliyoitoa ni nzuri,lakini haina mvuto kwa kuwa ni general sana!kwa nini usitupe nukuu moja ili tumtasimini vizuri!
 
Haya ndio matatizo ya waleta mada kuwa biased!
at the same time anataka kufikisha ujumbe , at the same time anataka wanaoupokea waupokee kwa vile alivyoelewa yeye.
kweli vyu vikuu vya kata vimeharibu elimu tanzania!
 
Bwaña hakuna mashindano ya kuleta mada,kama haujakaa vzul subiri waliotulia watuletee habari
 
si ndio ugonjwa anaougua? Kichwa moto, tumbo moto, na kila kitu moto kisa M4C.
 
Tutajie vijembe hivyo na vilikuwa vingapi? ili na sisi tupime kama kweli ni vijembe.

siasa ziko kila mahala hata JF tunahamisha mada mara nyingi.
 
Mkapa ameuzungumzia hadi uchaguzi wa Arumeru Mashariki.Kuna wakati alisema:'wenzetu(akimaanisha wapinzani) wanakwepa kuhudhuria mihadhara kama hii.Wao wako busy na mikutano ya hadhara mikoani kujenga chama chao'
 
Mbona we mwenyewe huna tofauti nao?badala ya kuzungumzia mada husika na evidence unabaki kueleza wasifu wao,jipange mzazi
 
Mimi naona ni damu ya Mwalimu aliyomwaga ndiyo inamfanya abakie mtu wa kuwewesekaweweseka.Namchukia sana huyu mkimbizi toka Msumbiji.
 
Back
Top Bottom