nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
- Thread starter
- #21
Well Yeye alikuwa Mtendaji; hata kama wizi ulikuwepo angalau tuliona Maendeleo kidogo...
Serikali yoyote inayotawala nchi huiba lakini nyingi huiba na kuonyesha pia Maendeleo that's why everyone wants 2 go to politics... You earn something...
Baba Mwinyi Serikali yake Iliiba hatukuona Maendeleo yoyote
Kaka Kikwete anaiba tutaona maendeleo? na hata akimaliza muda wake dunia itamkumbatia kama wanavyomkumbatia Mkapa; Mkapa amekuwa Sudan, Uswisi kwa shughuli za kidunia ina maana ana quality ...
Serikali yoyote inayotawala nchi huiba lakini nyingi huiba na kuonyesha pia Maendeleo that's why everyone wants 2 go to politics... You earn something...
Baba Mwinyi Serikali yake Iliiba hatukuona Maendeleo yoyote
Kaka Kikwete anaiba tutaona maendeleo? na hata akimaliza muda wake dunia itamkumbatia kama wanavyomkumbatia Mkapa; Mkapa amekuwa Sudan, Uswisi kwa shughuli za kidunia ina maana ana quality ...