popobawa2012
Senior Member
- Jul 5, 2012
- 135
- 21
Wanajf wenzangu naomba tukumbushane kidogo tu kuhusu hili tatizo sugu la ufisadi! G
kwa kweli kabisa kama sisi ni watu fair (unbiased) basi mtu anaitwa MKAPA ndo hasa alietuacha hapa leo katikati ya hili jangwa kubwa la UFISADI bila ata dira ya kutuonesha wapi tutokee ili tujiepushe na balaa hili. SABABU
1.Huyu ndie hasa alieanzisha ufisadi uliotukuka kuliko rais yeyote kuwahi kutokea apa TZ, ktk kipind cha miaka 10 alipiga bei fastafasta mali za umma kama kichaa uku yeye na rafik zake wa karibu na mkewe wakiwa ni beneficiaries in one way or another kwa mfano NBC licha ya kukatazwa na baba wa Taifa aliempa nchi yeye aliuza kwa bei ya kutupa, TTCL, ATC, TANESCO Management, nyumba za serikali, viwanda n.k n.k
hizo ni mali ziliztafutwa na umma sasa kuna mali za umma alitupa Mwenyez Mungu kwa mapenz yake kwa watz, migodi ya dhahabu, tanzanite,almas, makaa ya mawe, nia yake nchi hii kila kwenye mgodi yabaki mashimo na nyumba biscuti za wenyej ndo furaha yake! vitalu ktk mbuga za wanyama ndo usiseme: kabla ya hapo hapakuwai kutokea haya
2.huyu ndie aliwatetea kwa nguvu zote wawekezaji wasio na tija waje wafanye adhalimu huu hapa nchini mfano mzur NETGROUP SOLUTION waliingia kwa mtutu wa bunduki coz wananch waligoma, ata hivo hao net group walionekana hawana jipya. hivo basi kipind chake ilikua ngumu ata kuhoj mambo ndo mana nchi ikatafunwa vilivo. tofauti na leo au kabla yake.
3.huyu ndie alietetea sana mafisad wenzake kua ni watu waadirifu; lilikua linasema tatizo watz ni WAVIVU,WAZUSHI, WANA WIVU NA WASIOPENDA KUFANYA KAZI matokeo yake akazalisha mafisadi wa nguvu adi hawashikiki! mathalani leo hii mtu anaitwa CHENGE humuwezi ata ufanyaje mana ana nguvu ya pesa karibu ama sawa na ya serikali na wengine wengi kama rostam, white hair, n.k yaani hawa hata wakosee dola dhaifu hii haina cha kuwafanya. Kwa mfano rostam aligoma alipotwa na kamati ya BUNGE! Hadi leo ndo kwanza anaheshimika zaidi;wote hawa walizalishwa na mtu anaitwa MKAPA.
mengine mnaweza yaongeza hapo lakini kwa ujumla wake MKAPA aliiweka nchi mahali fulan pabaya kabisa kwa anaemfuata lazima angekutana na mziki mnene ndo huu JK anacheza adi anashangaa!
Kumbe huyu JK ambae naungana na Mnyika kua ni dhaifu anajitahid sana kurectify weather hii mbovu aliopewa na lile jamaa kwa kweli pamoja na UDHAIFU wake JK, amejitahid sana kwani mkapa alimwachia BOMU LILILOIVA.
Pamoja na hayo MKAPA aliweza kustabilize shiling, hazina kua na pesa, uwanja wa taifa na daraja la mkapa: tatizo mabaya yalikua mengi sana kias kwamba kwa sisi wanahisabati tuna assume kama yale mazuri ni sawa na hayapo KABISA kama tukicompare na mabaya yalio kua mengi kupitiliza.
sasa basi uyu MKAPA ndo haswaa wa kulaumiwa na kama me ningekua naweza ningemuondolea kinga ashtakiwe na akikutwa na hatia ANYONGWE ADI AFE mana yote haya ya leo kuanzia migomo ya vyuoni, Ulimboka adi meli kuzama kila mwaka, chimbuko lake ni MKAPA japo na waliojihusisha na hayo mambo nao wangeambulia jela za maisha tue kama CHINA nchi hii itasonga mbele.
huo ni mtazamo wangu tu
kwa kweli kabisa kama sisi ni watu fair (unbiased) basi mtu anaitwa MKAPA ndo hasa alietuacha hapa leo katikati ya hili jangwa kubwa la UFISADI bila ata dira ya kutuonesha wapi tutokee ili tujiepushe na balaa hili. SABABU
1.Huyu ndie hasa alieanzisha ufisadi uliotukuka kuliko rais yeyote kuwahi kutokea apa TZ, ktk kipind cha miaka 10 alipiga bei fastafasta mali za umma kama kichaa uku yeye na rafik zake wa karibu na mkewe wakiwa ni beneficiaries in one way or another kwa mfano NBC licha ya kukatazwa na baba wa Taifa aliempa nchi yeye aliuza kwa bei ya kutupa, TTCL, ATC, TANESCO Management, nyumba za serikali, viwanda n.k n.k
hizo ni mali ziliztafutwa na umma sasa kuna mali za umma alitupa Mwenyez Mungu kwa mapenz yake kwa watz, migodi ya dhahabu, tanzanite,almas, makaa ya mawe, nia yake nchi hii kila kwenye mgodi yabaki mashimo na nyumba biscuti za wenyej ndo furaha yake! vitalu ktk mbuga za wanyama ndo usiseme: kabla ya hapo hapakuwai kutokea haya
2.huyu ndie aliwatetea kwa nguvu zote wawekezaji wasio na tija waje wafanye adhalimu huu hapa nchini mfano mzur NETGROUP SOLUTION waliingia kwa mtutu wa bunduki coz wananch waligoma, ata hivo hao net group walionekana hawana jipya. hivo basi kipind chake ilikua ngumu ata kuhoj mambo ndo mana nchi ikatafunwa vilivo. tofauti na leo au kabla yake.
3.huyu ndie alietetea sana mafisad wenzake kua ni watu waadirifu; lilikua linasema tatizo watz ni WAVIVU,WAZUSHI, WANA WIVU NA WASIOPENDA KUFANYA KAZI matokeo yake akazalisha mafisadi wa nguvu adi hawashikiki! mathalani leo hii mtu anaitwa CHENGE humuwezi ata ufanyaje mana ana nguvu ya pesa karibu ama sawa na ya serikali na wengine wengi kama rostam, white hair, n.k yaani hawa hata wakosee dola dhaifu hii haina cha kuwafanya. Kwa mfano rostam aligoma alipotwa na kamati ya BUNGE! Hadi leo ndo kwanza anaheshimika zaidi;wote hawa walizalishwa na mtu anaitwa MKAPA.
mengine mnaweza yaongeza hapo lakini kwa ujumla wake MKAPA aliiweka nchi mahali fulan pabaya kabisa kwa anaemfuata lazima angekutana na mziki mnene ndo huu JK anacheza adi anashangaa!
Kumbe huyu JK ambae naungana na Mnyika kua ni dhaifu anajitahid sana kurectify weather hii mbovu aliopewa na lile jamaa kwa kweli pamoja na UDHAIFU wake JK, amejitahid sana kwani mkapa alimwachia BOMU LILILOIVA.
Pamoja na hayo MKAPA aliweza kustabilize shiling, hazina kua na pesa, uwanja wa taifa na daraja la mkapa: tatizo mabaya yalikua mengi sana kias kwamba kwa sisi wanahisabati tuna assume kama yale mazuri ni sawa na hayapo KABISA kama tukicompare na mabaya yalio kua mengi kupitiliza.
sasa basi uyu MKAPA ndo haswaa wa kulaumiwa na kama me ningekua naweza ningemuondolea kinga ashtakiwe na akikutwa na hatia ANYONGWE ADI AFE mana yote haya ya leo kuanzia migomo ya vyuoni, Ulimboka adi meli kuzama kila mwaka, chimbuko lake ni MKAPA japo na waliojihusisha na hayo mambo nao wangeambulia jela za maisha tue kama CHINA nchi hii itasonga mbele.
huo ni mtazamo wangu tu