A
Anonymous
Guest
Leo tarehe 21 mwezi wa 11 kumefanyika Kikao cha Wafanyakazi wanaojenga Mradi wa SGR na Maafisa Rasilimali Watu wa Kampuni ya Yapi Merkezi ambaye ni Mkandarasi Mkuu wa Mradi huo, hakuna muafaka ambao tumeufikiwa kati yetu.
Kikubwa ambacho tumezungumza ni kuwa Wao wametoa orodha ya majina ya Wafanyakazi ambao wanapunguzwa kazi lakini kwa masharti yapi hapo ndipo muafaka haujapatikana.
Wao wanadai Mkandarari Mkuu ameishiwa na ana hali ngumu kiuchumi.
Serikali iingilie kuangalia haki za Wafanyakazi ambao wanapunguzwa ili haki zao zipatikane.
Kikubwa ambacho tumezungumza ni kuwa Wao wametoa orodha ya majina ya Wafanyakazi ambao wanapunguzwa kazi lakini kwa masharti yapi hapo ndipo muafaka haujapatikana.
Wao wanadai Mkandarari Mkuu ameishiwa na ana hali ngumu kiuchumi.
Serikali iingilie kuangalia haki za Wafanyakazi ambao wanapunguzwa ili haki zao zipatikane.