LOCAL SPONSOR
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 385
- 695
Ponda majani ya mkaratusi/msandarusi (gum /eucalyptus) na uweke kiasi kidogo kwenye maji yanayochemka,chemsha kwa dakika 15 kisha ipua sufuria na uache mchanganyiko upoe, chovya kitambaa kisafi kwenye mchanganyiko na ukamue maji yaliyozidi, kukunje kitambaa na ukiweke sehemu yenye malengelenge, rudia kuweka kitambaa kila baada ya saa 2.
2.unaweza kutumia majani ya gerania (geranium) au mrujuani (lavender) kama hakuna msandarusi /mkaratusi (gum /eucalyptus)
3.Ponda kidonge kimoja cha aspirin na uchangaye na vijiko viwili vya vaseline kisha upake kwenye malengelenge, unaweza kurudia mara 3 kwa siku (zingatia panadol, paracetamol hazifai kwa mkanda wa jeshi)
Kama hakuna unafuu Ndani ya wiki 2 (au kama malengelenge yamepata uambukizo) tafadhali nenda hospital. Nasubiri mrejesho!
2.unaweza kutumia majani ya gerania (geranium) au mrujuani (lavender) kama hakuna msandarusi /mkaratusi (gum /eucalyptus)
3.Ponda kidonge kimoja cha aspirin na uchangaye na vijiko viwili vya vaseline kisha upake kwenye malengelenge, unaweza kurudia mara 3 kwa siku (zingatia panadol, paracetamol hazifai kwa mkanda wa jeshi)
Kama hakuna unafuu Ndani ya wiki 2 (au kama malengelenge yamepata uambukizo) tafadhali nenda hospital. Nasubiri mrejesho!