Mbilimbili
Senior Member
- Mar 17, 2012
- 172
- 19
je una dalili gani zaidi? andika zaidi upate kueleweka! ni tovuni tu? ni vipelevipele au la! au umenenepa kitambi kinakutoka?:thinking:
ni hayo tu mkuu wala sina dalili nyingine ni mstari kabisa sio vipele, pia mi nina umbo la wastani sana sio mnene kihivyo na ni juu ya kitovu tu.