Jana nilisikia JK akiwasomea wabunge na wazee wa Dom kitu kiitwacho "MKAMAKUKUTA" (abbreviation ni ya kwangu), yaani Mkakati Maalum wa Kuhami na Kuunusuru Uchumi Tanzania. Nimeshawahi kusikia mikakati mingi kama Mkurabita, Mkukuta, Memkwa, Onjama etc. lakini inaishia tu aidha kwenye makaratasi au kufurahisha wakubwa (WB na IMF).
The question is - will this Mkamakukuta work this time? Au ndio zile zile we only want to be praised by WB and IMF. Nakumbuka mwaka 1980 JKN (RIP) aliambiwa na WB na IMF apunguze thamani ya shilingi, alikataa na kuwakebehi na sisi huku tukaandamana kumuungunga mkono mwenyekiti wetu kwa fikra zake sahihi.
Again, can some elaborate the practical side of this Mkamakukuta?
The question is - will this Mkamakukuta work this time? Au ndio zile zile we only want to be praised by WB and IMF. Nakumbuka mwaka 1980 JKN (RIP) aliambiwa na WB na IMF apunguze thamani ya shilingi, alikataa na kuwakebehi na sisi huku tukaandamana kumuungunga mkono mwenyekiti wetu kwa fikra zake sahihi.
Again, can some elaborate the practical side of this Mkamakukuta?