Chilipamwao
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 523
- 128
Ndugu zangu bila shaka kwa wanaongalia bunge linaloendelea Dodoma utaona tofauti kubwa iliyopo kati ya wabunge wa CHADEMA na wale wa CCM, wa CHADEMA ni great thinkers na wenye mapenzi ya dhati na nchi yao. Lakini wa CCM kazi yao ni kupongeza hotba ya Raisi huyuhuyu, hahaha hii hatari yaani wanaupongeza ukasuku wake, mwongeaji mzuri lakini mtendaji mbovu zaidi wa nafasi yake katika karne hii.
Je Tutafika?
ninaomba kila mwenye mapenzi na nchi hii na kijana makini tuanze mikakati mbalimbali ya kuhakikisha CCM haipati madaraka kwa kuwa kwa sumu ya uchama waliyonyweshwa wako tayari kuunga hoja hata kama hawaipendi.
Je Tutafika?
ninaomba kila mwenye mapenzi na nchi hii na kijana makini tuanze mikakati mbalimbali ya kuhakikisha CCM haipati madaraka kwa kuwa kwa sumu ya uchama waliyonyweshwa wako tayari kuunga hoja hata kama hawaipendi.