Mjue gwiji wa sheria nchini Dkt. Lamwai

Na Lakha naye alikuwa wakili mzuri sana Pascal Mayalla ashaandika humu JF habari yake
kuna mawakili kama Lamwai, watu walikuwa wakisikia tarehe atakayokuwepo mahakamani, wanaenda tu kumwangalia kujifunza hata anavyoargue tu, wanafunzi na mawakili wachanga tulikuwa tunaenda kujifunza anavyopangilia hoja na kupangua mashambulizi. alikuwa shule kabisa enzi zake, though alipokuja kuzeeka na mambo mengi ya sheria yakabadilika hakuwa na uwezo wa kujisomea mambo mapya vijana damu mbichi ambao ni digitali wakawa wanampiga sana za uso, yeye anakuja na mauzoefu na misimamo yake ile ya zamani,kijana anamsubiria tu amalize afu anaongea kidogo tu kwa misimamo ya sasa. hapo ndio tulikuwa tunamchakaza.

sheria ni dynamic alafu ukiwa mwanasheria wewe ni mwanafunzi, utasoma maisha yako yote. kuna misimamo ya sheria inabadilika kila kukicha, zamani walikuwa wanasoma hardcopy, digitali ikaja na electronic, sheria na kesi law tunapat aelectronic, tukasumbua sana wazee wasiopenda computer na wengi wakaamua kustaafu au kukimbilia kwenye vyuo kufundisha.
 
kuna mawakili kama Lamwai, watu walikuwa wakisikia tarehe atakayokuwepo mahakamani, wanaenda tu kumwangalia kujifunza hata anavyoargue tu, wanafunzi na mawakili wachanga tulikuwa tunaenda kujifunza anavyopangilia hoja na kupangua mashambulizi. alikuwa shule kabisa enzi zake, though alipokuja kuzeeka na mambo mengi ya sheria yakabadilika hakuwa na uwezo wa kujisomea mambo mapya vijana damu mbichi ambao ni digitali wakawa wanampiga sana za uso, yeye anakuja na mauzoefu na misimamo yake ile ya zamani,kijana anamsubiria tu amalize afu anaongea kidogo tu kwa misimamo ya sasa. hapo ndio tulikuwa tunamchakaza.

sheria ni dynamic alafu ukiwa mwanasheria wewe ni mwanafunzi, utasoma maisha yako yote. kuna misimamo ya sheria inabadilika kila kukicha, zamani walikuwa wanasoma hardcopy, digitali ikaja na electronic, sheria na kesi law tunapat aelectronic, tukasumbua sana wazee wasiopenda computer na wengi wakaamua kustaafu au kukimbilia kwenye vyuo kufundisha.
Exactly Kila kitu kinaenda na wakati....
 
Dr Walid Aman Walid Kabourow ana record yake

1) Katibu Mkuu wa Chadema
2) Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa
3) Mbunge wa kwanza wa Jimbo wa Chadema
4) Mbunge wa Kwanza wa kutokea Upinzani baada ya kufanyika uchaguzi mdogo 1994
5) Kijana aliefungwa na kufukuzwa shule kwa kuchana kadi ya TANU na ya Baba wa Taifa, wa pili akiwa Hayati Mchungaji Christopher Mtikila
6) Kiongozi wa Kitaifa wa kwanza kutoka Chadema kuunga mkono juhudi
Kasome tena historia ya Kabourou, alifukuzwa shule kwa kudaiwa kumtoboa macho ( picha) Nyerere siyo kuchana kadi.
 
Ukiona msomi yeyote yeyote kaingia kwenye siasa, elewa kuwa huyo kasoma lakini hajaelimika.

Msomi kuingia kwenye siass iwe kwenye miaka yake ya kustaafu, ndipo kweli bado ana nia ya kuitumikia jamii.

Tazama kina Dr. Janabi, na fursa zote walizonazo na usomi wao lakini wamekataa kabisa kuingia kwenye siasa, Janabi alikataa mpaka uwaziri, anasema anataka kuitendea haki elimu yake. Hao ndiyo wasomi walioelimika.
Kuhusu Janabi? Ngoja tunyamaze. Alitumia taalam yake
 
Huku Dr Masumbuko Lamwai, Kule Joseph Selasini, pemben Mabere Marando katikati Lyatonga

winga akiwa Dr Walid Aman Walid Kabourou

nyuma yupo Dr Mihogo, bila ya kumsahau Prof nguli wa Uchumi

1995 ilikuwa ngumu sana kumwambia hata msomi kuwa hawa wote walikuwa 'watoto wa Baba mmoja ' ila baadae sana hatukutumia nguvu sana watu kuamini

next 20 years kuna Makamanda watu watakuwa hawataki hata kuwasikia japo sasa hivi huwaambi kitu

Kikosi cha Wabunge walioingia kwa tiketi ya vyama vingine ilikuwa hatare sana aisee

Igizo lilikuwa kama Hollywood hadi kina Prof Simon Mbilinyi wakang'oka mapema sana kwa ma kashfa kashfa

kuna Mwana Mama aliitwa Fatma Maghimbi ndio aligoma kuapishwa ilipofika zamu yake akiwa ndio Kiongozi wa kwanza wa Kambi ya Upinzani Bungeni

Heka heka za Dr Masumboko Lamwai ndio lilizalisha neno maarufu la Kihiyo kwny kesi ya Ubunge Jimbo la Temeke akimtetea Tambwe hiza

woooote hawa Wamerejea kwa Mola wao wakiwa wamesharudi CCM
Hao wote ni watu wa system, hawakuwepo upinzani kwa kuipinga serikali, walikuwepo kwa maslahi ya nchi.
 
Hao wote ni watu wa system, hawakuwepo upinzani kwa kuipinga serikali, walikuwepo kwa maslahi ya nchi.
ajuza una uwongo mwingi sana. lamwai kwahiyo alikuwa system hadi akafilisiwa na kunyang'anywa leseni ya kupractice kama fatuma karume vile? ulikuja kumwona wakati wa ustaafu wake namna alivyokuwa amechoka pale chuo kikuu cha tumaini? kama alikuwa kweney system kwanini walimfilisi.
 
ajuza una uwongo mwingi sana. lamwai kwahiyo alikuwa system hadi akafilisiwa na kunyang'anywa leseni ya kupractice kama fatuma karume vile? ulikuja kumwona wakati wa ustaafu wake namna alivyokuwa amechoka pale chuo kikuu cha tumaini? kama alikuwa kweney system kwanini walimfilisi.
Alijisahau kama alivyojisahau Mrema.

Wote system hao.

Wapinzani wa kweli walikuwa Mtikila na Malima.
 
Alijisahau kama alivyojisahau Mrema.

Wote system hao.

Wapinzani wa kweli walikuwa Mtikila na Malima.
kama hauelewi sana, mtikila ndio alikuwa system na alikuwa anapokea na mpunga kabisa. malima pia alikuwa system aliyetaka kupindua meza na udini ulimponza akakosa vyote.
 
Richard Hiza Tambwe alipohamia ccm akawa kitengo cha propaganda baada ya kugaragazwa na Khadija Kusaga wa ccm yeye akigombea kwa tiketi ya cuf jimbo la temeke lilokuwa lina amshaamsha nyingi za upinzani wa cuf
 
hivi alikuwa na watoto twenty ngapi? pesa na umaarufu ni shetani wa kwanza wa wanawake hakika.
Ana ndugu zake waliishi Arusha tangu miaka hiyo....warombo wa mwanzo mwanzo kuishi Arusha..Kina Tajiri Julius Lamai, Advert wa CRDB, Edward na wengine

Masumbuko alikuwa na uwezo mkubwa kiakili kipindi cha Mrema akiwa anawika miaka ya 90
 
Huku Dr Masumbuko Lamwai, Kule Joseph Selasini, pemben Mabere Marando katikati Lyatonga

winga akiwa Dr Walid Aman Walid Kabourou

nyuma yupo Dr Mihogo, bila ya kumsahau Prof nguli wa Uchumi

1995 ilikuwa ngumu sana kumwambia hata msomi kuwa hawa wote walikuwa 'watoto wa Baba mmoja ' ila baadae sana hatukutumia nguvu sana watu kuamini

next 20 years kuna Makamanda watu watakuwa hawataki hata kuwasikia japo sasa hivi huwaambi kitu

Kikosi cha Wabunge walioingia kwa tiketi ya vyama vingine ilikuwa hatare sana aisee

Igizo lilikuwa kama Hollywood hadi kina Prof Simon Mbilinyi wakang'oka mapema sana kwa ma kashfa kashfa

kuna Mwana Mama aliitwa Fatma Maghimbi ndio aligoma kuapishwa ilipofika zamu yake akiwa ndio Kiongozi wa kwanza wa Kambi ya Upinzani Bungeni

Heka heka za Dr Masumboko Lamwai ndio lilizalisha neno maarufu la Kihiyo kwny kesi ya Ubunge Jimbo la Temeke akimtetea Tambwe hiza

woooote hawa Wamerejea kwa Mola wao wakiwa wamesharudi CCM
Mabere Marando yuko wapi?
 
ajuza una uwongo mwingi sana. lamwai kwahiyo alikuwa system hadi akafilisiwa na kunyang'anywa leseni ya kupractice kama fatuma karume vile? ulikuja kumwona wakati wa ustaafu wake namna alivyokuwa amechoka pale chuo kikuu cha tumaini? kama alikuwa kweney system kwanini walimfilisi.
"ajuza una uwongo mwingi sana. lamwai kwahiyo alikuwa system hadi akafilisiwa na kunyang'anywa leseni ya kupractice"

Kwanini umuite mwenzako ajuza?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Richard Hiza Tambwe alipohamia ccm akawa kitengo cha propaganda baada ya kugaragazwa na Khadija Kusaga wa ccm yeye akigombea kwa tiketi ya cuf jimbo la temeke lilokuwa lina amshaamsha nyingi za upinzani wa cuf
Hakika ila ilikuwa kivumbi haikuwa rahis kumjua Nani atashinda kwa kipindi kile?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Ana ndugu zake waliishi Arusha tangu miaka hiyo....warombo wa mwanzo mwanzo kuishi Arusha..Kina Tajiri Julius Lamai, Advert wa CRDB, Edward na wengine

Masumbuko alikuwa na uwezo mkubwa kiakili kipindi cha Mrema akiwa anawika miaka ya 90
Baada ya kuvagaa chama cha wala mbususu akili yote ikatoweka kwa mujibu wa FaizaFoxy

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom