Mjue gwiji wa sheria nchini Dkt. Lamwai

Huku Dr Masumbuko Lamwai, Kule Joseph Selasini, pemben Mabere Marando katikati Lyatonga

winga akiwa Dr Walid Aman Walid Kabourou

nyuma yupo Dr Mihogo, bila ya kumsahau Prof nguli wa Uchumi

1995 ilikuwa ngumu sana kumwambia hata msomi kuwa hawa wote walikuwa 'watoto wa Baba mmoja ' ila baadae sana hatukutumia nguvu sana watu kuamini

next 20 years kuna Makamanda watu watakuwa hawataki hata kuwasikia japo sasa hivi huwaambi kitu


Kikosi cha Wabunge walioingia kwa tiketi ya vyama vingine ilikuwa hatare sana aisee

Igizo lilikuwa kama Hollywood hadi kina Prof Simon Mbilinyi wakang'oka mapema sana kwa ma kashfa kashfa

kuna Mwana Mama aliitwa Fatma Maghimbi ndio aligoma kuapishwa ilipofika zamu yake akiwa ndio Kiongozi wa kwanza wa Kambi ya Upinzani Bungeni
Huyu Dr masumbuko kuna muda alikuwa anawatesa Sana hata lytonga nae kuna kipindi alitoka kabisa kwenye reli

Walid Aman huyu nilikuwa namskia Tu

Ilikuwa ubabe na undava Sana
 
Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.

Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.

Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.

Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.

Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne.
Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.

Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.

Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.

Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.

Spika Msekwa, akamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.

Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.

Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.

Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maalufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.

Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.

Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.

Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.

Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.

Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.

Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.

Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.

Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.

Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.

Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne.
Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.

Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.

Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.

Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.

Spika Msekwa, akamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.

Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.

Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.

Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maalufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.

Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.

Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.

Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.

Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.

Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.

Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.

Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.

Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.

Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne.
Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.

Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.

Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.

Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.

Spika Msekwa, akamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.

Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.

Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.

Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maalufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.

Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.

Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.

Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.

Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.

Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
Mara nyingi watu walioko serikalini huwa mbumbumbu sana kifikra, hivyo utumia nguvu sana kufanya mambo yao, akitokea mtu kumupinga huyo mtu huwa Ni adui number moja. Yuko tayari kuuwa ,kuumiza aonekane yuko right, mpaka leo ukipinga hoja za watawala basi wako tayari kupoteza kabisa. Mfano akina Dr Nshala, Mwambukusi etc.
 
Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.

Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.

Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.

Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.

Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne.
Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.

Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.

Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.

Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.

Spika Msekwa, akamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.

Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.

Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.

Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maalufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.

Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.

Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.

Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.

Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.

Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
Yote mema ya Lamwai yalifutika baada ya kuamua kuwa mwanaCCM, Lamwai akawa mjinga, mpumbavu na mnafiki.
CCM iko kuharibu akili za watu tu.

Poor Lamwai.
 
hivi alikuwa na watoto twenty ngapi? pesa na umaarufu ni shetani wa kwanza wa wanawake hakika.
 
Mara nyingi watu walioko serikalini huwa mbumbumbu sana kifikra, hivyo utumia nguvu sana kufanya mambo yao, akitokea mtu kumupinga huyo mtu huwa Ni adui number moja. Yuko tayari kuuwa ,kuumiza aonekane yuko right, mpaka leo ukipinga hoja za watawala basi wako tayari kupoteza kabisa. Mfano akina Dr Nshala, Mwambukusi etc.
Upo sahihi huwa hawataki wakosolewe kabisa
 
Mwaka 1995 aligombea ubunge wa Ubungo kupitia chama cha NCCR Mageuzi na kupata uungwaji mkono mkubwa sana. Siku moja kabla ya kupiga kura ilikuwa siku ya kufunga kampeni kwa wagombea.

Lamwai alichagua kufungia kampeni zake viwanja vya Mwembechai wakati huohuo mgombea Urais wa CCM alikuwa akifunga kampeni zake viwanja vya Jangwani. Baada ya kumaliza mkutano wake Lamwai akaondoka kupitia barabara ya Kawawa, akisindikizwa na maelfu ya watu na gari yake ikisukumwa. Hayakuwa mapenzi bali mahaba. Barabara ya Morogoro na ile ya Kawawa zilitapika watu.

Walipofika mataa ya Magomeni wakakutana na msafara wa mgombea Urais wa CCM ukiwa na ving’ora na polisi kibao. Msafara wa Ben na polisi wake ukatulizwa na wafuasi wa Lamwai waliokuwa wengi kiasi cha kufurika barabara. CCM na wafuasi wao wakataka kutumia nguvu ili mgombea wao apite kwanza.

Polisi kama kawaida yao wakataka kuingilia kati kwa kupiga mabomu lakini baada ya kushauriana wakaamua kutumia busara kwa kuwaomba wafuasi wa Lamwai wapishe njia ili msafara wa Ben upite.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za taifa hili, msafara wa mgombea Urais wa chama tawala ukaomba ruhusa ya kupita katikati ya mafuriko ya wafuasi wa mgombea ubunge. Bila shaka kitendo hiki kilimuuma sana Ben, ila bahati mbaya hajaelezea kwenye kitabu chake cha MY LIFE, MY PURPOSE. Labda alisahau au anaweza kuelezea wakati mwingine akipata fursa ya kufanya hivyo.

Anyway, tuyaache hayo. Lamwai akashinda na kuwa Mbunge machachari sana mwenye nguvu ya ushawishi na aliyeshiba hoja. Pia akaendelea na taaluma yake ya sheria akiwasaidia watu mbalimbali na chama chake mahakamani kama Wakili. Moja ya kesi zilizompa umaarufu mkubwa ni ile ya Kihiyo. Leo ‘kihiyo’ ni neno lisilo rasmi linalomaanisha mtu mjinga, zwazwa, au goigoi lakini asili ya neno hilo ni Dr.Masumbuko Lamwai.

Mwaka 1995 Ramadhani Kihiyo alichaguliwa kuwa Mbunge wa Temeke kupitia chama cha mapinduzi (CCM). Katika Uchaguzi huo Kihiyo alipata kura 37,303 kati ya kura zote 57,152 zilizopigwa........itaendelea
 
Mwaka 1995 aligombea ubunge wa Ubungo kupitia chama cha NCCR Mageuzi na kupata uungwaji mkono mkubwa sana. Siku moja kabla ya kupiga kura ilikuwa siku ya kufunga kampeni kwa wagombea.

Lamwai alichagua kufungia kampeni zake viwanja vya Mwembechai wakati huohuo mgombea Urais wa CCM alikuwa akifunga kampeni zake viwanja vya Jangwani. Baada ya kumaliza mkutano wake Lamwai akaondoka kupitia barabara ya Kawawa, akisindikizwa na maelfu ya watu na gari yake ikisukumwa. Hayakuwa mapenzi bali mahaba. Barabara ya Morogoro na ile ya Kawawa zilitapika watu.

Walipofika mataa ya Magomeni wakakutana na msafara wa mgombea Urais wa CCM ukiwa na ving’ora na polisi kibao. Msafara wa Ben na polisi wake ukatulizwa na wafuasi wa Lamwai waliokuwa wengi kiasi cha kufurika barabara. CCM na wafuasi wao wakataka kutumia nguvu ili mgombea wao apite kwanza.

Polisi kama kawaida yao wakataka kuingilia kati kwa kupiga mabomu lakini baada ya kushauriana wakaamua kutumia busara kwa kuwaomba wafuasi wa Lamwai wapishe njia ili msafara wa Ben upite.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za taifa hili, msafara wa mgombea Urais wa chama tawala ukaomba ruhusa ya kupita katikati ya mafuriko ya wafuasi wa mgombea ubunge. Bila shaka kitendo hiki kilimuuma sana Ben, ila bahati mbaya hajaelezea kwenye kitabu chake cha MY LIFE, MY PURPOSE. Labda alisahau au anaweza kuelezea wakati mwingine akipata fursa ya kufanya hivyo.

Anyway, tuyaache hayo. Lamwai akashinda na kuwa Mbunge machachari sana mwenye nguvu ya ushawishi na aliyeshiba hoja. Pia akaendelea na taaluma yake ya sheria akiwasaidia watu mbalimbali na chama chake mahakamani kama Wakili. Moja ya kesi zilizompa umaarufu mkubwa ni ile ya Kihiyo. Leo ‘kihiyo’ ni neno lisilo rasmi linalomaanisha mtu mjinga, zwazwa, au goigoi lakini asili ya neno hilo ni Dr.Masumbuko Lamwai.

Mwaka 1995 Ramadhani Kihiyo alichaguliwa kuwa Mbunge wa Temeke kupitia chama cha mapinduzi (CCM). Katika Uchaguzi huo Kihiyo alipata kura 37,303 kati ya kura zote 57,152 zilizopigwa........itaendelea
Chama cha NCCR Mageuzi kupitia Mwanasheria mkuu wa chama hicho Dr.Masumbuko Lamwai kiliweka pingamizi mahakamani kudai kuwa Kihiyo alivunja sheria ya uchaguzi Na.1 ya mwaka 1985 kwa kufanya vitendo visivyokua vya uadilifu wakati wa kampeni zake.

NCCR Mageuzi ilimtuhumu Kihiyo kudanganya kuhusu Elimu yake wakati wa kampeni kama njia ya kushawishi wananchi kumpigie kura. Lamwai, aliiambia Mahakama kuwa Kihiyo alidanganya wananchi wa Temeke kuwa yeye ni Mhandisi wa maji aliyehitimu Chuo cha Ufundi DIT wakati huo kikiitwa Dar Tecnical College, jambo ambalo halikuwa kweli.

Kihiyo anadaiwa kujiita Mhandisi wa maji alipopeleka gari la maji wilayani Temeke na kugawa maji safi bure kwa wananchi siku mbili kabla ya uchaguzi. Lamwai alidai mahakamani hapo kuwa hiyo ilikuwa rushwa.

Sehemu ya Mahojiano kati ya Kihiyo na Wakili Lamwai kama yalivyochapishwa na gazeti la "Daily News" la May mwaka 1996 ilikua kama ifuatavyo;

Lamwai: Unasema ulihitimu chuo cha ufundi DIT mwaka 1986?
Kihiyo: Ndio.
Lamwai: Unajua foundry? (mashine ya kuyeyusha vyuma)
Kihiyo: Hapana, simjui mtu huyo (vicheko).
Lamwai: Kuna idara ngapi ndogo katika idara ya uhandisi mitambo (mechanical engineering department)?
Kihiyo: Zipo tatu. Chumba cha injini, chumba cha pampu na chumba cha matengenezo (vicheko).
Lamwai: Unamfahamu aliyekuwa mkuu wa chuo wakati ukisoma?
Kihiyo: Hapana simjui.
Lamwai: Nani aliyekua Afisa Usajili?
Kihiyo: Kuhanga.
Lamwai: Hapana, Kuhanga alikua Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Lamwai: Lini ulianza masomo yako DIT?
Kihiyo: Sikumbuki (vicheko).
Lamwai: Nini kirefu cha VTC (Vocational Training Centre)?
Kihiyo: National Committee Centre (vicheko).
Lamwai: Unaweza kudhibitisha elimu yako mbele ya mahakama hii kwa kuleta vyeti vyako vya taaluma?
Kihiyo: Ndio.

Lamwai aliomba Mahakama imuagize Kihiyo kuleta vyeti vyake vya taaluma. Kihiyo alipewa siku 7 lakini alishindwa kufanya hivyo. Siku ya kesi ilipofika Kihiyo aliiomba Mahakama imuongezee siku mbili zaidi aendelee kuvitafuta kwa sababu hakumbuki alipoviweka. Pamoja na kuongezewa siku mbili bado alishindwa kuviwasilisha.
 
Yote mema ya Lamwai yalifutika baada ya kuamua kuwa mwanaCCM, Lamwai akawa mjinga, mpumbavu na mnafiki.
CCM iko kuharibu akili za watu tu.

Poor Lamwai.
Wapo wanaomjua Dr Masumbuko kama Mhadhiri Mwandamizi wa Sheria na alifundisha na kuwawezesha wengi kuwa Wanasheria na Mawakili na wengine hadi wamefikia kuwa Majaji

kuna watu walionewa kwny kesi na mashauri mbalimbali akawasaidia wakashinda

kwangu alikuwa Mtu anaenihamasisha kwny uwekezaji kwny kilimo akinipeleka kwa gari lake mwenyewe hadi Shambani kwake Bagamoyo na kuona mafanikio kwny uwekezaji wake

Mjinga ni yule anaetaka watu wote wamtazame mtu katika angel moja anayotaka yeye
 
Wapo wanaomjua Dr Masumbuko kama Mhadhiri Mwandamizi wa Sheria na alifundisha na kuwawezesha wengi kuwa Wanasheria na Mawakili na wengine hadi wamefikia kuwa Majaji

kuna watu walionewa kwny kesi na mashauri mbalimbali akawasaidia wakashinda

kwangu alikuwa Mtu anaenihamasisha kwny uwekezaji kwny kilimo akinipeleka kwa gari lake mwenyewe hadi Shambani kwake Bagamoyo na kuona mafanikio kwny uwekezaji wake

Mjinga ni yule anaetaka watu wote wamtazame mtu katika angel moja anayotaka yeye
ukweli ni kwamba, lamwai ni mtu aliyewafanya watu wengi sana wasomee sheria kutokana na umahiri wake, watu waliipenda sheria kwa kumwangalia yeye. hilo ameacha kama legacy.
 
View attachment 2795908

Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.

Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.

Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.

Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.

Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne. Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.

Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.

Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.

Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.

Spika Msekwa, akaamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.

Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.

Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.

Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maarufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.

Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.

Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.

Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.

Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.

Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
we ni wale wachaga wapumbavu siyo? Mkoa adhimu maana yake nini. Kima we
 
View attachment 2795908

Nenda, pita pote, mji kwa mji, kijiji kwa kijiji. Uliza nani mwamba wa sheria, Tena usisahau kupita kwa Wanazuoni wa kizazi cha 21 *uliza hilo swali, Pita *Udom, Udsm, Mzumbe, Saut, Tudarco mpaka,Ruco kwa wakatoliki. Wote watakujibu Gwiji wa sheria ni Kibatala na Tundu lissu, wakienda mbali watamtaja Mnyakusa wakili Mwabukusi wa Mwanjelwa.

Sasa acha hao wote, kuna huyu mwamba ambaye kawapiku wote, Rekodi yake haijawahi kuvunjwa na wote hao. Ubaya ni kuwa Hakufanya kazi zake kipindi Watoto wa Mkapa na JK tunazaliwa.

Huyu Mwamba alizitesa mahakama za Taifa hili Mpaka zikakubali, Hayati Jaji kisanga na Nyalali waliukubali mtikiso wa Mwamba huyu haijawahi kutokea.

Huyu Ndiyo Dr Masumbuko Mahunga Selasini Lamwai. almarufu Dr Lamwai, mzaliwa wa mkoa adhimu wa kilimajaro aliyezikataa zile mbichi na kuiheshimisha tasnia ya uwakili nchini.

Kwanza ni Genius vibaya mno, Alipoenda kusoma Chuo kikuu Cha Oxford- Uingereza aliwapiga na kitu kizito wazungu, aliwaambia yeye anao uwezo wa kusoma miaka miwili kozi ya miaka minne. Wakamjaribu, Mwamba akagraduate na kuwaacha wazungu wakomae na miaka minne.

Alihitimu PhD ya Criminal & Procedural law kwa miaka miwili tu badala ya minne. huu utaratibu ulikuwepo pale chuoni.

Mpaka sasa anatajwa kuwa ndiye Mwanafunzi pekee kutoka afrika aliyewahi kuhitimu hiyo fani kwa Miaka miwili.

Dr Lamwai alikuwa wakili matata Sana. Aliingia Bungeni kama Mbunge wa jimbo la ubungo mwaka 1995. Akiwa Bungeni aligoma kuapa kiapo cha utii kwa Rais. Akatoa hoja kuwa Bunge ni muhimili unaojitegemea, hivyo, sio Sawa mbunge kuapa kiapo cha utii kwa Rais, mwamba akamfundisha Spika dhana ya Separation of power, akampa vifungu konki Spika Pius Msekwa.

Spika Msekwa, akaamuru sheria ya kiapo cha utii irekebishwe na kufuta kipengele cha wabunge kuapa utii kwa Rais, wabunge wote walirudia kuapa upya mwaka huo na mpaka sasa wabunge hawaapi kiapo cha utii kwa Rais kwasababu ya ufundi wa Dr lamwai.

Dr Lamwai aliwahi kumshikisha adabu waziri mmoja aliye kuwa mwanamama. Alimpiga cross examination ya kichokozi kinoma, alimuuliza; "Inaonekana wewe ni Malaya Sana?", waziri akachukia, akaanza kutukana hovyo hovyo mahakamani.

Mwamba akatoa picha za Watoto wanne wa yule waziri akamuuliza; "Hawa ni wanao?", Waziri akakubali. Wakili lamwai akatoa picha za wanaume wanne akamwambia; iambie mahakama Hawa ni Akina nani?. Waziri akainamisha kichwa kwa aibu. Basi umalaya ukathibitishwa na wakili lamwai, kwani kila mtoto alikuwa na Baba yake kwenye zile picha. Yaani waziri alizaa na wanamume wanne tofauti. Huu ni utundu wa Dr lamwai.

Dr lamwai aliwahi Kusimamia kesi maarufu ya kupinga ushindi wa ubunge jimbo la temeke mwaka 1996 Ambapo alishinda na kumng'oa kitini mh Ramadhan kihiyo kwa tuhuma za kudanganya elimu yake.

Dr lamwai alikuwa kivutio kikubwa kwa vijana enzi za miaka ya 90. Inasemekana watu walilala kwenye stesheni za treni kumsubili lamwai.

Lamwai alikuwa mbunge wa kwanza wa chama cha upinzani NCCR-mageuzi katika jimbo la ubungo, aliitumia Taaluma ya sheria kushinikiza mambo nyeti na muhimu Bungeni.

Baada ya kuitesa serikali kwa muda mrefu, kisasi kikamfikia. Dr lamwai alifukuzwa kazi pale Udsm alipokuwa akifundisha sheria, akafanyiwa figisu akapoteza ubunge, akaporwa leseni ya uwakili, Mali zake zikataifishwa. akabaki yeye na nguo zake tu. Akaishi kwa dhiki muda mrefu hadi alipoamua kujiunga na chama tawala-CCM ndipo akarudishiwa leseni ya uwakili na mali zake.

Dr lamwai ametoa vipanga wa sheria nchini. Mfano mzuri ni wakili Msomi John Malya. Hiki kichwa kiliandaliwa na Dr lamwai pale chuo kikuu Cha Tumaini - dar es salaam.

Dr lamwai alifariki mwaka 2020 kwa maradhi.
wewe umezaliwa juzi, ni manguli wachache sana walishawahi kutokea Tanzania waliomzidi Lamwai, hao siwajui. hata Tundu Lisu na wote uliowataja walijifunza na kupata moyo na uzoefu toka kwa Lamwai. huyu jamaa alikuwa noma.
 
Ukiona msomi yeyote yeyote kaingia kwenye siasa, elewa kuwa huyo kasoma lakini hajaelimika.

Msomi kuingia kwenye siass iwe kwenye miaka yake ya kustaafu, ndipo kweli bado ana nia ya kuitumikia jamii.

Tazama kina Dr. Janabi, na fursa zote walizonazo na usomi wao lakini wamekataa kabisa kuingia kwenye siasa, Janabi alikataa mpaka uwaziri, anasema anataka kuitendea haki elimu yake. Hao ndiyo wasomi walioelimika.
Kwa hiyo Lipumba hajaelimika?
 
Huyu Dr masumbuko kuna muda alikuwa anawatesa Sana hata lytonga nae kuna kipindi alitoka kabisa kwenye reli

Walid Aman huyu nilikuwa namskia Tu

Ilikuwa ubabe na undava Sana
Dr Walid Aman Walid Kabourow ana record yake

1) Katibu Mkuu wa Chadema
2) Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa
3) Mbunge wa kwanza wa Jimbo wa Chadema
4) Mbunge wa Kwanza wa kutokea Upinzani baada ya kufanyika uchaguzi mdogo 1994
5) Kijana aliefungwa na kufukuzwa shule kwa kuchana kadi ya TANU na ya Baba wa Taifa, wa pili akiwa Hayati Mchungaji Christopher Mtikila
6) Kiongozi wa Kitaifa wa kwanza kutoka Chadema kuunga mkono juhudi
 
Back
Top Bottom