connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 1,736
- 2,297
Huyo mjomba ndiye huyo "mbarikiwa"?Maisha ni pamoja na ku-enjoy. Hapa mjomba akifurahia Jambo.
Kundecha anasema "Mtu akijiweka ktk Mazingira ya kutiliwa Mashaka, basi asiwalaumu watu watakaomdhania vibaya" Huyu Mjomba huyu... ana kituMjomba is having it all 😂😂😂
Nimecheka sana.
Mnaoleta fikra mbaya acheni, mjomba kafurahi kupitiliza kajiachia.
Wimbo wenyewe una ujumbe tosha, acheni watu wafurahi.
Mjomba atakuwa anaonaga wanawake wanacheza hivyo labda…Kundecha anasema "Mtu akijiweka ktk Mazingira ya kutiliwa Mashaka, basi asiwalaumu watu watakaomdhania vibaya" Huyu Mjomba huyu... ana kitu
Na mwenyewe amedhamiria asieleweke ht kidogoNdiyo nani huyo?
Mbona haelewekiheleweki
Ova
mm dhana sijiepushi nayo kwa sbb Mjomba kataka mwenyewe kudhaniwa vbyMjomba atakuwa anaonaga wanawake wanacheza hivyo labda…
Mi sioni ubaya na nimependa, tujiepushe na dhana mbaya juu ya wengine.
Daaaah.... Haya matakataka ni ya kuyakimbizia tu Mikumi kule Mbugani. Hayapaswi kupewa coverage hivi. Nimepatwa na hasira sana.
Hawa viumbe wanazidi kuongezeka kwa kasi. Papa nae kasema wabarikiwe kanisani. Basi hukumu atafanya yeye Muumba wa Mbingu na NchiMaisha ni pamoja na ku-enjoy. Hapa mjomba akifurahia Jambo.