Mjane wa Augustino Mrema ajumuishwa kwenye mirathi

Kuna mama mmoja alifiwa na mume wake, fasta akauza nyumba kabla ya ndugu kusanuka wamtimue akaenda kununua nyumba nyingine na akahamia huko akawa amewapoteza maboya ndugu wa mume wake wasimletee undava. Mwingine naye alifiwa na mume ndugu wa mume wakavamia nyumba wakitafuta hati ya nyumba na kuziteka mali za ndugu yao ili mwanamke asiwawahi ujanja na kujimilikisha mali bila ndugu wa mume kupenda. Wanandugu nao ni washenzi, wakati ndugu yao na mke wake wanachuma mali wao waliwasaidia? Tuwatetee wajane kwa nguvu zote wasidhulumiwe na ndugu za waume zao
 
Ndio maana Mungu alisema anachukia wana ndoa kuachana

Malaki 2:16​

“Ninachukia kuachana,” asema BWANA, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema BWANA Mwenye Nguvu Zote.Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu##Ukisha achana na mke au mume kinachofuata ni vurugu tu,hasa kama mna watoto...
 
Kuna mama mmoja alifiwa na mume wake, fasta akauza nyumba kabla ya ndugu kusanuka wamtimue akaenda kununua nyumba nyingine na akahamia huko akawa amewapoteza maboya ndugu wa mume wake wasimletee undava. Mwingine naye alifiwa na mume ndugu wa mume wakavamia nyumba wakitafuta hati ya nyumba na kuziteka mali za ndugu yao ili mwanamke asiwawahi ujanja na kujimilikisha mali bila ndugu wa mume kupenda. Wanandugu nao ni washenzi, wakati ndugu yao na mke wake wanachuma mali wao waliwasaidia? Tuwatetee wajane kwa nguvu zote wasidhulumiwe na ndugu za waume zao
UNAONGELEA KESI HII YA MREMA AU UNAONGELEA NYINGINE?
 
Kimsingi hakustahili kupata mgao wa mali kwani hizo mali alizikuta na hakushiriki kuzipata wakati mume wake anazipata yeye hakuwa mke wa mrema. Ila tafsiri ya mahakama imeamua apate. Kama kupata angepata sehemu ndogo sana kutokana na muda mfupi alioishi kwenye ndoa hiyo. Kwa wanandugu inauma sana mtu kupewa urithi wa mali wakati amedumu muda mfupi na hakuna mali iliyopatikana akiwa kwenye ndoa hiyo
Wewe unaweza kuweka thamani halisi ya yale yote aliyomfanyia marehemu mrema na akafurahiaa uwepo wake katika hizo siku 150 Ili ndio uwe urithi wake??
Unaweza kuta siku 150 alizoishii na Marehemu yalikuwa ni masiku ya faraja na thamani kubwa kwa Mrema, kuliko miaka 40 aliyoishi na mke wa kwanza.Who knows?
 
Kimsingi hakustahili kupata mgao wa mali kwani hizo mali alizikuta na hakushiriki kuzipata wakati mume wake anazipata yeye hakuwa mke wa mrema. Ila tafsiri ya mahakama imeamua apate. Kama kupata angepata sehemu ndogo sana kutokana na muda mfupi alioishi kwenye ndoa hiyo. Kwa wanandugu inauma sana mtu kupewa urithi wa mali wakati amedumu muda mfupi na hakuna mali iliyopatikana akiwa kwenye ndoa hiyo
...Miezi MITANO na Siku Kadhaa....!!!
 
Back
Top Bottom