Mom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 708
- 29
Habari wanaJF,
ninaomba msaada wenu. Mimi ni mwanamke aged 37, kawaida katika mzunguko wangu wa hedhi huwa napatwa na maumivu makali sana hasa day1 na 2. sasa naona tatizo limeongezeka maana ikishapita wiki moja baada ya hedhi ninapatwa na maumivu makali sana ambayo yanaweza kudumu kwa siku nzima au masaa zaidi ya 12.
Maimivu haya huwa chini ya kitovu ni makali kiasi nashindwa kusimama au kunyanyua mguu. Nimetibiwa hospitali mbalimbali lakini naona hakuna alieweza kunipa sababu kamili ya maumivu haya zaidi ya kuhisi labda hutokea kipindi cha kupevuka yai au. Mimi sijabahatika kupata mtoto japo mimi na mume wangu tumepimwa na kuonekana hakuna mwenye tatizo kati yetu na tatizo la maumivu wakati wa hedhi niliambiwa labda baada yakupata mtoto yangeisha.
Naombeni msaada wenu doctors wa jf na yeyote aliekutana na tatizo hili hata ushauri tu utafaa ninateseka sana. huwa natumia diclopar kupunguza maumivu wakati mwingine nazidisha dose ili niweze kupata usingizi.
Nisaidieni niondokane na tatizo hili
ninaomba msaada wenu. Mimi ni mwanamke aged 37, kawaida katika mzunguko wangu wa hedhi huwa napatwa na maumivu makali sana hasa day1 na 2. sasa naona tatizo limeongezeka maana ikishapita wiki moja baada ya hedhi ninapatwa na maumivu makali sana ambayo yanaweza kudumu kwa siku nzima au masaa zaidi ya 12.
Maimivu haya huwa chini ya kitovu ni makali kiasi nashindwa kusimama au kunyanyua mguu. Nimetibiwa hospitali mbalimbali lakini naona hakuna alieweza kunipa sababu kamili ya maumivu haya zaidi ya kuhisi labda hutokea kipindi cha kupevuka yai au. Mimi sijabahatika kupata mtoto japo mimi na mume wangu tumepimwa na kuonekana hakuna mwenye tatizo kati yetu na tatizo la maumivu wakati wa hedhi niliambiwa labda baada yakupata mtoto yangeisha.
Naombeni msaada wenu doctors wa jf na yeyote aliekutana na tatizo hili hata ushauri tu utafaa ninateseka sana. huwa natumia diclopar kupunguza maumivu wakati mwingine nazidisha dose ili niweze kupata usingizi.
Nisaidieni niondokane na tatizo hili