Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Wakuu.
Nia sio kuingilia maamuzi wala kile kinachoitwa kuingilia uhuru wa mahakama. Binafsi napata Tabu kuziweka kwenye urari hukumu kati ya Makongoro Mahanga wa jimbo la Segerea na ile ya Hilal Haeshi wa jimbo la Sumbawanga mjini.
Naona tuhuma za Mahanga zilikuwa wazi kutokana na aina ya ushahidi kama jinsi zilivyo kuwa wazi hadi kumuengua Haeshi. Wabobezi naomba msaada.
Nia sio kuingilia maamuzi wala kile kinachoitwa kuingilia uhuru wa mahakama. Binafsi napata Tabu kuziweka kwenye urari hukumu kati ya Makongoro Mahanga wa jimbo la Segerea na ile ya Hilal Haeshi wa jimbo la Sumbawanga mjini.
Naona tuhuma za Mahanga zilikuwa wazi kutokana na aina ya ushahidi kama jinsi zilivyo kuwa wazi hadi kumuengua Haeshi. Wabobezi naomba msaada.