Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,503
- 113,616
Wanabodi,
View: https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR
Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala kuipinga adhabu ya kifo nchini, ulioandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika, TLS.
Kiukweli TLS imeonyesha kujali utu wa mtu, yaonyesha njia ya kuachana na adhabu hii ya kikatili, na kiukweli adhabu hii Ifutwe kabisa ni very barbaric, very unfair, it's inhuman, cruel and degrading human dignity!.
Mgeni Rasmi ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pindi Chana.
Kongamano limeanza, Rais wa TLS, Harold Sungusia, anazungumza.
Karibu
Paskali
Rejea
View: https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR
Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala kuipinga adhabu ya kifo nchini, ulioandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika, TLS.
Kiukweli TLS imeonyesha kujali utu wa mtu, yaonyesha njia ya kuachana na adhabu hii ya kikatili, na kiukweli adhabu hii Ifutwe kabisa ni very barbaric, very unfair, it's inhuman, cruel and degrading human dignity!.
Mgeni Rasmi ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pindi Chana.
Kongamano limeanza, Rais wa TLS, Harold Sungusia, anazungumza.
Karibu
Paskali
Rejea