Mjadala kupinga adhabu ya kifo nchini. TLS yajali utu, yaonesha njia. Adhabu hii ifutwe

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,503
113,616
Wanabodi,

View: https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR

Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala kuipinga adhabu ya kifo nchini, ulioandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika, TLS.

Kiukweli TLS imeonyesha kujali utu wa mtu, yaonyesha njia ya kuachana na adhabu hii ya kikatili, na kiukweli adhabu hii Ifutwe kabisa ni very barbaric, very unfair, it's inhuman, cruel and degrading human dignity!.

Mgeni Rasmi ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pindi Chana.

Kongamano limeanza, Rais wa TLS, Harold Sungusia, anazungumza.

Karibu

Paskali
Rejea
 
Kufuta adhabu ya kifo ni sawa na kuwapa ujasiri waliokuwa wanaihofia na kuepuka kufanya uhalifu Kwa sababu kimsingi adhabu hii ni Kwa ajili ya watu waliofanya makosa yasiyosameheka kisheria.

Inabidi tupaze sauti kutetea uwepo wa adhabu hii na hata utekelezaji wake una ugumu maana uwepo wake pekee unatosha kulinda watu wengine dhidi ya waovu.

Kwa mtazamo wangu, baada ya kufuta adhabu hii itabidi gharama kubwa zitumike kwenye ulinzi na usalama maana Ile hofu ya adhabu ya kifo haitakuwepo tena. Je, tumejiandaaje kujilinda hususani Sasa ambapo dunia inakumbwa na matukio mazito ya uvunjifu to amani?
 
Ndio tatizo la waafrika.

Utu kwa wauwaji?

Marekani na ujanja wake wote adhabu ya kifo ipo pale pale..

Anatokea mtu anaunga Unga hoja anasema ifutwe..

Vetting ya teuz za majaji yenyewe inafanyika ipasavyo?

Kesi ngapi za mauaji zinamalizwa kinyemela?

wauwaji wapewe adhabu gani nyingine?

TLS wachumia tumbo, hivi kile Kiwanja walichopewa kama bakshishi washaanza ujenzi?
 
Wanabodi,

View: https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR

Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala kuipinga adhabu ya kifo nchini, ulioandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika, TLS.

Kiukweli TLS imeonyesha kujali utu wa mtu, yaonyesha njia ya kuachana na adhabu hii ya kikatili, na kiukweli adhabu hii Ifutwe kabisa ni very barbaric, very unfair, it's inhuman, cruel and degrading human dignity!.

Mgeni Rasmi ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pindi Chana.

Kongamano limeanza, Rais wa TLS, Harold Sungusia, anazungumza.

Karibu

Paskali
Rejea

Ingeanza kuonesha njia kwa kutusaidia wananchi kupiga kelele tupate katiba mpya.
Kupinga adhabu ya kifo bila kuwafundisha wananchi kuheshimu utu na haki ya kuishi kwa kila mtu, hakuna tija zaidi kutaongeza mauaji.
 
Wanabodi,

View: https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR

Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala kuipinga adhabu ya kifo nchini, ulioandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika, TLS.

Kiukweli TLS imeonyesha kujali utu wa mtu, yaonyesha njia ya kuachana na adhabu hii ya kikatili, na kiukweli adhabu hii Ifutwe kabisa ni very barbaric, very unfair, it's inhuman, cruel and degrading human dignity!.

Mgeni Rasmi ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pindi Chana.

Kongamano limeanza, Rais wa TLS, Harold Sungusia, anazungumza.

Karibu

Paskali
Rejea


Wanabodi,

View: https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR

Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala kuipinga adhabu ya kifo nchini, ulioandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika, TLS.

Kiukweli TLS imeonyesha kujali utu wa mtu, yaonyesha njia ya kuachana na adhabu hii ya kikatili, na kiukweli adhabu hii Ifutwe kabisa ni very barbaric, very unfair, it's inhuman, cruel and degrading human dignity!.

Mgeni Rasmi ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pindi Chana.

Kongamano limeanza, Rais wa TLS, Harold Sungusia, anazungumza.

Karibu

Paskali
Rejea

Wauaji acha wanyongwe Hadi kufa tu. Ila kama halijakupata ni rahisi kusema adhabu hii ifutwe.
 
Wanabodi,

View: https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR

Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala kuipinga adhabu ya kifo nchini, ulioandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika, TLS.

Kiukweli TLS imeonyesha kujali utu wa mtu, yaonyesha njia ya kuachana na adhabu hii ya kikatili, na kiukweli adhabu hii Ifutwe kabisa ni very barbaric, very unfair, it's inhuman, cruel and degrading human dignity!.

Mgeni Rasmi ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pindi Chana.

Kongamano limeanza, Rais wa TLS, Harold Sungusia, anazungumza.

Karibu

Paskali
Rejea

Sawa kabisa iende mbali zaidi hata wanyama tusiwachinje tule mbogamboga za majani na maziwa tuu!🥦🍆🥒🥑🍉🍐🍅🍎🥝🌽🍞🌰
 
Hii Adhabu isifutwe Ten iboreshwe zaidi Wauaji wauliwe kwa Njia tofauti tofaut zinazovutia ili Iwe fundisho kwa wengine.

Njia ambzo mimi napendekeza ni Hizi
1. Kukatwa kichwa kwa kisu kama Kuku

2. Kupewa Sumu inayoua taratibu kuanzia siku 5-10 ili apitie mateso siku kadhaa

3. Kuingizwa kwenye Mashine yenye mfano wa Kusagia mahindi mtu aingizwe humo asagwe mpak kufa.

Etc,.... adhabu hiz zitolewe huku Ndugu wa upande wa Muuaji wakiwa wanashuhudia ten kwa lazima ili kujenga jamii itakayoheshimu Maisha ya Mtu mwingne.
 
... ni ambaye hayajawahi kumkuta ata-support huo ujinga! Kwamba waliowaua kinyama Ben Saanane; Alphonce Mawazo; Azori Gwanda; Daudi Mwangosi, etc. wapunguziwe adhabu kirahisi tu? Hakuna adhabu mbadala kwa muuwaji zaidi ya kifo!
mtakuta mnanyonga tena wtz wenzenu bila sababu za msing mauaji kama haya hutekelezwa na wakubwa leo hy hata kama rais ataagiza flan auwawe hv unazan yeye utamkuta na hatia ikiwa mamlaka zi mikonon mwake? Kwa ukosefu wa haki uliopo nchini kwetu bora zifutwe wanao umia sio wahusika
 
Back
Top Bottom