Umeongea vizur mkuu lakin hapo cyo sahihi, cku pekee ambazo ni hatari ni kuanzia siku ya 11 kuanzia siku ya kwanza aliyoanza kuona menses (damu) mpaka ya 17. Ovulation (kuchavushwa yai) huwa ni siku ya 14 lakini kwa tahadhari unaacha siku 3 before and after ndiyo maana inaangukia siku ya 11 hadi ya 17. The rest hakuna madhara mpaka atakapoona tena damu anaanza upya kuhesab6.siku ya25 mpaka apate hedhi na kuisha msiduu
ilikuwa ni siku ya ngap toka uanze hedhiNimeduu tareh 13 mwezi huu na siku zangu za kila mwez ni tar 25 je naweza kuwa mjamzito???majibu plz
na alimwagia ndani sanaaNimeduu tareh 13 mwezi huu na siku zangu za kila mwez ni tar 25 je naweza kuwa mjamzito???majibu plz
Swali zuri. Baada ya siku ya 18 zote ni siku salama maana yai linakuwa limeshavuka kwenye fallopian tube ambapo mimba ya kawaida hutunga. Baada ya hapo kutunga mimba ni highly unlikely unless kuna some extraordinary circumstances.siku anazokuwa ktk hedhi ni siku salama yaani 1 2 3 4 5 na pia kwanini 25,26,28 umesema ni siku hatari
Umeongea vizur mkuu lakin hapo cyo sahihi, cku pekee ambazo ni hatari ni kuanzia siku ya 11 kuanzia siku ya kwanza aliyoanza kuona menses (damu) mpaka ya 17. Ovulation (kuchavushwa yai) huwa ni siku ya 14 lakini kwa tahadhari unaacha siku 3 before and after ndiyo maana inaangukia siku ya 11 hadi ya 17. The rest hakuna madhara mpaka atakapoona tena damu anaanza upya kuhesab
Hapo ni mahesabu tu, kama anapata siku zake kila tarehe 25, ina maana ana mzunguko wa siku 30 hadi 31, so kama kafanya tarehe 13 basi itakuwa ni siku ya 17 au 18 baada ya hedhi. Hapo uwezekano wa kupata uja uzito ni mdogo mno if any.ilikuwa ni siku ya ngap toka uanze hedhi
Hapana bado cjaingia hedhi ni mpaka tar 25 na mi nilifanya tar 13ilikuwa ni siku ya ngap toka uanze hedhi
Alikuwa akifanya juu kwa juuna alimwagia ndani sanaa
mamii why wajiita ram?Mmmhh! Labda....
Mtoto wangu wa kwanza mimba ilinasa siku ya 9 after period
to me ni kuanzia siku ya 9,10,11,12,13,14 na 15 ndo siku za hatari zingine ni kujiachia tu
Kamanda upo sahihi 100% na nawaomba watu wafuate huu ushauri ndio unaokubalikaUmeongea vizur mkuu lakin hapo cyo sahihi, cku pekee ambazo ni hatari ni kuanzia siku ya 11 kuanzia siku ya kwanza aliyoanza kuona menses (damu) mpaka ya 17. Ovulation (kuchavushwa yai) huwa ni siku ya 14 lakini kwa tahadhari unaacha siku 3 before and after ndiyo maana inaangukia siku ya 11 hadi ya 17. The rest hakuna madhara mpaka atakapoona tena damu anaanza upya kuhesab