Kila jambo linapotokea kwenye mwelekeo wa maisha ya mtu, kawaida huwa linaleta fundisho la mbele yake ya safari.
Elimu ya maisha wakati mwingine huhusisha pia, misukosuko, kufiwa n .k hii yote ni katika kuyaelekea mazuri ya ndoto yetu.
Kwa hapa Tanzania kulingana na yaliyotokea, bila ya shaka tunayo ya ķujifunza, kuyarekebisha na ama kuyaboresha na au kuyaacha kama yalivyo, kwani yote ni sawa iwapo yanatuacha imara bila shida yoyote kulingana na matukio kama hayo.
Palipo na watu (wenye busara na waliojaa hekima) pakitokea jambo lolote lenye kutatanisha juu ya misingi yao kuhusu mwelekeo wao kama binadamu, huwa halipiti hivihivi bila kupitishwa kwenye mchakato wa namna ya kuliweka sawa!
Watakaa kutaka kufanyia rejea ya jambo hilo iwapo bado linapaswa liendelee kuwa vile vile kama lilivyokuwa awali ama kuwepo na mabadiriko machache kukabiliana na changamoto ya wakati huo. Mimi nazungumizia mfumo wetu wa kumpata mgombea mwenza wa nafasi ya Uraisi.
Mfumo huu ni kweli kwamba kama Taifa hatuna la kujifunza na ama kuboresha kidogo?
Natolea mfano wa matamshi ya aliyekuwa Rais wetu hayati JPM, nanukuu ningependa kusema jambo hili ambalo sikupaswa kulisema mbele yenu wana CCM, 2015 nilipoteuliwa kupeperusha bendera ya Chama kuomba kura ya Urais, jmajina niliyokuwa nimeyapendekeza kuwa wagombea wenza wa Uraisi, miongoni mwake ni jina la Hussein Mwinyi, lakini kwa kuwa WANAWAKE wana nguvu, basi Mama Samia akapita akiwa katika ukumbi wa Chimwaga pale Dodoma kwenye mkutano mkuu wa CCM kupitisha jina la mgombea Urais kule Zanzibar!
Hoja yangu iko hapo.
Mfumo huu wa anayegombea uraisi ndiye anayependekeza nani awe makamo wake wa Raisi, Kutokana na hili lililotokea na ambapo ni kwa mara ya kwanza kama Taifa kumpoteza Rais wetu katikati ya mhula wake, kama Taifa, mfumo huu bado unatufaa?
Au vetting ipite hadi kwa wagombea wenza?
Naibariki Tanzania nchi yangu njema na nzuri kuliko nchi zote Duniani
Mungu ibariki Tanzania, wabariki viongozi wetu wote wa Tanzania, uwalinde na maadui wote wa ndani na nje
Amina
Elimu ya maisha wakati mwingine huhusisha pia, misukosuko, kufiwa n .k hii yote ni katika kuyaelekea mazuri ya ndoto yetu.
Kwa hapa Tanzania kulingana na yaliyotokea, bila ya shaka tunayo ya ķujifunza, kuyarekebisha na ama kuyaboresha na au kuyaacha kama yalivyo, kwani yote ni sawa iwapo yanatuacha imara bila shida yoyote kulingana na matukio kama hayo.
Palipo na watu (wenye busara na waliojaa hekima) pakitokea jambo lolote lenye kutatanisha juu ya misingi yao kuhusu mwelekeo wao kama binadamu, huwa halipiti hivihivi bila kupitishwa kwenye mchakato wa namna ya kuliweka sawa!
Watakaa kutaka kufanyia rejea ya jambo hilo iwapo bado linapaswa liendelee kuwa vile vile kama lilivyokuwa awali ama kuwepo na mabadiriko machache kukabiliana na changamoto ya wakati huo. Mimi nazungumizia mfumo wetu wa kumpata mgombea mwenza wa nafasi ya Uraisi.
Mfumo huu ni kweli kwamba kama Taifa hatuna la kujifunza na ama kuboresha kidogo?
Natolea mfano wa matamshi ya aliyekuwa Rais wetu hayati JPM, nanukuu ningependa kusema jambo hili ambalo sikupaswa kulisema mbele yenu wana CCM, 2015 nilipoteuliwa kupeperusha bendera ya Chama kuomba kura ya Urais, jmajina niliyokuwa nimeyapendekeza kuwa wagombea wenza wa Uraisi, miongoni mwake ni jina la Hussein Mwinyi, lakini kwa kuwa WANAWAKE wana nguvu, basi Mama Samia akapita akiwa katika ukumbi wa Chimwaga pale Dodoma kwenye mkutano mkuu wa CCM kupitisha jina la mgombea Urais kule Zanzibar!
Hoja yangu iko hapo.
Mfumo huu wa anayegombea uraisi ndiye anayependekeza nani awe makamo wake wa Raisi, Kutokana na hili lililotokea na ambapo ni kwa mara ya kwanza kama Taifa kumpoteza Rais wetu katikati ya mhula wake, kama Taifa, mfumo huu bado unatufaa?
Au vetting ipite hadi kwa wagombea wenza?
Naibariki Tanzania nchi yangu njema na nzuri kuliko nchi zote Duniani
Mungu ibariki Tanzania, wabariki viongozi wetu wote wa Tanzania, uwalinde na maadui wote wa ndani na nje
Amina