EMMANUEL MASONGA
Member
- Aug 1, 2012
- 35
- 27
Bunge maalumu lipo katika mjadala ambao kwa mujibu wa ratiba ya bunge maalum hoja iliyopo mezani ni kujadili taarifa za kamati za bunge maalumu juu ya sura ya kwanza na ya sita katika rasimu ya katiba, cha kushangaza hadi sasa mjadala unaonekana kuwekwa kando na mjadala uliopo sasa ni ukawa na warioba huku wakimtuhumu warioba kunajisi maoni ya wananchi na kuleta maoni yake, pia kuonesha kuwa warioba ni mtoa rushwa hivyo ni hasira ya kutopewa nafasi ya kugombea nafasi mwaka 1991 katika uchaguzi mkoani mara, lakini pia wakitoa shutuma kwa ukawa juu ya kuondoka kwao na kususia mjadala kwani wao ni vibaraka kwa kuvunja muungano, lakini pia sio wenye mapenzi mema na nchi.
Cha kushangaza ni hiki pamoja na wao kujadili nje na mjadala wamekuwa wakitoa hoja ya kuunga mkono hoja ya serikali mbili ambayo haiko mezani na kusema wao ni waumini wa serikali mbili pasipo utafiti wowote wa kuonesha jinsi ya kutatua kero za muungano zilizopo sasa.je kwa mjdala huu tutapata katiba mpya? Hata kama wao ccm na hao walio nao wanawewza kutoa katiba kwa kumshambulia warioba na ukawa? Mimi bado naona uhalalai wa utafiti wa warioba na tume yake lakini pia madai ya ukawa ni ya msingi kwani msingi wa viongozi lazima utokanae na kuheshimu maoni ya unaowaongoza hususani wananchi.
Ccm jifunzeni kuheshimu maoni ya watanzania huwezi tengeneza muafaka wa klitaifa kwa kuchukua maoni ya viongozi wa ccm tuu peke yao bila ya kutaka maoni ya wananchi wengi.
Cha kushangaza ni hiki pamoja na wao kujadili nje na mjadala wamekuwa wakitoa hoja ya kuunga mkono hoja ya serikali mbili ambayo haiko mezani na kusema wao ni waumini wa serikali mbili pasipo utafiti wowote wa kuonesha jinsi ya kutatua kero za muungano zilizopo sasa.je kwa mjdala huu tutapata katiba mpya? Hata kama wao ccm na hao walio nao wanawewza kutoa katiba kwa kumshambulia warioba na ukawa? Mimi bado naona uhalalai wa utafiti wa warioba na tume yake lakini pia madai ya ukawa ni ya msingi kwani msingi wa viongozi lazima utokanae na kuheshimu maoni ya unaowaongoza hususani wananchi.
Ccm jifunzeni kuheshimu maoni ya watanzania huwezi tengeneza muafaka wa klitaifa kwa kuchukua maoni ya viongozi wa ccm tuu peke yao bila ya kutaka maoni ya wananchi wengi.