Hili fagio naona ingewaangukia hata wabunge wataje za kwao maana nao ni wawakirishi wa wananchi, kwa hiyo ni muhimu wananchi wajue viongozi wao wanamiliki mali gani na wamezipata lini na kipato kipi.
Habari wadau wenzangu nimekua nikitafakari kwa makini sana mustakabali wa nchi hii, ilipotoka, ilipo na inapoelekea mchanganyiko na mvurugiko wa mambo ulivyo sasa, bado hatujielewi kabisa..CCM kama chama kimetuangusha kwa kiasi kikubwa sana, however kuna watu ndani ya CCM ambao wanaweza .namuona Prime Minister Pinda kama mtu wa namna hiyo, ingawa kwa kiasi kikubwa anakosa support toka ndani, whether from His Excellency or the Cabinet ..kwa maoni yangu therefore, a man is the right Candidate for CCM in 2015 elections .he is mean, open, simple, humble .and most important..Nyerererised much enough, both historically and intelligenti-cally-Tanzania anaijua in and out he is the right person to save this country NAWAKILISHA!!
Amechoka sana ukifika wakati huo, kiafya na kiakili
Besides uwezo wake ni mdogo kiakili na hata kiuchambuzi choka mbaya amesoma sheria hajui sheria, anabaki analia bungeni (anataka symphathy), swala makoti na matumizi ya serikali ..sentesi hizo tu zinaonyesha uwezo wake ni mdogo..therefore ni below standard
Hatuhitaji 2015 mtu ambaye computer hajawahi kutumia.
why untill 2015???????
2010 je??/muungwana au??we vp wewe,watu tumechoshwa na ccm we unatuletea habari za ccm madarakani 2015,una maana hii nchi iliandaliwa kwa ajili ya kutawaliwa na ccm.
Kama vp ondoa post coz inatu bore
umenikumbusha mbali sana mkuu..huyu si ndo alisema tusivae suti sisi ni masikini?hahaaa mina uhakika hawezi kufungua hata computer
pinda hana diplomatic ethics bado ana ile hali ya ujima ujima yakutumia typewriter, yuko too slow in action, by that time 2015 atakuwa na 67yrs too old to hold hot water hata reasoning capacity yake itakuwa imepungua we need young blood for that post by the way amependekeza ubunge uwe na kikomo vipindi vitatu na yeye 2015 atafikisha vipindi vitatu nafikiri tumwache akalee wajukuu.
Mapm hawana bahati ya kuwa marais. May be they simply can't or knows too much about the Presidency. You can put it the way you want.
..kwa hapo tulipofikia kwanini JK asiombwe kugombea hata baada ya 2015?
Tukitaka nchi hii iendelehe basi ni kubadili chama Tawala.
Tunahitaji kijana ambaye umri wake ni chini ya miaka 45 na zaidi... mwenye sifa kama za Mheshimiwa Pinda, anayechanganua maswala kama Mheshimiwa Zitto, asiyependa rushwa kama Mheshimiwa Sila, mwenye sera za kidiplomasia kama za Mheshimiwa Raisi wa jamhuri yetu Kikwete, mchapa kazi kama Mheshimiwa Magufuli, mwenye vision kama ya Mwalimu Nyerere na charismatic kama raisi Obama.
nahisi hizo sifa ni kama msanii j mo na wimbo wake "nataka demu" humo anasema anataka demu miguu mizuri kama .....kiuno kama...midomo kama..
ambapo kiukweli hamnaga mtu mwenye sifa za watu wengi hivyo kwa pamoja
hii pia haimanishi namsapoti pinda ambaye baada ya kurudi toka indonesia akataka tusivae suti tuwaige indonesia uvaaji