Nina imani na Pinda ...upande wa uadilifu...sio ajabu watu wa usalama ..walitaka tangu mwanzo mwaka 2005 awe waziri mkuu...ili kuondoa nguvu ya mtandao serikalini,kwani ni ukweli uliowazi kuwa Kikwete amelazimika kuchagua pinda baada ya things ku fall apart .....
deal la mwanzo la kikwete kuaminiwa kupewa urais lilikuwa kumbakisha SHEIN na kumpa Pinda uwaziri mkuu...
uhusiano wa kikwete ,na pinda na shein ni wa kikazi zaidi ....kwani hawa si marafiki zake wa kukaa vikao jioni...na ndio maana bado kuna malalamiko ndani ya circles kuwa JK hupata ushauri wa uendeshaji serikali kwa watu wengine wasiokuwa barazani kama Lowassa na kwa mawaziri ambao nimtandao kama sofia simba,shukuru,ghasia etc...its like baadhi ya ajenda za baraza la mawaziri hujadiliwa kwanza kweye kitchen cabinet ....kupata msimamo wa kuingilia barazani au hata kwenye vikao vya NEC na cc Mtindo ndio huo huo!!!
Upande wa pinda na shein tunakubali uadilifu wao lakini tunataka waongeze juhudi kuhakikisha serikali hayumbi!!!
Nitapenda kuona kama JK nae atatangaza mali ....katika siku za karibuni amejilimbikizia mali sana.....inawezekana kwenye campagne donations alibakiwa na pesa nyingi sana baada ya Pesa za EPA kutumika ni wazi ile michango ya marafiki zake na nje kama ule wa IRAN ...ilibakia kwenye personal account zake...ukizingatia hana wasi wasi na gharma za mwaka huu......inabidi sheria ya uchaguzi iweke hili wazi ....wagombea waweke wazi pesa zao za kampeni.......na baada ya kampeni wachapishe hesabu zao...na kwa aliyeshinda ...atakiwe kupeleka fedha zake za kampeni zilizobaki kwenye mashirika ya misaada...nadhani hata marekani wanafanya hivyo ...Obama alibakiwa na pesa nyingi na ali declare!!
- Vipi imeshafanyika facts finding kwamba maneno yake yote ni kweli? Kwani amekua mbunge kwa muda gani? Si kila mwisho wa miaka mitano ya ubunge kila mbunge hupewa gari jipya au lingine,
- I mean nina heshima sana na PM wa sasa as a person, sina uhakika sana na uongozi wake, lakini hii habari nina wasi wasi haijakaa sawa na ingawa pia siamini kwamba ni mwizi kama wale tuliowazoea.
Respect.
FMEs!
Mwanakijiji
Mkuu endelea kuota JK aseme mali zake? Hapo ndio utaona wanavyoruka viunzi, tunasubiri kama watajaza fomu. Hivi ni kwa nini hawajazi zile fomu wakati kuna sheria zinazowabana wafanye hivyo.
Mr Pinda also explained that he was possessing three ‘simple' houses in Dodoma, Mpanda and Dar es Salaam.
"I've one in Dodoma which I built through loans, another one in Mpanda town which I built using my little savings and a small one in my farm. he elaborated.
According to the premier, he is planning to build another house at his home village (Kibaoni), to accommodate his delegation during his visits to the village.
"I've been staying in my grandfather's houses in all years while I'm at Kibaoni, but due to my current capacity and security concerns associated with it, I can no longer stay there. I'll build another one to accommodate us especially my delegation," said the Prime Minister.
Hapo penye Red, ina maana anajenga nyumba kwa ajili ya kukaa hadi mwisho wa mwaka huu au ameshajihakikishia kuendelea kuwa PM for the next term??
Kama ana mali hizo tu yeye na familia yake yote, na hakuna zingine zilizo kwa jina la mke, mtoto, au kampuni basi safi.