Do we (you and me ) care attitude , hi ndio attitude yetu kwenye kila kitu kuanzia nyumbani, ofisini, barabarani, mpaka kwenye vitu vya msingi vinavyotuhusu. Huu sio mzaha ila ni ujinga wa watanzania.
Gari tani 7 anapakia tani 10, gari abiria watano utaona limepakia 8, daraja uzito tani 10 semi trailer inapitishwa. Taa nyekundu dereva anakwenda tu, mtu anaumwa mguu anapasuliwa kichwa. Loliondo anakuja mtu wa Longido
Masa nchii hii we acha tu.
Nadhani sisi wabongo tuna shida sana na attitude! Unaweza kuta jamaa anatema mate ndani ya dala dala iliyo nyomi....!
Mate tu, mbona madogo... kuna wengine wanapua kwa makususdi kabisaaa na hali wakijuwa kuwa wamekula maharagwe.Nadhani sisi wabongo tuna shida sana na attitude! Unaweza kuta jamaa anatema mate ndani ya dala dala iliyo nyomi....!
Nadhani sisi wabongo tuna shida sana na attitude! Unaweza kuta jamaa anatema mate ndani ya dala dala iliyo nyomi....!
Huu sio mzaha ila ni ujinga wa watanzania.
Do we (you and me ) care attitude , hi ndio attitude yetu kwenye kila kitu kuanzia nyumbani, ofisini, barabarani, mpaka kwenye vitu vya msingi vinavyotuhusu. Huu sio mzaha ila ni ujinga wa watanzania.
Gari tani 7 anapakia tani 10, gari abiria watano utaona limepakia 8, daraja uzito tani 10 semi trailer inapitishwa. Taa nyekundu dereva anakwenda tu, mtu anaumwa mguu anapasuliwa kichwa. Loliondo anakuja mtu wa Longido
Masa nchii hii we acha tu.
Mizaha kwenda mbele babu sisi na taifa letu!
Balaa litakuja hapo Oktoba. Tunataka mabadiko lakini watu wataichagua tena CCM kushika madaraka pamoja na ufisadi wote walionao. Aaaa Sisi sijui tunalaana.
Do we (you and me ) care attitude , hi ndio attitude yetu kwenye kila kitu kuanzia nyumbani, ofisini, barabarani, mpaka kwenye vitu vya msingi vinavyotuhusu. Huu sio mzaha ila ni ujinga wa watanzania.
Gari tani 7 anapakia tani 10, gari abiria watano utaona limepakia 8, daraja uzito tani 10 semi trailer inapitishwa. Taa nyekundu dereva anakwenda tu, mtu anaumwa mguu anapasuliwa kichwa. Loliondo anakuja mtu wa Longido
Masa nchii hii we acha tu.
Naamini ilikua wanapumua kwa nyumaMate tu, mbona madogo... kuna wengine wanapua kwa makususdi kabisaaa na hali wakijuwa kuwa wamekula maharagwe.