UTAFITI UNAVYOONESHA JINSI AMBAYO WANANDOA WENGI HUKTANA MARA YA KWANZA
1. hujuana kupitia marafiki zao wa pamoja ( mutual friend) = 32 %
2. Kazini ( kufanya kazi sehemu moja) = 18%
3. Shuleni ama Chuoni kusoma pamoja = 17 %
4. Sehemu za ibada ( kanisani ama Msikitini) = 8 %
5. kwenye sherehe hasa za harusi za wenzao = 5 %
Kwa wale ambao mpo kwenye ndoa , ulikutana wapi na mume wako ama mke wako ?
1. hujuana kupitia marafiki zao wa pamoja ( mutual friend) = 32 %
2. Kazini ( kufanya kazi sehemu moja) = 18%
3. Shuleni ama Chuoni kusoma pamoja = 17 %
4. Sehemu za ibada ( kanisani ama Msikitini) = 8 %
5. kwenye sherehe hasa za harusi za wenzao = 5 %
Kwa wale ambao mpo kwenye ndoa , ulikutana wapi na mume wako ama mke wako ?