Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
mbona kawaida?hata binadamu ukiwa umeshiba unaweza ukarudi home ukakaa ktk dining table hotpots zipo mezani zina chakula lakini ukawa unaperuzi tu jf!!!!kifupi hana sababu za kumparura wakati huo!!