Mitume na manabii wanaouza maji na mafuta watakiwa kujisajili rasmi kama watoa huduma rasmi wa sekta za maji na mafuta

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
75,013
156,356
Mitume na manabii wanaitoa huduma za maombezi kwa kutumia mafuta na maji wametakiwa kujisajili kwenye mamlaka rasmi zinazosimamia huduma hizo.

wale wanaouza maji wametakiwa kujisajili kwenue mamlaka ya maji na wanaouza mafuta wametakiwa kujisajili Food and Drugs Authority.

IMG-20230124-WA0007.jpg
 
Mitume na manabii wanaitoa huduma za maombezi kwa kutumia mafuta na maji wametakiwa kujisajili kwenye mamlaka rasmi zinazosimamia huduma hizo.

wale wanaouza maji wametakiwa kujisajili kwenue mamlaka ya maji na wanaouza mafuta wametakiwa kujisajili Food and Drugs Authority.

View attachment 2495170
Asante sana na huku kwetu Tz wakora ni wengi sana makanisani wasiachwe salama walipe kodi
 
Mitume na manabii wanaitoa huduma za maombezi kwa kutumia mafuta na maji wametakiwa kujisajili kwenye mamlaka rasmi zinazosimamia huduma hizo.

wale wanaouza maji wametakiwa kujisajili kwenue mamlaka ya maji na wanaouza mafuta wametakiwa kujisajili Food and Drugs Authority.

View attachment 2495170
Kweli kabisa.. Nakumbuka nilitumia mafuta ya mwamposa nikapata UTI
 
Mitume na manabii wanaitoa huduma za maombezi kwa kutumia mafuta na maji wametakiwa kujisajili kwenye mamlaka rasmi zinazosimamia huduma hizo.

wale wanaouza maji wametakiwa kujisajili kwenue mamlaka ya maji na wanaouza mafuta wametakiwa kujisajili Food and Drugs Authority.

View attachment 2495170
Wanapaswa kufungiwa na kufungwa kwani ni criminals kama Ruto mwenyewe
 
Na makahaba nao wasajiliwe, si wanauza nanilihiii ya katerero
Wakitaka wawasajili ni sharti waihalalishe kwanza biashara yenyewe. Kwasasa biashara ya ukahaba bado ni biashara kharam katika mataifa mengi hasa ya kiafrika. Hakuna biashara kharam iliyosajiliwa🙂
 
Back
Top Bottom