salam wadau,
natafuta motokaa kwa ajili ya matumizi ya kawaida,kwa bajeti yangu ndogo ya 12M nimefanikiwa kukutana na motokaa hii kwa jina la Mitsubishi Airtrek.kwa wale wataalam wa magari,hii gari inafaa kwa mikiki ya Tanzania?matumizi yake ya mafuta yakoje?!
MITSUBISHI AIRTREK TURBO R-4WD, petrol, 2000cc,Automatic Transmission.
kwa wanaouza motokaa zao kama ni SUV/MPV si vibaya wakani-PM.
natafuta motokaa kwa ajili ya matumizi ya kawaida,kwa bajeti yangu ndogo ya 12M nimefanikiwa kukutana na motokaa hii kwa jina la Mitsubishi Airtrek.kwa wale wataalam wa magari,hii gari inafaa kwa mikiki ya Tanzania?matumizi yake ya mafuta yakoje?!
MITSUBISHI AIRTREK TURBO R-4WD, petrol, 2000cc,Automatic Transmission.
kwa wanaouza motokaa zao kama ni SUV/MPV si vibaya wakani-PM.