Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Hi JFs,
Naomba nieleweshwe,....watahiniwa wa kujitegemea huwa wanapata maksi za chini sana (tukiacha suala la ukilaza). Nilijaribu kuulizia sababu lakini nikajibiwa na watu ninaoamini sio wataalamu sana maana walinijibu kuwa kuna formula inayotumika katika kuhesabu marks kwa watahininiwa wa kujitegemea eti kwa sababu hawana continuos assessments. Naomba mwana JF anayeijua formula hiyo aiweke mtandaoni ili sote tujue nikiwamo
Naomba nieleweshwe,....watahiniwa wa kujitegemea huwa wanapata maksi za chini sana (tukiacha suala la ukilaza). Nilijaribu kuulizia sababu lakini nikajibiwa na watu ninaoamini sio wataalamu sana maana walinijibu kuwa kuna formula inayotumika katika kuhesabu marks kwa watahininiwa wa kujitegemea eti kwa sababu hawana continuos assessments. Naomba mwana JF anayeijua formula hiyo aiweke mtandaoni ili sote tujue nikiwamo