Usikilize moyo wako achana na maneno ya watu, most ya watu wa aina hiyo wana upeo mkubwa wa maisha na wakiamua kutulia na mtu wanatulia,fanya lile ambalo moyo wako umeridhia na sio kwa ajili ya watu kamwe hutaweza kumrithisha kila mtu ktk kila maamuzi yako.
lady tatizo la wanaume ambao umri umevuka boarder wanakaba sana utaweza? Maana utasindikizwa hadi chooni
ila maisha popote shosti
Msisahau kupima, manake anaweza akakuambia divorce kumbe mkewe alishakufaga kitambo kwa gonjwa letu lile naniliii...
Usijali wanasema nini rafiki zako,usisikilize roho mbaya na choyo chao kama ikiwa mmeridhiana mnapenda na mnaheshimiana hakuna mbaya kabisa,
Mtu mzima atakujali zaidi na kukupenda kuliko kijana mwenzio,kama sio fataki muone size yako mpe aone tofauti ya mtu mzima mwenzie na wewe...
Yes mkuu,asante kwa kunirekebisha ni typing error!Nadhani ulitaka kuandika kumridhisha
HASWAA, hiyo red ndiyo jambo la msingi ambalo hao mashost wako walitakiwa wakushauri na si kukucheka.Msisahau kupima, manake anaweza akakuambia divorce kumbe mkewe alishakufaga kitambo kwa gonjwa letu lile naniliii...