Duuuh, fitna gani tena?
Kaka Mshana au wale wakuu wa giza toka upande uleee walirusha chantula lao?
Poleni ila AZAM TV ilikuwa clear sn wakuu! Sauti safi kabisa!
Kulikuwa na interference kubwa lakini wakulaumiwa si CHADEMA wala ITV, kilichofanyika ni fitina za wenye mamlaka
Uzembe wenu mnasingizia wengine. Shame on you
ITV Ikubali Kuufumua Uongozi Wake Hasa Mkurugenzi Wake. Kuboresha Vifaa Hawana Vyombo Vya Kurusha Matangazo Ya Moja Kwa Moja {LIVE} Nihaibu kwa Kampuni Kubwa Kama Hii Kushindwa Naka Kampuni Kama {Star Tv} Ni Haibu Sana Naihi Inatokana Na Kuwa Na Mkurgenzi Asiyekuwa Mbunifu, Kama {Tido Mhando}​