Mkuu sidhani kama ZIBA NA CHOMA ZIPO NZEGA. Mi najua vipo IGUNGA. Ngoja niendeleze orodha ya igunga. iborogero, nyandekwa, ndembezi, ulaya, nkinga, mwisi ( kwa rostam), igumo, majengo, simbo, uswaya, igoweko, sungwizi, nguliti, bukoko, ncheli, ugaka, moyofuke, mwakabuta, ntigu, kitangiri. Du, ngoja nipumzike kidogo, nitaendelea.......
<br /><font size="3"><span style="font-family: garamond">Asante Polisi,<br />
<br />
ni kweli ZIBA na CHOMA ni vijiji ktk wilaya ya IGUNGA. Kwahiyo iwapo unatoka NZEGA kwenda IGUNGA, ZIBA mbele CHOMA nyuma!</span></font>
Mwanaisungu[
Hapa ni Bills ya Tabora.
kuna mmoja wenu aliwahi kucheza basketball uhazili na mwalimu kamsululu?
ImalamakoyeKwa wale wanaokufahamu kwa yule mtemi maarufu wa enzi hizo Milambo na mwenzie Isike,tukumbuke kidogo maeneo mbalimbali ya huko,iwe mitaa,vijiji,vitongoji nk kama:
Isevya
Kanyenye
Ngoma Sakasi
Ipuli
Makokola
Kaze Hill
Nata
Sikonge
Kaliua
Bachu
<br />Hapa ndipo anapotekea yule mchumi mashuhuri duniani na mwanasiasu nguli lakini ukifika pako choka mbaya.
<br />Nani Kasela Bantu au?
kulikuwa na chuo cha Uhazili tulikuwa tunaita zizini, kwa jinsi kulivyokuwa na watoto kutoka sehemu mbalimbali za tz, nani anaikumbuka Tabora By Night, Tabora hotel, Mwanaisungu (Isungu Honeyport), NBC Club, kuna mmoja wenu aliwahi kucheza basketball uhazili na mwalimu kamsululu?
Mkuu acha kuharibu tamaduni za watu.Tumbi, ilolangulu, mbola,igwisi, kitaana, igembesaboh. Ila wanyammwez wambea kinyama wasimuone mtu anachimba dawa kijiji kizima kitajua sijui wakoje??