LuCKNOVICH
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 104
- 11
Nakumbuka Rufita Club,Tabora Hotel.enzi hizo mwana isungu,mwanza load,kanyenye,ipuli.huko ndio UNYAMWEZINI
Mwanza Road kuna kale kapombe ketu na msuba kufa mtu.Nakumbuka Rufita Club,Tabora Hotel.enzi hizo mwana isungu,mwanza load,kanyenye,ipuli.huko ndio UNYAMWEZINI
Hapo kwenye red nimepapenda.Kuna sehemu hizi mkoa waTabora:
USEGA
USUPILO
ULYANYAMA
USOKE
UYUI
USONGWA
URAMBO N.K.
Hapo ndo down town.mi kwetu kanyenye..
Miti Mitatu ipo Tabora Municipal, kule juu maeneo ya Nationalnilifika sehemu inaitwa miti mitatu ila sijui iko wilaya gani?
Hapo kuna nyumba za NHC na ndio chanzo cha wanyamwezi kupaita National.Miti Mitatu ipo Tabora Municipal, kule juu maeneo ya National
Isunda,kitunda,kipiri,mkolye,iyombakuzovya...mko hapo??
Adam Fundikira, Meja Mozzy( RIP), na mimi.
Miogoni kule kwa akina hayati Saidi Mwamba Kizota,vp na kule MABAMA tumbaku bado inatoka?kuna karanga za kufa mtu kule na "swalu na nsansa" zilizoungwa "ntwili"nimepamisi sana kule.
du, l might know you aisee! Unamkumbuka mzungu (si by color)
wewe kweli wa mboka.
So na wewe ulicheza basket? Mimi nimekulia Cheyo A so hao kina Fundikira nawapata sana