Miss Tanzania ataka namba ya Samatta

mkolaj

JF-Expert Member
Mar 24, 2014
2,972
989
MSHIRIKI wa Miss Tanzania 2005 ambaye pia ni mcheza fi lamu, Maureen Gislary ameibuka na kutaka namba ya simu ya mchezaji wa timu ya Taifa Stars na Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo,Mbwana Samatta kwa gharama yoyote.

Akizungumza na Amani Sports, Maureen aliyekuwa kumi bora katika kinyang’anyiro hicho cha Miss Tanzania kilichoshuhudiwa kwa Nancy Sumari kuibuka mshindi alisema kuwa, nia ya kuhitaji namba hiyo nikuhakikisha anamuweka Samatta ‘kibindoni’ kabla hajatimkia nje ya nchi.

“Kwanza nimefurahishwa sana na ushindi wake wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani mwaka 2015, mwenye namba yake tafadhalini naiomba kwa gharama
yoyote nitatoa,” alisema Maureen.
 
Last edited by a moderator:
MSHIRIKI wa Miss Tanzania 2005
ambaye pia ni mcheza fi lamu, Maureen
Gislary ameibuka na kutaka namba ya
simu ya mchezaji wa timu ya Taifa Stars
na Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo,
Mbwana Samatta kwa gharama yoyote.
Mbwana Samatta.
Akizungumza na Amani Sports, Maureen
aliyekuwa kumi bora katika
kinyang’anyiro hicho cha Miss Tanzania
kilichoshuhudiwa kwa Nancy Sumari
kuibuka mshindi alisema kuwa, nia ya
kuhitaji namba hiyo nikuhakikisha
anamuweka Samatta ‘kibindoni’ kabla
hajatimkia nje ya nchi.
“Kwanza nimefurahishwa sana na
ushindi wake wa Tuzo ya Mchezaji Bora
wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani
mwaka 2015, mwenye namba yake
tafadhalini naiomba kwa gharama
yoyote nitatoa,” alisema Maureen.
 
Eti anataka ampate kabla hajatimukia Ulaya!!!!!
 
Ukute mwenyew Samatta yupo humu humu anafuatilia kwanza mchezo unavoenda, mtoto mwenyewe bila kutongozwa anataka atoe papuchi kwa mbwana samatta.
 
MSHIRIKI wa Miss Tanzania 2005
ambaye pia ni mcheza fi lamu, Maureen
Gislary ameibuka na kutaka namba ya
simu ya mchezaji wa timu ya Taifa Stars
na Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo,
Mbwana Samatta kwa gharama yoyote.
Mbwana Samatta.
Akizungumza na Amani Sports, Maureen
aliyekuwa kumi bora katika
kinyang’anyiro hicho cha Miss Tanzania
kilichoshuhudiwa kwa Nancy Sumari
kuibuka mshindi alisema kuwa, nia ya
kuhitaji namba hiyo nikuhakikisha
anamuweka Samatta ‘kibindoni’ kabla
hajatimkia nje ya nchi.
“Kwanza nimefurahishwa sana na
ushindi wake wa Tuzo ya Mchezaji Bora
wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani
mwaka 2015, mwenye namba yake
tafadhalini naiomba kwa gharama
yoyote nitatoa,” alisema Maureen.

" K " Za Kujipeleka Namna Hii Huwa Zimechoka Hadi Zimebadilika Na Mwonekano.
 
Ukute mwenyew Samatta yupo humu humu anafuatilia kwanza mchezo unavoenda, mtoto mwenyewe bila kutongozwa anataka atoe papuchi kwa mbwana samatta.
:cool:naona mama huruma anataka atoe uroda kabla hajaombwa!
 
Kwa mfano huyu mwanamke ndio unamuita dada yako halafu unakuta habari hii kuwa anataka namba ya mtu fulani ili abinuliwe sijui utajisikiaje??? Dada zetu hawa siku hiz ni majanga
Ha ha ha inauma eeeh! Kila mwenye dada hakosi shemeji! Hata hiyo unayembinua wewe ana kakayake nae hajisikii vizuri sema hakufahamu tuu halafu haina namna!
 
Huyo atakuwa kibibi..anataka kumbaka kijana wa watu 22yrs acha hizo wewe wapelekee kina Shigo.wasije wakaanza kukuwinda OFM!
 
Ha ha ha inauma eeeh! Kila mwenye dada hakosi shemeji! Hata hiyo unayembinua wewe ana kakayake nae hajisikii vizuri sema hakufahamu tuu halafu haina namna!
Sawa ila yeye hakujinadi mitandaoni kuwa ananitaka, vuta picha huwa amekuwa mdogo wako mkuu utajisikiaje???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom